Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima

Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)

Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde

Manyara
Jimbo la Babati Mjini

- Pauline Gekul

Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo

- Charles Kimei

Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi

Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe

Geita
Jimbo la Busanda

- Tumaini Braison Magesa

Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato

Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda

Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze

Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo

Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini

- Jonas Mbunda

Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid

Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange

Tabora
Jimbo la Kaliua
- Aloyce Kwezi

Shinyanga
Jimbo la Kishapu

- Boniface Butondo

Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja:
Morogoro
Jimbo la Mlimba

- Godwin Kunambi

Mwanza
Jimbo la Buchosa

- Erick Shigongo

Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege


= Orodha zaidi inakujia hivi punde =

Pia Soma
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

= > Uchaguzi 2020 - Yanayojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Wagombea Ubunge na Uwakilishi kujulikana leo

Wengi ni wapya watakao kwenda kumpitisha mkulu abadilishe katiba ili jamaa awe mtawala wa kudumu. Yaani hii game ova.

Kumbuka
Andrew chenge chali nguli wa sheria
Wamewapitisha
Kibajaji
Kesi
Waliotaka mambo yaendelee
 
Pia kule namtumbo Vita Kawawa alishindwa na eng. Ngonyani lakini V. Kawawa ndo kateuliwa.
Naona watoto wa wakubwa wa nchi wamepenyezwa kwa wingi nadhani lengo ni kuwaandaa na pia waendelee kula kimvulini
Wapo watoto wawili wa mzee Mwinyi
Wawili wa jakaya
Yupo mtoto wa pinda na wengine tu ukisikia jina unajua mulemule
 
Wanaoshinda hapo ni Kimei na mwana FA tu. Gwajima na Silinde hawashindi ata iweje na sababu ni kuwa wanagombea majimbo magumu sana yenye watu wagumu sana!!
Unapiga kura kwa kufuata mapigo ya moyo wako
 
Mwenye chama chake ndio ameshaamua hivyo.
 
Ni haki yake na anafaa upinzani sababu ni critic ila hasira za hivi hazina mwisho mzuri. Siasa zina hesabu zake, hata akienda upande mwingine kwa CCM ya awamu hii atashindwa tu! Akijichanganya tu ameharibu mazima.
Ushauri mzuri. Kucheza na Magu haihitaji hasira.
Akaongee na Lawrence Mbasha asikie yaliyomkuta, licha yakurudi bila mkia 🤭
 
Yani kwa Shinyanga mjini meza imepinduliwa vibaya mno.

Huyu jamaa akibaki CCM nameza kisu!
Mali ya CDM hiyo. Vinginevyo ACT wazalendo tafadhali chukueni hicho kifaa. Shinyanga mjini chagueni chama atakachohamia. Na mpatieni Kura zote za ndiyo
 
Back
Top Bottom