Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Pumbafuuu ndo maana Koran ilikojolewa cause Ni mavi matupuu
Ata wewe ulimkojolea mzee wako wakati anakulea... sasa sijui na yeye ni mavi.... Dont take it personal... Just wanna show how educated you are with your examples..
 
Mi sija support wala kutetea, nilishangaa mkuu ulivyo kua mkali wakati topic wala haina uhusiano wowote na wewe Mnyamwezi wa Zanzibar!
Nafikiri basi hii topic nzima ilikuwa haihusu humu. Wangepelekewa waarabu wenyewe, au mwarabu wa dubai wasemaje?
 
Mashuleni wanafundisha Historia kupitia story ambayo Serikali inataka iwe. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu, aliekuwa akiuza na kununua watumwa ndio hao hao wazungu wanaoabudiwa leo na kuonekana wa maana. Wamekuja Afrika wakafisidi rasilimali zetu, wakawachukuwa waafrika na kwenda kuwatuma marekani mashambani. Mwarabu kaja hata hakufika mbali, kaishia Lamu hapo basi tena utakuta story zinavozungumzwa kumfanya muarabu aonekane kinara wa utumwa, watu hata hawafikirii, kinara wa utumwa ata Uganda hajafika? Je wale waliotawala Afrika Nzima wao watakuwa nani? Tusirudi nyuma sana, SA tu apo si juzi jamaa katiwa kwenye shimo la mavi na wazungu?

Mwarabu kaja Zanzibar, kapapenda, akaleta Maendeleo, TV channel ya Kwanza Zanzibar, Taa barabarani kabla New york ni Zanzibar, Gorofa EA nzima ni Zanzibar, Mifereji majumbani kwanza Zanzibar, Zanzibar hio hio ilikuwa ikitoa misaada kwa uingereze wakati wa Vita, Leo eti wanasema Mwarabu kinara wa utumwa, Utumwa huo kamtuma nani? Hebu na waje waniambie, mwarabu kaondoka Zanzibar au Afrika na rasilimali gani? Karafuu zenyewe pemba kazileta Mwarabu kutoka bara la Asia uko.

Waniambie rasilimali waliowapokonya waafrika hawa waarabu ni ipi kiasi kwamba waitwe vinara wa utumwa?

Mpaka Kesho Afrika inaibiwa rasilimali na Wazungu, nenda Congo tu apo uone ukoloni wa mamboleo!

Walisema kuwa Beit Al Aab (house of Wonder) Nguzo zake zilijengwa kwa vichwa vya watumwa. Mungu Kawadhalilisha lile jengo miaka michache nyuma liliporomoka Nguzo, hakuna ata kipande cha mfupa wa kuku. Zile zama za kudanganywa zimekwisha, siku izi mambo yapo wazi!

Walisema Bi Khole alikuwa analala na mtumwa kila siku akisha anamkata uume wake..... Ukiwauliza ushahidi hawana! Wapo kuchafua historia ya watu tu, wanataka tuamini kuwa utawala wa kisultani ulikuwa wa kidhulma, huu wa saivi tuuite vipi basi? Zanzibar ipo nyuma kwenye kila kitu.
wanachuki na warab coz wao ndio walileta dini ya uislam Est Africa in fact
 
KING LEOPOLD 2 wa belgium kawua wakongo zaid hata ya million 1 wengine kakata mikono wengin migu lakin ucki chochote tukifundishwa Ma shuleni kama vil haijulikan huu ndio mda Wa Africa twamke tujielewe sio tunakuwa tunaishi kwa Akili za kukarilishwa mashuleni tu!!!
220px-MutilatedChildrenFromCongo.jpeg
 
Nafikiri basi hii topic nzima ilikuwa haihusu humu. Wangepelekewa waarabu wenyewe, au mwarabu wa dubai wasemaje?
Hakuna tatizo lolote kujilijadiri kabila au taifa lolote humu hata kama wao hawapo, shida yangu ni ile kitu ya kutoka POVU wakati wewe ni mweusi mwenzangu usie na interest na yeyote, either awe mzungu au mwarabu
 
Hakuna tatizo lolote kujilijadiri kabila au taifa lolote humu hata kama wao hawapo, shida yangu ni ile kitu ya kutoka POVU wakati wewe ni mweusi mwenzangu usie na interest na yeyote, either awe mzungu au mwarabu
Sasa kama hakuna tatizo lolote kulijadili humu tena wewe unasumbuliwa na nini? kwani na mimi si nimejadili tu? Categorize yourself as Black, lakini mimi i am categorizing myself as human being. Upuuzi wa rangi wanao wenye akili za kitumwa tu
 
Ndivyo ilivyoandikwa Quran,sema suu nkuiabishe, nyingine eti mwizi akikamatwa akatwe mikono,alfu unamalizia na takbir, uislamu bwana unawafunga Sana watu akili

Kwani huyo unayemuabudu aliyebebwa na shetani na kuonyeshwa mji alikuambia ukimkamata mwizi umvulie chupi??
 
Sasa kama hakuna tatizo lolote kulijadili humu tena wewe unasumbuliwa na nini? kwani na mimi si nimejadili tu? Categorize yourself as Black, lakini mimi i am categorizing myself as human being. Upuuzi wa rangi wanao wenye akili za kitumwa tu
Hapo kwenye bold tayari umeisha onesha inferiority complex, binadamu duniani tumeumbwa kwa rangi tofauti tofauti, weusi (Waafrica ) tukiwepo, kama wewe sio mwarabu basi ni my fellow black, HOFU yako ni nini!? Remember, wakati tunakuja duniani, hakukua na OMBI kwa Muumba tuwe rangi gani, tumejikuta tu tuko hivyo na wale wapo vile. Anyway, back to to the topic, kwani kati ya Wazungu na Waarabu ni nani alikua wa kwanza kuja hapa Africa mashariki!? Huyo wa kwanza ndiye aliye anzisha biashara ya UTUMWA, aliyehamisha Waha/Wamanyema wa Kigoma na Wanyamwezi wa Tabora hadi Zanzibar through Bagamoyo hakua Mzungu, alikua Mwarabu, sasa nyie hata hili mnataka kubisha!?? How!?
 
Huku kwetu Ukifika miaka 30 na bado upo Nyumbani.Walimwengu wanaanza kukuandama.Bongo Nyoso
 
Hapo kwenye bold tayari umeisha onesha inferiority complex, binadamu duniani tumeumbwa kwa rangi tofauti tofauti, weusi (Waafrica ) tukiwepo, kama wewe sio mwarabu basi ni my fellow black, HOFU yako ni nini!? Remember, wakati tunakuja duniani, hakukua na OMBI kwa Muumba tuwe rangi gani, tumejikuta tu tuko hivyo na wale wapo vile. Anyway, back to to the topic, kwani kati ya Wazungu na Waarabu ni nani alikua wa kwanza kuja hapa Africa mashariki!? Huyo wa kwanza ndiye aliye anzisha biashara ya UTUMWA, aliyehamisha Waha/Wamanyema wa Kigoma na Wanyamwezi wa Tabora hadi Zanzibar through Bagamoyo hakua Mzungu, alikua Mwarabu, sasa nyie hata hili mnataka kubisha!?? How!?
Classifying myself as Human you are calling it inferiority complex? Ahahahaha shughuli basi.....

Aliekuja kwanza east Afrika ni Portuguese, rudi tena shule usome historia kwanza.

Na kama hujui, portuguese walifanya unyama sana visiwani, mkoloni huyo huyo aliondolewa Oman na waarabu, ndipo Wazanzibari nao wakatuma ujumbe Oman kwa waarabu kutaka msaada kutoka kwao kuwaondoa wareno kama walivowaondoa makwao, na wamekuja hapa wamewaondoa. Bila kutumia nguvu yoyote ile, mwarabu akakubalika kuwa kiongozi Zanzibar. Isitoshe, Mji mkuu wa Oman kipindi hicho ulibadilishwa na kuwa Zanzibar!. Haya yote huyajui maana unakurupuka.

Ulichosema hichi;
kwani kati ya Wazungu na Waarabu ni nani alikua wa kwanza kuja hapa Africa mashariki!? Huyo wa kwanza ndiye aliye anzisha biashara ya UTUMWA - Jibu alikuwa Mzungu.....
 
Classifying myself as Human you are calling it inferiority complex? Ahahahaha shughuli basi.....

Aliekuja kwanza east Afrika ni Portuguese, rudi tena shule usome historia kwanza.

Na kama hujui, portuguese walifanya unyama sana visiwani, mkoloni huyo huyo aliondolewa Oman na waarabu, ndipo Wazanzibari nao wakatuma ujumbe Oman kwa waarabu kutaka msaada kutoka kwao kuwaondoa wareno kama walivowaondoa makwao, na wamekuja hapa wamewaondoa. Bila kutumia nguvu yoyote ile, mwarabu akakubalika kuwa kiongozi Zanzibar. Isitoshe, Mji mkuu wa Oman kipindi hicho ulibadilishwa na kuwa Zanzibar!. Haya yote huyajui maana unakurupuka.

Ulichosema hichi;
kwani kati ya Wazungu na Waarabu ni nani alikua wa kwanza kuja hapa Africa mashariki!? Huyo wa kwanza ndiye aliye anzisha biashara ya UTUMWA - Jibu alikuwa Mzungu.....
There you are, walikua Wareno and you knew it through HISTORY na history hiyo hiyo unayo nishauri kwenda kuisoma ndio imetufundisha kwamba Waarabu ndio waliofanya biashara ya UTUMWA hasa Tanganyika na ushahidi upo, ni hayo magofu yaliopo Bagamoyo na Zanzibar. Nimekuingiza kingi na umeingia, well hicho ulicho soma kuhusu Wareno, kwanini kitabu hicho hicho kinacho eleza habari za UNYAMA wa Waarabu hutaki kukiamini? Chagua moja, either uamini kitabu chote na historia yake au pingana na kitabu kizima cha historia ili um save MWarabu wako wa Omani na ukatiri wao.
 
Inabidi washtakiwe kwa uhuni walioufanya na sasa wanaanza tena kiaina
 
There you are, walikua Wareno and you knew it through HISTORY na history hiyo hiyo unayo nishauri kwenda kuisoma ndio imetufundisha kwamba Waarabu ndio waliofanya biashara ya UTUMWA hasa Tanganyika na ushahidi upo, ni hayo magofu yaliopo Bagamoyo na Zanzibar. Nimekuingiza kingi na umeingia, well hicho ulicho soma kuhusu Wareno, kwanini kitabu hicho hicho kinacho eleza habari za UNYAMA wa Waarabu hutaki kukiamini? Chagua moja, either uamini kitabu chote na historia yake au pingana na kitabu kizima cha historia ili um save MWarabu wako wa Omani na ukatiri wao.
Umenifurahisha kwa sababu ya kuonesha how low you are in terms of knowledge. ivi nikikuletea bibilia ambayo inavitabu viwili vya mwanzo sahihi na vyengine nimevimodify itamaanisha kuwa hakuna ukweli kwenye icho kitabu ata mmoja? Pathetic!

And just FYI, history books zipo nyingi tu, huhitaji kusoma kitabu kimoja tu ndio ukawa unajua historia.... Uzuri wa Zanzibar kuna watu wapo hai hadi sasa ambao walikuwepo enzi za utawala wa sultan. cha kushangaza, kutoka midomoni mwao husikii kuwa eti wanawake walifagilishwa barabara kwa maziwa (breasts) yao. 😀

Tafuta elimu kwanza, kingi umejiingiza mwenyewe, kitabu nlichosoma mie na ulichosoma wewe sio sawa.

By the way, achilia mbali waarabu na wazungu, Waswahili wenyewe wamefanya biashara ya utumwa!
 
Umenifurahisha kwa sababu ya kuonesha how low you are in terms of knowledge. ivi nikikuletea bibilia ambayo inavitabu viwili vya mwanzo sahihi na vyengine nimevimodify itamaanisha kuwa hakuna ukweli kwenye icho kitabu ata mmoja? Pathetic!

And just FYI, history books zipo nyingi tu, huhitaji kusoma kitabu kimoja tu ndio ukawa unajua historia.... Uzuri wa Zanzibar kuna watu wapo hai hadi sasa ambao walikuwepo enzi za utawala wa sultan. cha kushangaza, kutoka midomoni mwao husikii kuwa eti wanawake walifagilishwa barabara kwa maziwa (breasts) yao. 😀

Tafuta elimu kwanza, kingi umejiingiza mwenyewe, kitabu nlichosoma mie na ulichosoma wewe sio sawa.

By the way, achilia mbali waarabu na wazungu, Waswahili wenyewe wamefanya biashara ya utumwa!
Umeanza kubadiri topic, ukianzisha mambo ya dini jukwaani humu hakutakalika, tuendelee na maada maanake kama Mwarabu tu kuguswa umepaniki hivi, tukitaja Kuraani je!? Si ndio utachoma jukwaa Zima hili? Kama huna HOJA we better stop debating brother.
 
Umeanza kubadiri topic, ukianzisha mambo ya dini jukwaani humu hakutakalika, tuendelee na maada maanake kama Mwarabu tu kuguswa umepaniki hivi, tukitaja Kuraani je!? Si ndio utachoma jukwaa Zima hili? Kama huna HOJA we better stop debating brother.
Mada imebadilishwa wapi? mbona kisingizio? kitabu cha bibilia ni mfano tu ambao unaonyesha jinis gani ulivo na akili finyo.... maana umeona labda kitabu hakiwezi kuwa na ukweli na uongo ndani yake..... 😀 umeguswa wewe baada ya kupata mshtuko kujua kuwa wazungu ndio walioanzisha utumwa 😀

Ningekushauri, urudi tena shule ukasome tena historia na ufatilie ujue ukweli ni upi na siasa ni zipi, if you did not know Portuguese were the first here, how can you even debate?

By the way, wewe ni racist tu, mbona tayari it has revealed itself......
 
Mada imebadilishwa wapi? mbona kisingizio? kitabu cha bibilia ni mfano tu ambao unaonyesha jinis gani ulivo na akili finyo.... maana umeona labda kitabu hakiwezi kuwa na ukweli na uongo ndani yake..... 😀 umeguswa wewe baada ya kupata mshtuko kujua kuwa wazungu ndio walioanzisha utumwa 😀

Ningekushauri, urudi tena shule ukasome tena historia na ufatilie ujue ukweli ni upi na siasa ni zipi, if you did not know Portuguese were the first here, how can you even debate?

By the way, wewe ni racist tu, mbona tayari it has revealed itself......
Sitaki kufanya reference kwenye vitabu hivyo vya Biblia na Korani kwasababu mbili, moja kuna watu humu hawaviamini hivyo vitabu vyote na sababu nyingine ya pili ni hi, binafsi ninaamini kwamba moja kati hivyo vitabu, kimoja ni cha Mungu na kingine ni mungu so kwasababu ya ubishani huo ambao hautakua na TIJA kwenye hu uzi nashauri, tufanye reference kupitia vitabu vingine hivyo vyenye hiyo historia ya NANI hasa aliyeanzisha biashara ya UTUMWA Afrika mashariki maanake huko kwenye hivyo vitabu vya Biblia na Korani nina hakika hatuwezi ipata hiyo historia cause mambo hayo yalifanyika wakati hivyo vitabu tayari vipo duniani! Ni swa sawa baada ya miaka 100 kutoka sasa eti wajukuu zetu watafute historia ya vyama vingi Tanzania through Biblia, Korani au vitabu vya Elvis Musiba wakati vyote hivyo vilitoka wakati tupo kwenye mfumo wa chama kimoja!
 
Back
Top Bottom