Dogo acha UONGO
hivi unajua maana ya
Punda hapandi Mascat? (Punda hawezi mpanda farasi na akazaa nae)
ni marufuku kwa manyani yaliyochukuliwa utumwani huko Tabora, Mpwapwa kilosa na kwingineko kupelekwa Oman bila kuhasiwa
wakina mama walipelekwa Pemba labda ndiko unakosemea walipozaliwa Waarabu koko. vijana wa kiarabu walikuwa wanakuja Pemba na majahazi na kuzaa na Mama zetu na watoto wanawakataa ndio hao unaosikia mkijiita wapemba,
kuna vyama vingi tu tena vingine nlivikuta Temeke vya waYemeni Kusini Wamahra kuna wale wa Yemen Kaskazinina hata Wakorja na hao WaOman
kwanini huyo mleta Mada
The MaskmaN (aliyejivisha kinyago) asituwekee na upande wapili? sio kammimina misifa tu, Waarabu ni watu wasiofaa wanapiganisha waYemen wamemuua Khashogy sasa makombo ndio mnataka kuyatete
Leo UN imesema wapatane na Saudia isiwachokoze tena