Tetesi: Wadudu wa "kidudu Mtu" wazua hofu, Wanakula mboga na Matunda

Tetesi: Wadudu wa "kidudu Mtu" wazua hofu, Wanakula mboga na Matunda

MKUU NI KWELI UNACHOKISEMA MIMI KWA MACHO YANGU NILIWAHI KUSHUUDIA NI KWELI WALE WADUDU WANAFANANA NA BINADAMU KWENYE USO WEUSI KISULA
NILIWAHI KUSHUDIA KWENYE MAJANI YA MTI WA KISAMVU, AU WENGINE WANAPENDA KUITA MAJANI YA MHUGO AMBAYO HUTENGENEZWA MBOGA ,NAZANI WATU WA KAHAMA WANAPENDA SANA MBOGA HIYO.

KESHO NTAPIGA PICHA NIWAONESHA KAMA NTAPATA MDA , KWA MALA YA KWANZA NILIMUONA KWENYE MAJANI HAYO
View attachment 521440 View attachment 521441
Huyo uliyemuona wewe na huyu anayetumika kutishia watu ni wadudu wawili tofauti.

Huyo wa kwenye kisamvu anaitwa cassava mealybug (camabu) na huyu anaitwa papaya mealybug.

Wanaathiri mazao kiasi huko Msumbiji walilazimika kufuga kwa wingi aina fulani ya manyigu ili kupambana na camabu, lakini hakuna uthibitisho kuwa ukimla utaumwa au kufa.
 
Habari hizi sidhani Kama ni za Kweli. Na zinasambazwa na sisi sote bila tafiti Hebu Google Spalgis epius kupata habari za huyo mdudu. Kwa ufupi huyo mdudu si kidudu mtu kama ambavyo taarifa zake zimekuwa Viral kwenye social media, huyo mdudu ni Predator wa wadudu waharibifu wa mazao jamii ya Scale Insect ambao ni Kama Papaya and Cassava Mealbug. Hawa Mealbug kwa muonekano ni weupe na wanapukutisha vumbi jeupe kwenye Mipapai na Mihogo. Hivyo hiyo picha ya hao wadudu hapo walipo wapo katika hatua ya ukuaji kuelekea kuwa Vipepeo (Growth stage from Larva to Pupa). Hivyo wanataga mayai ndani ya mayai ya hao Mealbug na kuwashambulia Mealbug as a Natural Enermy ,kwa hiyo ni moja ya Biological control ya Mealbug, hivyo hawana madhara.
IMG_20170619_195136.jpg


Tetesi: - Wadudu wa "kidudu Mtu" wazua hofu, Wanakula mboga na Matunda
 
Maisha yakianza kuwa magum, macho yetu yanaona vingi sana hata vile ambavyo vilikuwa havionekani kama viumbe
 
Hahaha since day one nlivyotumiwa hii picha nilicheka kwa dharau,nikakumbuka ule msemo wa elimu,elimu,elimu!!
 
Na hao watu wanaosadikika kuwa wamekufa kutokana na hawa vidudu mtu .. Ni uongo ama?
 
Aah nilishtuka balaa nilivyoona hicho kidudu mtu...nikajua tumeisha
 
Mimi nilimkataa moja kwa moja aliyetuma taarifa hii kwenye group letu! Nilimtaka alete ushahidi wa hao watu waliokufa kwa kula mboga na mapapai yenye kidudu mutu,,,mpaka leo jamaa yupo kimyaaa
[emoji81] [emoji81] [emoji15]
 
lete tembele fungu moja na mnavu fungu moja, usisahau karoti, nyanya, kitunguu, pilipili, hoho n.k

Mwendo wa nyasi kama kawaida.
 
Jamani kunakijidudu kinafanana na binadamu kinapatikana Mara nyingi kwenye mboga za majani..kinasemekana kinaua

Naomba ukweli juu ya hili
 
Masumbwe-Kahama wamefariki 12 mwingie Leo Saba mchana....wenyewe hao walikula matikiti
 
Jamani kuna tetesi mtaani kwamba mboga za majani zina mdudu mtu ambaye ni hatari kwa mlaji. Hivi haya maneno ni kweli au ni uongo kama ule ulowahi vumishwa eti ng'ombe kajifungua bin-adam???
 
Back
Top Bottom