Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Masele hana jeuri hiyo tatizo lake anayo makando kando mengi ya huko nyuma alipo kuwa Naibu Waziri wa madini
Hili jambo ndilo hata me lianifanya niamini hawezi hama, kimsingi kamezeshwa ndoano na atatakiwa kumnadi Katambi ambaye alimshinda kwa hila 2015.
 
Tunahitaji viongozi safii wasio na doa kama kapumzishwa Chenge na Adadi yeye ni nani asisubiri!
 
Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
Pia yeye mwenyewe alivyopata Hilo Jimbo Kwa eti Kura moja haikuwa very convincing..akihama atafanyiwa figisu kama zilizompatia yeye ushindi 2010.
 
Hata kama ni mimi yaani nishinde , halafu wa mwisho ndio anateuliwa chama kijani kibichi hamnazo kabisa
 
Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
CCM ya awamu hii inayominya uhuru wa raia kama North Korea
 
Huyu ndiye mbunge wa CCM aliyetoa hotuba kali kuonyesha kukerwa kwa tukio la kushambuliwa Lissu. Akateuliwa kuongoza tume maalum ya bunge kuchunguza tukio lile japo matokeo yakazuiwa kutangazwa kutoka huko juu.

Huyu japo alishinda kura za wajumbe ila amekatwa na mwana fa kubeba mzigo.

Kuna kitu nyuma ya pazia.

Naamini sasa ukweli utawekwa peupeee na kivumbi kitatimka kweli kweli.
 
It is a pity! Blood bastard hopeless CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…