MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Hawa ndio wasaidizi wa zelisky na pia shetani zelisky anafunga makanisa kwa sababu makanisa yanamuabudu Mungu wa kweli.View attachment 2759763
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hehehe ustadhi leo umeanza kumuita zele shetani, ina maana ndio mnahubiriwa kule ndani, na ataendelea kupambania nchi yake na kulinda watu wake mpaka mtume wenu aondoke.