Wafaham Vijana wa kampeni ya "Kataa Ndoa " !!

Wafaham Vijana wa kampeni ya "Kataa Ndoa " !!

Binafsi nikishaona mtu anasema OA sababu eti ukiwa mzee utatunzwa na mkeo, namuona ni mjinga sana. Anasahau hatujui tutakufa lini na nani atatangulia.

Unaweza ukaoa, ukawa na watoto na bado wote wakakuacha hapa duniani unateseka na upweke.

OA ukitaka KUOA, na sisi HATUOI sababu HATUJATAKA KUOA. Tukitaka TUTAOA pia bila kelele
 
Baada ya Kupita pita kwenye mitandao ya kijamii mbalimbali Kwa lengo la Kuona ni Kwa ukubwa gan hii kampeni ya Kataa Ndoa imefikia, na kundi gan la Vijana linaloshadidia hii kampeni , nikagundua yafuatayo

👉Vijana Hawa wengi wao ni hawana Ajira Rasimi japo wapo wenye Ajira ,,,yan Kwa ufupi , They are not financially stable , Hawana Ajira, hawawezi kuoa Kwa sababu hawana Uwezo wakutoa mahari na Kwa bahati mbaya sana wanaogopa gharama za kutunza mwanamke !!..... Kwao kipato Chao kinatosheleza tu kulipia Lodge ,Msosi ,kula mbususu, basi imeisha !!..... ( hili waweza lithibitisha kwenye nyuzi za Ajira, kulaumu Serikali kuhusu nyongeza za mishahara n.k )

👉Vijana Hawa wengi ni wanaishi mikoa ya Dar, Tanga, na ukanda wa pwani Kwa ujumla na Arusha ,, hii ndio mikoa Tanzania yenye kiwango kikubwa cha Vijana wa hovyo , wanapenda sana Anasa, Sio wachapakazi , wanapenda kazi laini laini sanaaa, hii inawafanya wawe na mzungukzo kiduchu wa Pesa, matokeo yake Pesa wanayopata inawatosheleza wenyewe tu ,hawawezi kuhudumia Mke na watoto.... Hii inawalimu wawe wanataka kula tunda na kusepa!!.

👉Vijana Hawa wengi ni Waoga wa kitu wasichokijua, Asilimia kubwa Wanaishi kwakuangalia Maisha ya wengine bila kujua hapa Dunian Kila Mmoja ana Njia yake ya kuishi !!.

👉Vijana Hawa ni kweli Wana elimu za Kati na juu , ila siwez kukataa ukweli kwamba, kua na Elimu Kwa hapa Tanzania, hakumfanyi mtu asiwe mbumbumbu.

👉Ni Vijana pekee ambao wanataman wapate watoto, ila kamwe kuwahudumia hao watoto ni kazi sana !!.

👉Kwa bahati mbaya sana, ni Vijana wa STAREHE ambao pamoja na kwamba sote ni wafanya dhambi, Vijana Hawa, Sina hakika kama Kuna wanakwenda mbele ya makanisa / misikiti kumucha Mungu wao.

👉Vijana hawa ndani yake Kuna Mashoga ,Kwa Sasa Wana shindana na Wanawake , kwahivo inawalazim Vijana wao watumie mbinu za kininja ili tu wapate mabwana.

👉Vijana ambao ,Kwa namna fulan, ama malezi ,au mazingira yao yamewaathiri , nahii sasa inapelekea Ongezeko la Magonjwa ya Akili Kwa Vijana .




NAWASHAURI, KUOA, OENI UNGALI BADO MNANGUVU, MAISHA YA MWANAUME JUU YA MIAKA 50, YANAMTEGEMEA SANA MWANAMKE KWA ASILIMIA 100 !!.
You have some point lakini umejichanganya sana.

Kwanza kabisa kuowa au kuolewa siyo lazima, Mimi ni mwanandoa na Nina Watoto kwahiyo soma kwa makini ninachokiandika.

Ukiowa kweli mke uliyepewa na Mungu hesabu umetobowa maisha hata uwe huna kitu lazima mtobowe nimeona mengi, tena Nina maslahi na hili first born wangu ni mtoto wa kiume na tayari yupo Chuo sintofurahi aingie mkenge wa kuowa kufurahisha watu.

Pili ukisema vijana wanapenda kazi laini laini unakosea, tumetumia gharama kubwa sana kuwasomesha private school ni mategemeo yangu watumie akili zaidi kutengeneza maisha yao, kama maguvu yanalipa basi wabeba zege wangekuwa ndio watu waliofanikiwa zaidi wakifuatiwa na wabeba Lumbesa.

Kwenye mambo ya kiimani hili lawama tunabeba Wazazi moja kwa moja ndio wenye wajibu kama tumefeli usitegemee vijana hawa miaka ya 2000 kama wana maajabu yoyote, wengi wamezaliwa na roho tu lakini nafsi hawana, itakuchukuwa muda sana kuja kuthibitisha hili kwamba kizazi hiki vijana wengi hawana nafsi wana roho tu, hilo ni tatizo kubwa sana.

Ningeandika mengi lakini naona nitakuchanganya tu, in short wanahitaji msaada zaidi kuliko kuwasema.
 
Kinachoshangaza zaidi ni pale ambapo wanaoumizwa na kampeni ya KATAA NDOA ni wale walio kwenye NDOA. Asili ya muafrika akiwa anapitia kwenye wakati mgumu huwa anatamani kila mtu apitie magumu wawe wengi. Kila mtu aishi kwa namna anavyoona inamfaa, tusipangiane maisha.
 
Mwanaume kukimbilia ndoa ni kukimbilia kifo tena cha mateso. KATAA NDOA
NDOA NI UFIRIMASO
KATAA NDOA
NDOA NI USHETANI
KATAA NDOA
NDOA NI DECI/KILIMO CHA VANILLA/QNET

Leo nimeamua kujiunga rasmi na hii movement, nipokeeni
Umenichekesha kinoma eti Ufirimaso 😂🤣 Ila enewei Karbu kwny Kampeni yetu
 
Baada ya Kupita pita kwenye mitandao ya kijamii mbalimbali Kwa lengo la Kuona ni Kwa ukubwa gan hii kampeni ya Kataa Ndoa imefikia, na kundi gan la Vijana linaloshadidia hii kampeni , nikagundua yafuatayo

👉Vijana Hawa wengi wao ni hawana Ajira Rasimi japo wapo wenye Ajira ,,,yan Kwa ufupi , They are not financially stable , Hawana Ajira, hawawezi kuoa Kwa sababu hawana Uwezo wakutoa mahari na Kwa bahati mbaya sana wanaogopa gharama za kutunza mwanamke !!..... Kwao kipato Chao kinatosheleza tu kulipia Lodge ,Msosi ,kula mbususu, basi imeisha !!..... ( hili waweza lithibitisha kwenye nyuzi za Ajira, kulaumu Serikali kuhusu nyongeza za mishahara n.k )

👉Vijana Hawa wengi ni wanaishi mikoa ya Dar, Tanga, na ukanda wa pwani Kwa ujumla na Arusha ,, hii ndio mikoa Tanzania yenye kiwango kikubwa cha Vijana wa hovyo , wanapenda sana Anasa, Sio wachapakazi , wanapenda kazi laini laini sanaaa, hii inawafanya wawe na mzungukzo kiduchu wa Pesa, matokeo yake Pesa wanayopata inawatosheleza wenyewe tu ,hawawezi kuhudumia Mke na watoto.... Hii inawalimu wawe wanataka kula tunda na kusepa!!.

👉Vijana Hawa wengi ni Waoga wa kitu wasichokijua, Asilimia kubwa Wanaishi kwakuangalia Maisha ya wengine bila kujua hapa Dunian Kila Mmoja ana Njia yake ya kuishi !!.

👉Vijana Hawa ni kweli Wana elimu za Kati na juu , ila siwez kukataa ukweli kwamba, kua na Elimu Kwa hapa Tanzania, hakumfanyi mtu asiwe mbumbumbu.

👉Ni Vijana pekee ambao wanataman wapate watoto, ila kamwe kuwahudumia hao watoto ni kazi sana !!.

👉Kwa bahati mbaya sana, ni Vijana wa STAREHE ambao pamoja na kwamba sote ni wafanya dhambi, Vijana Hawa, Sina hakika kama Kuna wanakwenda mbele ya makanisa / misikiti kumucha Mungu wao.

👉Vijana hawa ndani yake Kuna Mashoga ,Kwa Sasa Wana shindana na Wanawake , kwahivo inawalazim Vijana wao watumie mbinu za kininja ili tu wapate mabwana.

👉Vijana ambao ,Kwa namna fulan, ama malezi ,au mazingira yao yamewaathiri , nahii sasa inapelekea Ongezeko la Magonjwa ya Akili Kwa Vijana .




NAWASHAURI, KUOA, OENI UNGALI BADO MNANGUVU, MAISHA YA MWANAUME JUU YA MIAKA 50, YANAMTEGEMEA SANA MWANAMKE KWA ASILIMIA 100 !!.

Kama kweli hizo ndo sifa zao, unafanya kosa kubwa sana kuwashauri waoe
 
Back
Top Bottom