Hili jambo ndilo hata me lianifanya niamini hawezi hama, kimsingi kamezeshwa ndoano na atatakiwa kumnadi Katambi ambaye alimshinda kwa hila 2015.Masele hana jeuri hiyo tatizo lake anayo makando kando mengi ya huko nyuma alipo kuwa Naibu Waziri wa madini
Masele akibaki CCM atapata cheo kikubwa. AvumilieYani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.
Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Binafsi nimefurahi SANA KWA HAPADavid Silinde
Mhhh kweli watu wanajua mambo huyu jamaaa ni Tajiri hasaNdugai mnamsingizia tu. Masele ana ishu zake kwenye madini. Msifikiri wajuaji wako JF tu.
Hakuna rais anayeozea jela wa acaciaHana jeuri hiyo nakuthibitishia kwa asilimia Mia anakesi mbaya mno tena yenye ushahidi wa kuingiziwa mamilioni ya shilingi kwenye ac yake na aliyekuwa Rais wa Acacia yule anayeozea jela...
Pia yeye mwenyewe alivyopata Hilo Jimbo Kwa eti Kura moja haikuwa very convincing..akihama atafanyiwa figisu kama zilizompatia yeye ushindi 2010.Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
CCM ya awamu hii inayominya uhuru wa raia kama North KoreaNi haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
Ngoja akawatandike Tembo vizuriYule mbunge wa Kishapu aliyekamatwa na bunduki 16 naona CCM wamemla kichwa.
Pamoja na Mapambio ya Kuongeza Muda wa Urais kachinjwa Mchana kweupeNi vipi matokeo ya Juma Nkamia?
Safi.Yule mbunge wa Kishapu aliyekamatwa na bunduki 16 naona CCM wamemla kichwa.
It is a pity! Blood bastard hopeless CCMAnaandika Dr. Christopher Cyrilo,
Adadi Mohammed Rajabu Meta, mkurugenzi mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai wa zamani, mbunge wa jimbo la Muheza aliyemaliza muda wake, pia aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya ndani na usalama.
Huyu aliwahi kuitaka serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani itoe maelezo ya kutosha kuhusiana na matukio ya utekaji, utesaji na mashambulizi kwa viongozi wa kisiasa wakiwemo wabunge. Ni baada ya tukio la kushambuliwa Tundu Antipass Lissu.
Akiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya bunge inayoshughulikia mambo ya ndani, ulinzi na usalama, ripoti yake ya uchunguzi wa matukio ya utekaji na mashambulizi yaliyofanywa na watu "wasiojulikana" ilinyofolewa na kupotea katika mazingira ya kutatanisha, hukohuko bungeni.
Kwenye kura za maoni alipata kura 597, dhidi ya mtia nia mwingine Hamis Mwinjuma (Mwana FA) aliyepata kura 296.
Hamis Mwinjuma ameteuliwa kuwania ubunge Jimbo la Muheza.
Nampongeza Hamis Mwinjuma kwa kupewa nafasi hii ya kugombea ubunge nyumbani kwetu Muheza. Lakini niseme tu kwamba mazingira ya kupata nafasi hii si mazuri sana. Kijana kama anayajua mambo haya basi atakuwa mtu mwenye kutafakari sana wakati huu, ila kama haelewi atakuwa mwenye furaha. Kuhusu ushindi, kwake litakuwa jambo la bahati.
Tukutane Muheza!
View attachment 1543273View attachment 1543274
Alikuwa akitoa michango ya hovyo kabisaPamoja na Mapambio ya Kuongeza Muda wa Urais kachinjwa Mchana kweupe
Akalime uleziPamoja na Mapambio ya Kuongeza Muda wa Urais kachinjwa Mchana kweupe
Mwibara kukoje?Musiba out