Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Naomba nipate ufafanuzi sentensi namba 3
 
Sasa hao Waarabu wana ustaarabu upi? Unafahamu wanayofanyiwa kina dada wanaokwenda kufanyakazi uarabuni?
Ukishakuwa Mwarabu huuhitaji ustaarabu. Unless uwe huelewi maana ya ustaarabu.

Hao wadada wa kazi hata hapa Tanzania wanadhalilishwa mpaka wamefikia kuitwa "beki tatu".
 

Uliambiwa kanisani ngano hii ??
 
Mmejitakia kwasababu ya upumbavu wenu,ndo maana bush alichinja waarabu laki mbili na bado anadunda uraiani
Kuna wangapi kwan wamechinja na wapo uraian na wangapi wasio hatia wapo gerezan? Ujinga ulianza zaman
 
Kwa akili yako fupi ya madrassa huu nao Ni ushahidi,hivi are you mentally fit kweli?? Umesoma Hadi darasa la ngapi
Sijenda shule nimeishia madrassa, wewe mwenzangu smart ndio maana unaamini mungu kazaliwa. Cha kushangaza umequote same post na kutoa different replies, nafkiri uko smart sana kiasi Edit hujui maana yake.

Sasa bas we na elimu yako ya kanisa tupo ushahidi wako?
 
Mkuu, samahani, we ni mwarabu pia? Au kama sio mwarabu, nijaalie kabila lako!? Maanake sio kwa povu hili aise!
 
Leta ushahidi kwamba machifu waliwauza watu weusi kwa kubadilishana na kioo,usituletee upuuzi uliodangnywa na sheikh madrassa,hapa sio facebook
Wewe ni mpuuzi tu, biashara ya watumwa unajua maana yake?

Unajua walikuwa wakiuzwa kwa pesa ngapi au Vito vya thamani gani.
 
Hivi kweli kabisa tunataka kubisha kwamba Waarabu hawakufanya biashara ya UTUMWA!?? Jamani, hebu tuache kutetea vitu visivyo teteeka. Africa mashariki nani alikua wa kwanza kufika kati ya Mzungu na Mwarabu!? Anyway, watu mnataka kutuaminisha kwamba eti waarabu sio makatiri, so hata hizi video za sasa hivi wanazo wafanya hasa dada zetu na baadhi ya wanaume wanao kwenda huko nazo ni UONGO!? Acheni hizo bwana.
 
Mkuu, samahani, we ni mwarabu pia? Au kama sio mwarabu, nijaalie kabila lako!? Maanake sio kwa povu hili aise!
Mimi mzanzibari, sijatoa povu apo..... wahka wako tu itakuwa.... tatizo mmepotoshwa na propaganda za kibara lakini ushahidi hamna....
 
Mimi mzanzibari, sijatoa povu apo..... wahka wako tu itakuwa.... tatizo mmepotoshwa na propaganda za kibara lakini ushahidi hamna....
Mi sija support wala kutetea, nilishangaa mkuu ulivyo kua mkali wakati topic wala haina uhusiano wowote na wewe Mnyamwezi wa Zanzibar!
 
Wairan sio waarabu
 
Mbona husemi vita vya Iraq na iran zaidi ya watu milioni mbili walikufa
Mmejitakia kwasababu ya upumbavu wenu,ndo maana bush alichinja waarabu laki mbili na bado anadunda uraiani
 
kama comoro ni nchi ya kiarabu bas na zanzibar nayo itakuwa ni nchi ya kiarabu.
 
Mbona husemi vita vya Iraq na iran zaidi ya watu milioni mbili walikufa
Tena Ronald Regan ndo alimpatia Saddam kemikali za sumu akawaue wairan, maislamu mapumbavu Sana,halafu yanalalamika Marekani wanatuua wakati yanauana yenyewe, mwarabu kuchinjwa Ni upumbavu wake wa Imani yake amejitakia mwenyewe,na yalivyo mapumbavu hata hayajiulizi kwanini huyo Allah wao hawasaidii, Mohammed mwenyewe alikufa kibogoyo haya maislamu yaliyobaki ndo yatakufa hamna meno kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…