Naona watu wanahangaika sana, kwanza niwe muwazi, binafsi mimi ni muislamu, naweza kuchangia hiki kidogo nilichonacho
Uislamu ni kitu kingine na mwarabu ni kitu kingine, mwarabu nae ni binadamu km alivyo hussein wa nyamisati, andrew wa kwa mtogole na chausiku wa k/koo, so hakuna mkamilifu, mkamilifu ni mungu pekee yake, nakiri kuna waarabu safi na waarabu washenzi tena wale washenzi waliopindukia na hii ni moja ya sababu mitume mingi kupelekwa kule sababu ya ushenzi wao, binafsi naamin mitume ilipekwa pale kwa sababu kuu 2, japo kuna visababu vinhine vidogo vidogo kadhaa ila hizi mbili naona ni za msingi
1. Sababu ya ulimwengu kuanzia hapo, yaani kazi ya mitume ilikuwa ni kufundisha ya mungu, kukataza mabaya na kufundisha mema ili tupate kuishi vyema, kwahiyo manabii km nuhu na wengi wa mwanzo naamini walipelekwa pale sababu ya uwepo wa watu maeneo yale sitaki kuamin kipindi cha nuhu eti watu walikuwa wamesambaa mpaka china, amerika ya kusini huko au australia hapana, watu walikuwepo pale na ndio maana lina nuhu wakawepo pale
2. Sababu ya pili hii ni kutokana na ushenzi wa waarabu, sababu mitume mingi km kina muhammad na wengineo waliletwa kipindi ambacho dunia imesambaa,hata koguryeo ilikiwa tayaar imeexist, sehemu mbali mbali watu walikuwa tayar wameanxisha makazi mpaka africa watu tayar walikuwepo, sasa tujiulize waarabu walikuwa safi au washenzi mdio maana wakapelekewa mtume, mbona hakupelekwa hata kwa kina jumong, inawezekana mungu aliona hawa wengine wana moyo laini watapokea mafunzo, ila pia kikiharibika kizazi pale ulimwengu na mitume mingi imepitia basi ulimwemgu utaharibika kwa kiasi kikubwa(mungu ndio amajua zaidi) kipindi muhammad anakuja kuikamilisha kazi waliofanya kina nuhu, salehe, zakaria, daudi,yusuf, yakubu, yahaya, ayubu ibrahim, suleimani, mussa, issa bin marym na wengineo, ukichunguza hawa mitume wengi walikutana na visa, mikasa na ujeuri mkubwa wa watu wa mashariki ya kati, enzi za ujahilia kabla mtume kuna watu walikuwa wanazika watoto wa kike, kuna watu walikuwa wanabet kabisa kuwa mimba ile ni mtoto wa kiume ama wa kike nakupelekea kujikuta wanampasua huyo mwanamke ili kupata kuhakiki kilichomo, hebu we fikiria mwenyewe, na mambo kibao ambayo mtume muhammad(s.a.w) alikuja kuyakataza na kuleta sheria km nilivyosema alikuja kukamilisha kazi za mitume minginie na ndio maana karibia na kifo chake alisema ametukamilishia dini yetu, yaani alikuja kuweka viraka na kuziba mule kwenye mapungufu mfano katika torati ya musa kuna vitu vichache mnoo yeye alikuja kuongezea nyama mule kulipo pungua na kuleta ya ziada na kiada(nimekumbuka shule ya msingi) katika zaburi ya daudi na injili ya issa bin mariam pia kuna vitu havikuwemo yeye alikuja kuviweka sawa kukamilisha dini maana baada ya yeye hakukuwa na mwingine wa kuja ndio maana katika quraan unakutana na maelezo mengi, quraan imeelezea na kutufunza vingi baadhi ya vitu vichache ambavyo quraan ima imetolea maelezo au imetufunza ni
Ndoa(17)
Haki(16)
Madaraka/mamlaka(3)
Watoto(22)
Mavazi(7)
Wanyama(8)
Ndugu(25)
Wake(22)
Wanawake(41)
Interest(7)
Wealth(37)
Yatima(19)
Ujirani(1)
Ndoa(17)
Utu(28)
Tabia(9)
Kifo(11)
Maradhi(12)
Zawadi(24)
Kusamehe(28)
Vinywaji(11)
Talaka(5)
Rushwa(10)
Crime(65)
Earthquake(11)
Hivi vyote tumefunzwa vimeelekezwa ndani ya quraan na vingine vingi vingi.
Quraan pia imezungumzia mambo ya kisayansi mie napenda kuita science facts, quraan imezungumzia
1. Sky as a protector
2.function of mountains
3. Movements of mountains
4.orbits
5.wormholes
6. Atoms
7. Expanaion of universe
8. Sex of baby
9. Cerbrum
10.time relativity
11. Presence of iron
12deep sea and internal waves
13. Proportion of rain
14.identity of fingerprints
15 lowest point on earth
16. Pulsar and black hole
17. Clouds..
Hebu fikiria mtume alikuwa jangwani huko hakuwa mvuvi wala hakuwahi kufanya kazi za bahari ila kazungumzia bahari 2 zilizokitana bila maji yake kuchanganyana, mambo ya deep sea na internal waves, alizungumzia mambo yajayo km victory of romans, tujitahidi kusoma tujue ukweli wa mambo ile dhana ya ukitaka kumficha mtu ukweli uweke kwenye kitabu hapa huwa naiona saana.
Dhumuni halikuwa kuleta mambo ya udini katika uzi huu wa ndugu yangu, lengo lilikuwa ni kitofautisha baina ya uislam na mwaarabu, maana waislam wenzangu wanataka kufanya muarabu ndio awe nembo ya uislam kitu ambacho si kweli, enzi za nabii lut sodoma na gomora ilikuwaje si watu hao hao wa mashariki ya kati.. Waarabu nao ni watu km wengine kuna wema na washenzi pia. Niwatakie siku njema