Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi hiyo[emoji4][emoji4]mimi dawa yako naijua!
Ni kweli kabisa nko sengerema mkuu na kweli nimejioneaHabari za uzushi hakuna ukweli wowote juu ya jambo hili mamlaka husika zimewaomba wale waliomwona mdudu mtu wamkamate ili uchunguzi ufanyike hamna hats mmoja aliyejitokeza acheni kuwatia watu hofu.
Pia mnataka kuwatia hofu wananchi wanaoishi kwa kula na kuuza mboga sio jambo zuri[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji133] [emoji133]
Habari za uzushi hakuna ukweli wowote juu ya jambo hili mamlaka husika zimewaomba wale waliomwona mdudu mtu wamkamate ili uchunguzi ufanyike hamna hats mmoja aliyejitokeza acheni kuwatia watu hofu.
Pia mnataka kuwatia hofu wananchi wanaoishi kwa kula na kuuza mboga sio jambo zuri[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji133] [emoji133]
weka picha mkuu
Hebu serikali iseme nenoMkuu majani na matunda naeza epuka kwa kula samaki na nyama .....nasiki ukimla tu ni shida
Dawa yako wewe ni hili dushe langu![emoji30][emoji30][emoji30]Ipi hiyo[emoji4][emoji4]
Wabongo sisi ni watu wa kuhemka....
Duuh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Dawa yako wewe ni hili dushe langu![emoji30][emoji30][emoji30]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]