Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Tetesi: Wafadhili wa Lissu na CHADEMA wamwahidi Lissu Helkopta 3 na magari 31 mapya kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

Hata kama TAL atagawa punda Kwa Kila mpiga kura,hakuna uwezekano kupewa Uwenyekiti Chadema Taifa!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hata watoe ahadi ya kumpatia jeshi la anga na ardhini kwa ajili ya kulinda kura, lazima atambuwe kwamba kwa staili ya anavyoendesha siasa zake hotokaa awe mwenyekiti wa CHADEMA achilia mbali urais wa nchi.
Ushindwe pepo Jezebel kwa jina la Yesu Kristo. Amina🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Hata hujui kuwa risasi 16 za SMG na AK45 zilishindwa kumuua kwa sababu Mungu alizuia kifo chake kwa wakati kama huu, atimize kusudi la Mungu..!

Tangu lini Giza likaweza kuishinda au kuizuia nuru ising'ae na kulifukuza giza...?

HAKI HUINUA TAIFA. TUNDU LISSU NI MTU WA HAKI. HAKI HUCHELESHWA TU LAKINI HAKI DAIMA NI MSHINDI.

AMINA🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Aanzishe kikoba chake nayeye, hiki chakwetu HAPANA.
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Kama ni kweli. Kuna mkono wa madon wakubwa na watu wazito ambao wapo tayari hii ccm izamishwe na watasaidia
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Ahaaaaaaaa we ndo unatusanua weka ushahidi
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.


Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti
 
A hypocrite is a person who pretends to have beliefs, values, or moral standards that they do not actually possess or follow.
Hypocrites often criticize others for behaviors they themselves engage in, or they publicly advocate for principles they secretly violate.
 
View attachment 3186235

Habari za Chini chini zinasema wafadhili wa CHADEMA na Lissu wamemuhakikishia Lissu endapo atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wao na marafiki zao watatoa helkopa tatu pamoja na gari moja katika kila mkoa ya Tanzània bara na Visiwani ili kukisaidia chama hicho kuelekea Nov 2025.

Haijafahamika Helkopta hizo zitakuwa mpya au used wakati pia utaongea.

Funzo, Huenda Wafadhili na wahisani wengi wako tayari kuisaidia CHADEMA ila hawakuwa na imani na Mbowe kwa kipindi kirefu na mbaya ni hii ya uswaiba wake na Mwenyekiti wa CCM hawaamini kama kweli kwa maridhiano yake hawezi kuwataja pia wadhamini wa Chama kwa majina yao au ya kampuni zao.

Uadilifu na Uaminifu ni muhimu sana

Happy New Year 2025.
Hakuna narudia tena hakuna mtu au watu wenye akili timamu wanaweza kumuahidi Lissu vitu hivyo. Hakuna.
 
Tuwe makini na hizi tetesi shetani akishindwa mbinu moja hutumia nyingine na anazo jumla yake 7×70
 
Sawa lkn kwani kugombea urais lazima uwe Mkiti.
Mimi sina isue kubwa na Lisu, my point is: LISU ANATAFUATA UENYEKITI KWA KUKIPASUA CHAMA, KUIUA CHADEMA. Angelitumia busara, "unyenyekevu", uungwana na si kashifa kwa wenzake na kuropoka ya sirini...kwa katiba yao....
 
Back
Top Bottom