Waendesha bodaboda, tabia hii inakera sana

Kwanini msitulie kijiweni mkawa mnabeba abiria wenu vizuri kwa zamu, akija abiria anaenda na huyu, akija mwingine anaenda na huyu mnakuwa na rotation nzuri kwa ustaarabu ili kila mtu apate mkate wa kila siku hizi papara zenu zina boa bana.
Wana viongozo wao wa Kitaifa na kimaeneo, wanatakiwa kutazama jambo hili ni kero kwa watu wengi, na mbaya zaidi huwa hawana utamaduni wa kumsalimu abiria kabla hawajamuuliza endapo anahitaji usafiri.

Jambo jingine linalokwaza ni uchafu, hawapigi mswaki wala kusafisha kwapa
 
Waafrika wote sisi tunashida hapo kwenye kuweka mtiririko wao kupokea abiria kwa utaratibu mmmmh ni shida. Ukifika stendi tu sisi wenyewe tunavyoingia dirishani, kupigana vikumbo mlangoni utajua tu hatuko sawa.
 
Wanaboa sana kuna boda mmoja alinipakiza alikuwa ananuka harufu ya pumbu na mbunye sijui alitoka kunyanduliwa daaah wananuka sanaa
Hahaha.. Ila wew jamaa.sasa bodaboda atatokaje kunyanduliwa tena ..
 
Nachukizwa sana pale bodaboda anapopakia abiria halafu mziki sauti mpaka mwisho...wanafikiri abiria wote wapenda heka heka.

Hii tabia ya kudaka daka watu hovyo imeibuka pia pale Makumbusho (Dsm)stand...ile migahawa pale around.
Kuondoa hiyo kero ya kudakwa dakwa,tumia bodaboda wa bolt au uber kwanza gharama ni nafuu halafu wanajua wafanyacho.
 
Umeongea kila kitu mkuu hawa watu hawajielewi azura zimewatawala.
 
Mmesema mengi ila kuna sisi boda wastaarabu. Ila kweli wenzetu wengi wanatuharibia sifa ya hii kazi yetu.
 
Wanaboa sana kuna boda mmoja alinipakiza alikuwa ananuka harufu ya pumbu na mbunye sijui alitoka kunyanduliwa daaah wananuka sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah lol
 
Wengine hata boksa na chupi zao zinanuka halikadhalika midomo na meno ndio usiseme ni shiidaaa kubwa.
Na wengine kutwa nzima anatembea na toothpick mdomoni.
Wengi wa bodaboda ni washamba sana.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan watu wanatema cheche hatareeeh. Lol
 
Mimi nikishuka kwenye daladala hawa hapa, wanasahau natembea tu kuingia kazini kwangu....au nikiwa na gari yangu nikishuka kwenda kununua vocha hawa hapa, tayari wameshasahau nimeshuka kwenye ndinga yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine hata boksa na chupi zao zinanuka halikadhalika midomo na meno ndio usiseme ni shiidaaa kubwa.
Na wengine kutwa nzima anatembea na toothpick mdomoni.
Wengi wa bodaboda ni washamba sana.!
Ni kweli kabisa Mkuu sisi ni washamba ila wake na madem zenu wanapenda sana kuleta shobo ili tuwagonge nao, sijui kwanini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…