Wadukuzi wa Korea Kaskazini wadukua kampuni ya silaha ya Urusi

Wadukuzi wa Korea Kaskazini wadukua kampuni ya silaha ya Urusi

Mkuu,
Samahani!
Naomba unifahamishe safari ya kiongozi wa Wagner kuelekea Kremlin kumteka PUT IN imefikia wapi sasa hivi?

Putin aliikimbia ikulu ikabidi mazungumzo yafanywe nyuma ya pazia na hali ikarudi shwari, kumbe huyo mtume wenu Putin ni mateka wa mafia wa pale Moscow.
 
Kiduku ni mtawala wa hovyo sana
 
Alifanya na nani mazungumzo wakati PUT IN kachanja mbuga?

Sio yeye, fuatilia, yeye hakua na jeuri ya kufanya mazungumzo, kwanza alikua na hasira sana analipuka vitisho ila akatulizwa na kuambiwa nchi ina wenyewe...
 
Nimetetea nini sasa?!!!! Mbona nawe unakuwa kama hamnazo
Dah hata Mimi amenishangaza kidogo huyo mtu uliemjibu hapa,ambae ni mtoa mada.
Nashangaa amelata mada mezani,wewe umetoa maoni Yako kama mjadala,halafu Tena anakukaumu kwamba unatetea.
Kama asingetaka mawazo tofauti angeandika mada hii kwenye notebook yake halafu akawa anaisoma peke yake Kila siku usiku akitaka kulala.

By the way umemjibu vizuri sana na ukweli mtupu.
Nakumbuka WikiLeaks walitoa taarifa zao kia USA iliwadukua Viongozi wakubwa na wadogo wa nchi karibu zote zafiki za west.

Na taarifa hiyo nadhani ndio iliwakera USA wakaamua kumshgukikia Assange.
Hali kadharika majasusi wa Mossad waliwahi kuwadukua Rais Obama na Waziri Mkuu wa Israiel nimesahau.
Nadhani mtoa mada hua hafatilii habari Kwa ukamulifu kabla ya kuzileta.
 
Dah hata Mimi amenishangaza kidogo huyo mtu uliemjibu hapa,ambae ni mtoa mada.
Nashangaa amelata mada mezani,wewe umetoa maoni Yako kama mjadala,halafu Tena anakukaumu kwamba unatetea.
Kama asingetaka mawazo tofauti angeandika mada hii kwenye notebook yake halafu akawa anaisoma peke yake Kila siku usiku akitaka kulala.

By the way umemjibu vizuri sana na ukweli mtupu.
Nakumbuka WikiLeaks walitoa taarifa zao kia USA iliwadukua Viongozi wakubwa na wadogo wa nchi karibu zote zafiki za west.

Na taarifa hiyo nadhani ndio iliwakera USA wakaamua kumshgukikia Assange.
Hali kadharika majasusi wa Mossad waliwahi kuwadukua Rais Obama na Waziri Mkuu wa Israiel nimesahau.
Nadhani mtoa mada hua hafatilii habari Kwa ukamulifu kabla ya kuzileta.
Mtoa mada ana shida mahali
 
Back
Top Bottom