mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Mzee wa kupambania na mzabzab ni watunza hazina 😂mshamba_hachekwi tuletee baraza la mawaziri wa kataa ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kupambania na mzabzab ni watunza hazina 😂mshamba_hachekwi tuletee baraza la mawaziri wa kataa ndoa
mshamba_hachekwi waambie na wenzio ndoa zinahtajika hukuleo acha tuwajue,sijui wanataka tudode majumbani
Khaaa unanichoma tena waanze kunishambuliamshamba_hachekwi waambie na wenzio ndoa zinahtajika huku
Hawawezi nawamudu 😂😂Khaaa unanichoma tena waanze kunishambulia
You have some point lakini umejichanganya sana.Baada ya Kupita pita kwenye mitandao ya kijamii mbalimbali Kwa lengo la Kuona ni Kwa ukubwa gan hii kampeni ya Kataa Ndoa imefikia, na kundi gan la Vijana linaloshadidia hii kampeni , nikagundua yafuatayo
👉Vijana Hawa wengi wao ni hawana Ajira Rasimi japo wapo wenye Ajira ,,,yan Kwa ufupi , They are not financially stable , Hawana Ajira, hawawezi kuoa Kwa sababu hawana Uwezo wakutoa mahari na Kwa bahati mbaya sana wanaogopa gharama za kutunza mwanamke !!..... Kwao kipato Chao kinatosheleza tu kulipia Lodge ,Msosi ,kula mbususu, basi imeisha !!..... ( hili waweza lithibitisha kwenye nyuzi za Ajira, kulaumu Serikali kuhusu nyongeza za mishahara n.k )
👉Vijana Hawa wengi ni wanaishi mikoa ya Dar, Tanga, na ukanda wa pwani Kwa ujumla na Arusha ,, hii ndio mikoa Tanzania yenye kiwango kikubwa cha Vijana wa hovyo , wanapenda sana Anasa, Sio wachapakazi , wanapenda kazi laini laini sanaaa, hii inawafanya wawe na mzungukzo kiduchu wa Pesa, matokeo yake Pesa wanayopata inawatosheleza wenyewe tu ,hawawezi kuhudumia Mke na watoto.... Hii inawalimu wawe wanataka kula tunda na kusepa!!.
👉Vijana Hawa wengi ni Waoga wa kitu wasichokijua, Asilimia kubwa Wanaishi kwakuangalia Maisha ya wengine bila kujua hapa Dunian Kila Mmoja ana Njia yake ya kuishi !!.
👉Vijana Hawa ni kweli Wana elimu za Kati na juu , ila siwez kukataa ukweli kwamba, kua na Elimu Kwa hapa Tanzania, hakumfanyi mtu asiwe mbumbumbu.
👉Ni Vijana pekee ambao wanataman wapate watoto, ila kamwe kuwahudumia hao watoto ni kazi sana !!.
👉Kwa bahati mbaya sana, ni Vijana wa STAREHE ambao pamoja na kwamba sote ni wafanya dhambi, Vijana Hawa, Sina hakika kama Kuna wanakwenda mbele ya makanisa / misikiti kumucha Mungu wao.
👉Vijana hawa ndani yake Kuna Mashoga ,Kwa Sasa Wana shindana na Wanawake , kwahivo inawalazim Vijana wao watumie mbinu za kininja ili tu wapate mabwana.
👉Vijana ambao ,Kwa namna fulan, ama malezi ,au mazingira yao yamewaathiri , nahii sasa inapelekea Ongezeko la Magonjwa ya Akili Kwa Vijana .
NAWASHAURI, KUOA, OENI UNGALI BADO MNANGUVU, MAISHA YA MWANAUME JUU YA MIAKA 50, YANAMTEGEMEA SANA MWANAMKE KWA ASILIMIA 100 !!.
ndo uwe pembeni yangu sasa shemejiHawawezi nawamudu [emoji23][emoji23]
Sawa shemeji kwa nani tena huyo ?ndo uwe pembeni yangu sasa shemeji
hahahahaha, yani hili jibu lenye mfumo wa swali limeifanya thread yote ionekane ya kikuda kudadek.Anayemudu lodge ashindwe kupanga!!? à ½Ã¸³
Wenzao tulishasanuka hatufugi binti wa mtu ndanidronedrake raisi wa kataa ndoa uje huku na makamu wako Mzee wa kupambania
Okoeni jahazi mabinti wanahitaj ndoaWenzao tulishasanuka hatufugi binti wa mtu ndani
Raisi ni jamaa wa kuitwa @LiverpoolVPN huyu jamaa ametuchota wengi sanadronedrake raisi wa kataa ndoa uje huku na makamu wako Mzee wa kupambania
Hakuna kuoa nani aweke tapeli ndani ya nyumba yakeOkoeni jahazi mabinti wanahitaj ndoa
Wanasema hamna nyumba za kuwawekaHakuna kuoa nani aweke matapeli ndani ya nyumba yake
Watafute zao waache kung'ang'ania za wanaumeWanasema hamna nyumba za kuwaweka
Watapita hapa watasomaWatafute zao waache kung'ang'ania za wanaume
Umenichekesha kinoma eti Ufirimaso 😂🤣 Ila enewei Karbu kwny Kampeni yetuMwanaume kukimbilia ndoa ni kukimbilia kifo tena cha mateso. KATAA NDOA
NDOA NI UFIRIMASO
KATAA NDOA
NDOA NI USHETANI
KATAA NDOA
NDOA NI DECI/KILIMO CHA VANILLA/QNET
Leo nimeamua kujiunga rasmi na hii movement, nipokeeni
Baada ya Kupita pita kwenye mitandao ya kijamii mbalimbali Kwa lengo la Kuona ni Kwa ukubwa gan hii kampeni ya Kataa Ndoa imefikia, na kundi gan la Vijana linaloshadidia hii kampeni , nikagundua yafuatayo
👉Vijana Hawa wengi wao ni hawana Ajira Rasimi japo wapo wenye Ajira ,,,yan Kwa ufupi , They are not financially stable , Hawana Ajira, hawawezi kuoa Kwa sababu hawana Uwezo wakutoa mahari na Kwa bahati mbaya sana wanaogopa gharama za kutunza mwanamke !!..... Kwao kipato Chao kinatosheleza tu kulipia Lodge ,Msosi ,kula mbususu, basi imeisha !!..... ( hili waweza lithibitisha kwenye nyuzi za Ajira, kulaumu Serikali kuhusu nyongeza za mishahara n.k )
👉Vijana Hawa wengi ni wanaishi mikoa ya Dar, Tanga, na ukanda wa pwani Kwa ujumla na Arusha ,, hii ndio mikoa Tanzania yenye kiwango kikubwa cha Vijana wa hovyo , wanapenda sana Anasa, Sio wachapakazi , wanapenda kazi laini laini sanaaa, hii inawafanya wawe na mzungukzo kiduchu wa Pesa, matokeo yake Pesa wanayopata inawatosheleza wenyewe tu ,hawawezi kuhudumia Mke na watoto.... Hii inawalimu wawe wanataka kula tunda na kusepa!!.
👉Vijana Hawa wengi ni Waoga wa kitu wasichokijua, Asilimia kubwa Wanaishi kwakuangalia Maisha ya wengine bila kujua hapa Dunian Kila Mmoja ana Njia yake ya kuishi !!.
👉Vijana Hawa ni kweli Wana elimu za Kati na juu , ila siwez kukataa ukweli kwamba, kua na Elimu Kwa hapa Tanzania, hakumfanyi mtu asiwe mbumbumbu.
👉Ni Vijana pekee ambao wanataman wapate watoto, ila kamwe kuwahudumia hao watoto ni kazi sana !!.
👉Kwa bahati mbaya sana, ni Vijana wa STAREHE ambao pamoja na kwamba sote ni wafanya dhambi, Vijana Hawa, Sina hakika kama Kuna wanakwenda mbele ya makanisa / misikiti kumucha Mungu wao.
👉Vijana hawa ndani yake Kuna Mashoga ,Kwa Sasa Wana shindana na Wanawake , kwahivo inawalazim Vijana wao watumie mbinu za kininja ili tu wapate mabwana.
👉Vijana ambao ,Kwa namna fulan, ama malezi ,au mazingira yao yamewaathiri , nahii sasa inapelekea Ongezeko la Magonjwa ya Akili Kwa Vijana .
NAWASHAURI, KUOA, OENI UNGALI BADO MNANGUVU, MAISHA YA MWANAUME JUU YA MIAKA 50, YANAMTEGEMEA SANA MWANAMKE KWA ASILIMIA 100 !!.