lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
dini ya majahazi imekufanya ushupaze shingo km ngamia?kichwa sio cha kufugia nywele wala kunyoa kiduku.Wewe ulivukwa na ubwabwa wa shingo, kwaio kitu kikiwa kimetokea karne na karne manake ndio kupotoshwe au? Ukweli upi niliopotosha? Kuwa Mwafrika alimuuza mwafirika mwenzake au?
Wapo wengi kuliko unavyowaza. Ipo miji leo imebaki na watu weusi tupu na weupe wachache sana.Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Tatizo watu mnapenda kukosoa bila kuweka hadharani vyanzo vya taarifa zenu. Mna base zaidi kwenye oral tradition. Jambo ambalo ni risk kwa walaji wa taarifa.Povu linantoka mie ambae nae records sawa au povu linawatoka nyie wazungu weusi mlonyanyaswa afrika nzima? 😀
Ni kweli nchi za kiarabu(ARAB LEAGUE) ziko22, ila katika hizo ulizotaja wewe ziko 23, umeongeza Iran ambayo siyo, IRAN ni PERSIANHabari zenu watu wa JF..
Leo tupate kujua kidogo kuhusiana na hawa watu tunaowaita "Waarabu"...Nimepitia pitia kidogo nchi zao na pia kusoma vitabu vyao vinavyoelezea maisha yao...haya yafuatayo ndio niliopata kuyafahamu kutoka kwa "waarabu":-
1.Neno "uarabu"-"arab" ni neno linalowakilisha asili/tamaduni/culture na sio rangi kama wengi tujuavyo.
2.Duniani kuna nchi 22 za kiarabu,yani waishipo waarabu nazo ni-Lebanon,Syria,Morocco,misri,Tunisia,Iran,iraq,Jordan,kuwait,Qatar,Saudi arabia,Somalia,Djibouti,Comoro,Sudan,Palestina,Mauritania,Algeria,Oman,UAE,Bahrain na Yemen.
3.Waarabu wote sio Waislamu,Na Waislamu wote sio waarabu..ingawa kundi kubwa la waarabu ni waislamu,wachache sana ndio wakristo na Wayahudi.
4.Waarabu ni watu ambao wanawaheshimu sana Wazee na Watawala wao...Ni mwiko sana kukosoa,kudhihaki na hata kumfokea mtu aliyekuzidi umri au aliye mtawala wako.Wana Heshima yenye hofu kubwa yaweza ikawa kuliko taifa zingine zote.
5.Sio Mataifa yote ya kiarabu vazi lao la utamaduni ni kanzu,la hasha,bali yapo mataifa ya kiarabu ni nadra sana kumuona mtu kavaa kanzu nayo ni mojawapo Syria,Misri na Lebanon.
6.Kwenye Lugha ya kiarabu,lugha/ishara ya mwili(body language) ni kitu muhimu sana kuliko hata maongezi yenyewe..Pata muda tizama clips zao.
7.Lugha ya kiarabu ni miongoni mwa lugha inayozungumzwa kwa mfanano karibia mataifa yote ya kiarabu...mfano kwenye kiingereza kuna kiingereza cha wales,australia,marekani n.k
8.Sifa kubwa ya waarabu katika ulaji chakula ni "kutumia mkono" yaani no kijiko no uma..hata awe tajiri kiasi gani dhana yake ya kwanza kwenye kula ni "mkono wake"..Hii imepelekea kupenda kuwa na hotel/migahawa yao mahsusi.
9.Ukiwa kwenye mkutano/meeting ni mwiko kutizama saa iwe ukutani au mkononi,ukifanya hivyo ni ishara ya kuwadharau walioko kwenye mkutano.
10.Mahusiano ya kifamilia/undugu yana nguvu sana kwa waarabu..kwa mfano unaeza kuta nyumba moja wanaishi karibia ukoo/yani bibi wa bibi mpaka babu wa babu na wajukuu wake.
11.Umri hauna nafasi katika kujitegemea yani kuwa huru na makatazo au amri au huduma za wazazi..yani mtu anaweza akafika hata miaka 40 lakini akawa anahudumiwa na wazazi wake.
12.kwa kawaida uchukua zaidi ya mwaka na miezi saba kujua lugha ya kiarabu kwa ufasaha.
13.kinywaji kikubwa katika nchi za waarabu ni kahawa...
AHSANTENI NI HAYO TU YA KWANGU....MENGINE KUHUSU WAARABU NAHISI TUTAYAPATA KUTOKA KWA WACHANGIAJI...[emoji120]
Hizo ndizo Propaganda za Historia ulizoelezwa ya kuwa Watumwa walipelekwa Urabuni na kuhasiwa................Watumwa wengi walipelekwa Nchi za Ulaya na za Magharibi waarabu walikuwa wafanya Biashara wasioogopa hivyo kupewa Dili la kuleta watu kwa wazungu ili wakafanye kazi huko mpaka Mapinduzi ya Viwanda yalipofanyika ndipo hao hao Wazungu wakaona basi hawahitaji tena Watumwa....................!!!!! Someni Historia Vizuri na Uielewe kwa Kina............Dunia hii imejaa Propaganda sanaaaa.......Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Umechangia Hoja Vizuri ila umeshangaza tu pale ulipoitaja chama chako CCM tu hivi huwezi changia hoja bila kutaja CCM.........??????!!!!!!Ushahidi upi uliokuwa nao kuwa mababu zenu wamefanywa watumwa na waarabu? Sijui mnakuwa mnajitoa akili au ndio chuki zenu mkikosa la kusema! 😀 😀 😀 Nyerere aliwaambia wanawake wanafagilishwa barabara unguja kwa maziwa au nani kawafundisha mambo haya? Sio nyinyi mliokuwa mkiwauza ndugu zenu vijijini kwa wazungu kisa unapewa kioo ujitizame?
Nianze kukupangia kila nchi na Colonial Master wake akisha tutajua nani kashamiri kwa biashara ya utumwa?
Mwarabu katoka Oman kaja Zanzibar Enzi hizo, kufika tu, kaifanya Zanzibar Mji mkuu wa Oman. Ivi unaweza kunambia taifa gani limefanya ivo kwa Afrika zaidi ya kuwadharau tu? Nyie na CCM ya Zanzibar mkieneza chuki dhidi ya Waarabu, lakini walivokuja na meli yao kina Balozi wakafunga bandari hamna kazi kuwapisha waarabu waingie, mnajifanya watumwa kabla ya kutumwa 😀
Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Waafrika lakin asili yao ni toleo la mwisho la waarabuWasomali si waarab, never.
Sultan said mwaka 1840Alienza kuitawala zanzibar ndio alieanza hio biashara
Sasa mkuu lete uthibitisho katika hilo...Wasomali si waarab, never.
Yes mkuu that is true..but i was trying to describe what i have...Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Nafikiri kiswahili kitakua shida kwako...ukiilewa hii comment yangu utakua umejua what i wroteAcha kusifia ujinga ujinga
Sasa wakuu mnao kataa hzo nchi sio za kiarabu mna kuja na facts zipi?..au unahisi kama tusemavyo waswahili?Somalia na Djibouti si nchi za kiarabu.
Kwanini somalia na comoro sio nchi za kiarabu?Nchi 22 za kiarabu halafu umetaja nchi kumi tu .Halafu Somalia na Comoro nazo ni nchi za kiarabu?..Kama Comoro ni nchi ya kiarabu ungeijumuisha na Zanzibar
Mkuu pitia kidogo wikipedia naona mna comment vitu ambavyo hamna elimu navyo...but no offenseNchi 22 za kiarabu halafu umetaja nchi kumi tu .Halafu Somalia na Comoro nazo ni nchi za kiarabu?..Kama Comoro ni nchi ya kiarabu ungeijumuisha na Zanzibar
Kasome vizuri mkuu utaelewa..labd uwe sio mtanzania so kiswahili ni shidaNamba 3 mbona hujaeleweka, umesema “waarabu wote sio waislamu” , yaani unamaanisha hakuna mwarabu ambae ni muislam.
Go back to wikipedia..afu count vizuri hizo zipo 22Ni kweli nchi za kiarabu(ARAB LEAGUE) ziko22, ila katika hizo ulizotaja wewe ziko 23, umeongeza Iran ambayo siyo, IRAN ni PERSIAN
Ndio maana nkasema according to what i read n see...kwahiyo ni vzr mkuu ulivyotaja ili tujue ni kwnn no libyaMbona Libya hujaitaja au sio Nchi ya Kiarabu?