Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Kuna dhana imejengeka kwamba kila anayevaa vazi la kanzu ni muislamu au mwarabu, kumbe si kweli, unaweza kumkuta mtu amevaa kanzu kumbe wala si muislamu kabisa. Miaka ya nyuma nilikuwa na safari nyingi za kikazi Unguja, na kila wikiendi wakati wa jioni hasa Ijumaa na Jumammosi nilipendelea kwenda Bwawani Hotel, wakati huo ndio kilikuwa kiwanja maarufu kwa ajili ya muziki wa disco, vyakula na vinywaji 'aina zote' na 'watu aina zote'. Wikiendi moja usiku mwingi nilikuwa nimekaa na wenzangu hapo Bwawani tukipata 'vyombo', na meza ya jirani walikuwepo 'waarabu watatu' wakiwa wamevaa kanzu huku wakiwa wamezungukwa na 'machangu kibao' na mezani kwao kukiwa kumefurika pombe za kila aina. Ni Taswira ambayo ilituchanganya wengi usiku ule. 'Waarabu' wale wanawezaje kunywa pombe na kuzungukwa na makahaba kwa uwazi bila kificho, tena kisiwani Unguja!!?? Ilitushangaza wengi, hata baadhi ya 'wenyeji' walianza kuhisi 'wanakwazwa' na uwepo wa 'waarabu' wale na vituko vyao. Ilibidi 'mwenyeji' mmoja aende kumwita polisi kuwahoji 'waarabu' wale kisa cha kuonesha tabia ile. Ilichukuwa dakika 2 tu 'kuimaliza kesi ile. 'Waarabu' wale walipoulizwa wakasema, wao si waarabu na wala si waislamu bali ni wakristo na wanatokea Lebanon, na aina ile ya mavazi kwao ni mavazi ya kawaida kabisa. Na wako Unguja kikazi, wanafanyakazi melini na kwa wakati huo meli yao ilikuwa ikishusha mizigo bandarini, nao wakaamua kuja Bwawani kujirusha.

Tangu siku ile nimejifunza kwamba si kila anayevaa kanzu ni mwarabu au muislamu.
 
Si kweli.... Mimi babu yangu alipelekwa Mtumwa akaoa muarabu na akamzaa baba yangu, baba alirudi nyumbani na kuoa na kisha kutuzaa sisi. Hata sasa ninavyo type msg hii nipo bara arabu kwa bibi zangu ambao wote ni waarabu.
mmh acha uongo biashara ya utumwa iliisha lini,na babaako kazaliwa lini mpaka akuzae wewe unaetype muda huu
 
mkuu Kilawo na tupo wengi tu kaka. Jirani zangu hapo mama yao alikuwa mtumwa kutoka kilwa. Aliolewa na Muarabu na watoto wakabahatika kwenda shule mmoja wao ni Meneja wa Bank moja kubwa tu huku tulipo ni juzi tu nimetoka kula futari kwenye villa yake. Mwegine ni mchezaji mpira analipwa fedha ndefu na ako na maisha mazuri sana tu. Mkuu Kilawo hizi huwa ni dhana tu za watu wanazipata kupitia vitabu tu lakini ukweli ndio huo. Wapo walioowa na kuolewa ingawa inawezekana ni kwa idadi ndogo lakini wapo.
kumbe utumwa upo hadi miaka hii
 
Huu ndiyo ujinga wa waafrika wasiojitambua, wanapata faida gani kujiita waarab wakati waarab walishaambiwa na Mtume kuwa waafrika ni watumwa wenye pua zilizobondeka, Sahih Moslem: Vol. 9, Pg. 46 - 47. Na kwenye kitabu cha Hadith waafrika wako refered as 'raisin heads,' Bukhari: Vol. 1, number 662 na Vol. 9 namba 256, na pia waarab waliambiwa kuwa Mtume anawachukia watu weusi kwani wanamuudhi, Ishaq: Pg. 243.....yote haya yameandikwa kwenye vitabu vya Hadith na Qur'an lakini waafriak bado wanakuwa wajinga tu na hawataki kukubali ukweli. Mfano wewe FaizaFoxy hivi unapata faida gani kujifanya mwarab mweusi wakati hauthaminiwi hata kidogo? Whatever you do kujifanya mwarab bado unaonekana ni kinyago tu kwao kwa sababu ndivyo walivyoambiwa na mtume wao kuwa watu weusi ni watumwa tu, refer kwenye hizo references hapo juu, najuwa hautasoma kuogopa kujuwa ukweli.
Sisi ambao hatuna pua zilizo pondeka je?
 
Sitaki kufanya reference kwenye vitabu hivyo vya Biblia na Korani kwasababu mbili, moja kuna watu humu hawaviamini hivyo vitabu vyote na sababu nyingine ya pili ni hi, binafsi ninaamini kwamba moja kati hivyo vitabu, kimoja ni cha Mungu na kingine ni mungu so kwasababu ya ubishani huo ambao hautakua na TIJA kwenye hu uzi nashauri, tufanye reference kupitia vitabu vingine hivyo vyenye hiyo historia ya NANI hasa aliyeanzisha biashara ya UTUMWA Afrika mashariki maanake huko kwenye hivyo vitabu vya Biblia na Korani nina hakika hatuwezi ipata hiyo historia cause mambo hayo yalifanyika wakati hivyo vitabu tayari vipo duniani! Ni swa sawa baada ya miaka 100 kutoka sasa eti wajukuu zetu watafute historia ya vyama vingi Tanzania through Biblia, Korani au vitabu vya Elvis Musiba wakati vyote hivyo vilitoka wakati tupo kwenye mfumo wa chama kimoja!
Itakuwa hujanielewa, sijatumia Bibilia wala Quran kuzungumzia historia ya utumwa. Nimetumia kwa ajili ya kukuonesha kuwa ndani ya kitabu kunaweza kuwemo ya ukweli na mengine ya uzushi, hivyo basi, hulazimiki kuamini chote isipokuwa yale ambayo ni ya kweli tu. Basi tutoke kwenye vitabu vya dini nikupe mfano mwengine.

Tujaalie mie nimetunga kitabu, ndani ya hicho kitabu nikataja majina ya marais tangu tupate uhuru, halafu ndani yake, nikasema kuwa rais wa awamu ya tatu alikuwa Dk. Ali Mohammed Shein. Je ikiwa marais wote nliowataja mwanzo ni sahihi ila nikazusha wa awamu ya kwanza, maanake wote nliowataja watakuwa nimewazusha?
 
Waarabu wanapenda vita sana, hili sikuliona humo kwenye sifa
 
Habari zenu watu wa JF..

Leo tupate kujua kidogo kuhusiana na hawa watu tunaowaita "Waarabu"...Nimepitia pitia kidogo nchi zao na pia kusoma vitabu vyao vinavyoelezea maisha yao...haya yafuatayo ndio niliopata kuyafahamu kutoka kwa "waarabu":-

1.Neno "uarabu"-"arab" ni neno linalowakilisha asili/tamaduni/culture na sio rangi kama wengi tujuavyo.

2.Duniani kuna nchi 22 za kiarabu,yani waishipo waarabu nazo ni-Lebanon,Syria,Morocco,misri,Tunisia,Iran,iraq,Jordan,kuwait,Qatar,Saudi arabia,Somalia,Djibouti,Comoro,Sudan,Palestina,Mauritania,Algeria,Oman,UAE,Bahrain na Yemen.

3.Waarabu wote sio Waislamu,Na Waislamu wote sio waarabu..ingawa kundi kubwa la waarabu ni waislamu,wachache sana ndio wakristo na Wayahudi.

4.Waarabu ni watu ambao wanawaheshimu sana Wazee na Watawala wao...Ni mwiko sana kukosoa,kudhihaki na hata kumfokea mtu aliyekuzidi umri au aliye mtawala wako.Wana Heshima yenye hofu kubwa yaweza ikawa kuliko taifa zingine zote.

5.Sio Mataifa yote ya kiarabu vazi lao la utamaduni ni kanzu,la hasha,bali yapo mataifa ya kiarabu ni nadra sana kumuona mtu kavaa kanzu nayo ni mojawapo Syria,Misri na Lebanon.

6.Kwenye Lugha ya kiarabu,lugha/ishara ya mwili(body language) ni kitu muhimu sana kuliko hata maongezi yenyewe..Pata muda tizama clips zao.

7.Lugha ya kiarabu ni miongoni mwa lugha inayozungumzwa kwa mfanano karibia mataifa yote ya kiarabu...mfano kwenye kiingereza kuna kiingereza cha wales,australia,marekani n.k

8.Sifa kubwa ya waarabu katika ulaji chakula ni "kutumia mkono" yaani no kijiko no uma..hata awe tajiri kiasi gani dhana yake ya kwanza kwenye kula ni "mkono wake"..Hii imepelekea kupenda kuwa na hotel/migahawa yao mahsusi.

9.Ukiwa kwenye mkutano/meeting ni mwiko kutizama saa iwe ukutani au mkononi,ukifanya hivyo ni ishara ya kuwadharau walioko kwenye mkutano.

10.Mahusiano ya kifamilia/undugu yana nguvu sana kwa waarabu..kwa mfano unaeza kuta nyumba moja wanaishi karibia ukoo/yani bibi wa bibi mpaka babu wa babu na wajukuu wake.

11.Umri hauna nafasi katika kujitegemea yani kuwa huru na makatazo au amri au huduma za wazazi..yani mtu anaweza akafika hata miaka 40 lakini akawa anahudumiwa na wazazi wake.

12.kwa kawaida uchukua zaidi ya mwaka na miezi saba kujua lugha ya kiarabu kwa ufasaha.

13.kinywaji kikubwa katika nchi za waarabu ni kahawa...

AHSANTENI NI HAYO TU YA KWANGU....MENGINE KUHUSU WAARABU NAHISI TUTAYAPATA KUTOKA KWA WACHANGIAJI...[emoji120]
Umesahau tabia ya kugegedana kinyume na maumbile, a.k.a tigo (0713...). Hawa waarabu ndiyo zao.
 
Wasyria wamisiri walebanon na wa iraqi hawa si Waarabu ila wewe unachanganya Ilamic culture na uarabu ! Ishmael baba ya Waarabu aliziwa baada ya mataifa hayo kuwepo. Halafu wale Iran (Persia) ni waajemi na acha kabisa uongo wako kuwa wayahudi ni Waarabu au toka lini Mwafrika akajiita mzungu ?
 
Kwani ,Roho Mtakatifu wako alikuambia mada ni kujilipua??
twende taratibu ni wapi nimeandika kujilipua? au unanichanganya na wengine
mbona rahisi tu kuwafahamu waarabu na silika zao!
tembelea Zanzibar Jumba la Makumbusho, Jumba la maajabu utapata yote ya hawa waarabu mazuri na mabaya usiingize Dini wala rangi
Ninachozungumzia ni ubaguzi wao wa rangi, wakati wana Nchi yao Oman Yemen Bahrain nk
 
twende taratibu ni wapi nimeandika kujilipua? au unanichanganya na wengine
mbona rahisi tu kuwafahamu waarabu na silika zao!
tembelea Zanzibar Jumba la Makumbusho, Jumba la maajabu utapata yote ya hawa waarabu mazuri na mabaya usiingize Dini wala rangi
Ninachozungumzia ni ubaguzi wao wa rangi, wakati wana Nchi yao Oman Yemen Bahrain nk

Hata bila kuangalia picha watizame waafrika na ubaguzi wao , kama si CCM hupati kazi ukifuga ndevu wewe ni gaidi , muulize Tundu Lisu kapigwa risasi na waarabu? Mbowe kawekwa korokoroni na waarabu? wale masheikh waliofungwa jela na maelfu ya waislamu walioko korokoroni na hao wanaovunjiwa nyumba na madhila mengi yote ni waarabu
 
Habari zenu watu wa JF..

Leo tupate kujua kidogo kuhusiana na hawa watu tunaowaita "Waarabu"...Nimepitia pitia kidogo nchi zao na pia kusoma vitabu vyao vinavyoelezea maisha yao...haya yafuatayo ndio niliopata kuyafahamu kutoka kwa "waarabu":-

1.Neno "uarabu"-"arab" ni neno linalowakilisha asili/tamaduni/culture na sio rangi kama wengi tujuavyo.

2.Duniani kuna nchi 22 za kiarabu,yani waishipo waarabu nazo ni-Lebanon,Syria,Morocco,misri,Tunisia,Iran,iraq,Jordan,kuwait,Qatar,Saudi arabia,Somalia,Djibouti,Comoro,Sudan,Palestina,Mauritania,Algeria,Oman,UAE,Bahrain na Yemen.

3.Waarabu wote sio Waislamu,Na Waislamu wote sio waarabu..ingawa kundi kubwa la waarabu ni waislamu,wachache sana ndio wakristo na Wayahudi.

4.Waarabu ni watu ambao wanawaheshimu sana Wazee na Watawala wao...Ni mwiko sana kukosoa,kudhihaki na hata kumfokea mtu aliyekuzidi umri au aliye mtawala wako.Wana Heshima yenye hofu kubwa yaweza ikawa kuliko taifa zingine zote.

5.Sio Mataifa yote ya kiarabu vazi lao la utamaduni ni kanzu,la hasha,bali yapo mataifa ya kiarabu ni nadra sana kumuona mtu kavaa kanzu nayo ni mojawapo Syria,Misri na Lebanon.

6.Kwenye Lugha ya kiarabu,lugha/ishara ya mwili(body language) ni kitu muhimu sana kuliko hata maongezi yenyewe..Pata muda tizama clips zao.

7.Lugha ya kiarabu ni miongoni mwa lugha inayozungumzwa kwa mfanano karibia mataifa yote ya kiarabu...mfano kwenye kiingereza kuna kiingereza cha wales,australia,marekani n.k

8.Sifa kubwa ya waarabu katika ulaji chakula ni "kutumia mkono" yaani no kijiko no uma..hata awe tajiri kiasi gani dhana yake ya kwanza kwenye kula ni "mkono wake"..Hii imepelekea kupenda kuwa na hotel/migahawa yao mahsusi.

9.Ukiwa kwenye mkutano/meeting ni mwiko kutizama saa iwe ukutani au mkononi,ukifanya hivyo ni ishara ya kuwadharau walioko kwenye mkutano.

10.Mahusiano ya kifamilia/undugu yana nguvu sana kwa waarabu..kwa mfano unaeza kuta nyumba moja wanaishi karibia ukoo/yani bibi wa bibi mpaka babu wa babu na wajukuu wake.

11.Umri hauna nafasi katika kujitegemea yani kuwa huru na makatazo au amri au huduma za wazazi..yani mtu anaweza akafika hata miaka 40 lakini akawa anahudumiwa na wazazi wake.

12.kwa kawaida uchukua zaidi ya mwaka na miezi saba kujua lugha ya kiarabu kwa ufasaha.

13.kinywaji kikubwa katika nchi za waarabu ni kahawa...

AHSANTENI NI HAYO TU YA KWANGU....MENGINE KUHUSU WAARABU NAHISI TUTAYAPATA KUTOKA KWA WACHANGIAJI...[emoji120]
Waarabu wanaendeshwa gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Back
Top Bottom