Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Lete ushahidi machifu walipewa vioo
slave trade.PNG


Zamu yako
 
Mkuu, ukitaka wawe mabubu waambie wakuletee picha za mwarabu akiwa na mtumwa, utakuta za kuchora tu. Hata picha za watu wapo kwenye mashamba ya karafuu humkuti warabu akiwa na bakora.

Wanakariri mambo ya shuleni
 
Itapendeza ukiweka na link uliyotumia kupigia chabo hizi taarifa. Ziko juu juu mno kama short-clips za youtube [emoji41]
 
Ushahidi upi uliokuwa nao kuwa mababu zenu wamefanywa watumwa na waarabu? Sijui mnakuwa mnajitoa akili au ndio chuki zenu mkikosa la kusema! 😀 😀 😀 Nyerere aliwaambia wanawake wanafagilishwa barabara unguja kwa maziwa au nani kawafundisha mambo haya? Sio nyinyi mliokuwa mkiwauza ndugu zenu vijijini kwa wazungu kisa unapewa kioo ujitizame?

Nianze kukupangia kila nchi na Colonial Master wake akisha tutajua nani kashamiri kwa biashara ya utumwa?

Mwarabu katoka Oman kaja Zanzibar Enzi hizo, kufika tu, kaifanya Zanzibar Mji mkuu wa Oman. Ivi unaweza kunambia taifa gani limefanya ivo kwa Afrika zaidi ya kuwadharau tu? Nyie na CCM ya Zanzibar mkieneza chuki dhidi ya Waarabu, lakini walivokuja na meli yao kina Balozi wakafunga bandari hamna kazi kuwapisha waarabu waingie, mnajifanya watumwa kabla ya kutumwa 😀
Kwa hiyo unataka kutuambia Waarabu hawakuuza watu?,ba yale makumbusho ya watumwa pale Unguja yanamuongelea nani?,bora Mzungu japo kwa unafiki alikomesha biashara ya utumwa kuliko hao unaowatetea,bora mzungu aliwachukua waafrika utumwani lkn hakuwaasi na ndo maana kuna waafrika wengi katika nchi ambazo wazungu walisimamia utumwa..lkn Waarabu ni hovyo kabisa
 
mkuu Kilawo na tupo wengi tu kaka. Jirani zangu hapo mama yao alikuwa mtumwa kutoka kilwa. Aliolewa na Muarabu na watoto wakabahatika kwenda shule mmoja wao ni Meneja wa Bank moja kubwa tu huku tulipo ni juzi tu nimetoka kula futari kwenye villa yake. Mwegine ni mchezaji mpira analipwa fedha ndefu na ako na maisha mazuri sana tu. Mkuu Kilawo hizi huwa ni dhana tu za watu wanazipata kupitia vitabu tu lakini ukweli ndio huo. Wapo walioowa na kuolewa ingawa inawezekana ni kwa idadi ndogo lakini wapo.
Huenda hao ni wachache waliobahatika
 
Kwa hiyo unataka kutuambia Waarabu hawakuuza watu?,ba yale makumbusho ya watumwa pale Unguja yanamuongelea nani?,bora Mzungu japo kwa unafiki alikomesha biashara ya utumwa kuliko hao unaowatetea,bora mzungu aliwachukua waafrika utumwani lkn hakuwaasi na ndo maana kuna waafrika wengi katika nchi ambazo wazungu walisimamia utumwa..lkn Waarabu ni hovyo kabisa
Sina la kuongeza, mtu unaeona bora kuishi na mnafiki kuliko mbaya umjuae 😀 ukapimwe
 
Ongeza hapo kuwa walipofanya biashara ya utumwa waliwahasi mababu zetu ili wasiweze kuzaliana. Na ndo maana pamoja na kwamba waarabu ndo walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na watumwa wengi pia walipelekwa uarabuni hatuwezi kuona masalia ya viazi vya watu weusi kule uarabuni kama ilivyo African-Americans
Waarabu ni watu wabaya sana.Wamewatesa sana Babu zetu.Na mpaka Leo hii bado wanawanyanyasa ndugu zetu waafrika.Makampuni yote ta Waarabu wanawanyanyasa waafrika.Hebu jiulize au waulize wanaofuga wanyama anavyoteseka mnyama akihasiwa na fikiria binadamu aliteseka kiasi gani alipohasiwa?
 
Mkuu, ukitaka wawe mabubu waambie wakuletee picha za mwarabu akiwa na mtumwa, utakuta za kuchora tu. Hata picha za watu wapo kwenye mashamba ya karafuu humkuti warabu akiwa na bakora.
Mimi sijui historia vizuri ila naomba unijibu maswali haya ambayo nadhani kwa uelewa wako mkubwa katika hizi nyanja utanijibu. Vituo vya watumwa vya Pangani , Bagamoyo na Zanzibar vilisimamiwa na nani?. Nitafurahi sana kama wewe utatuletea picha za Wazungu na watumwa wa East Africa.

Black Americans wengi ambao ni matokeo ya utumwa wanasema origin yao ni maeneo ya africa magharibi. Je watumwa kutoka africa mashariki walipelekwa wapi?. Nitafurahi sana ukinambia japo kwa ufupi destination ya watumwa kutoka afrika mashariki.
 
Nasikia wanawake wao kuolewa na watu wa asili tofauti kama Waafrica ni mtihani sana
 
Ushahidi upi uliokuwa nao kuwa mababu zenu wamefanywa watumwa na waarabu? Sijui mnakuwa mnajitoa akili au ndio chuki zenu mkikosa la kusema! 😀 😀 😀 Nyerere aliwaambia wanawake wanafagilishwa barabara unguja kwa maziwa au nani kawafundisha mambo haya? Sio nyinyi mliokuwa mkiwauza ndugu zenu vijijini kwa wazungu kisa unapewa kioo ujitizame?

Nianze kukupangia kila nchi na Colonial Master wake akisha tutajua nani kashamiri kwa biashara ya utumwa?

Mwarabu katoka Oman kaja Zanzibar Enzi hizo, kufika tu, kaifanya Zanzibar Mji mkuu wa Oman. Ivi unaweza kunambia taifa gani limefanya ivo kwa Afrika zaidi ya kuwadharau tu? Nyie na CCM ya Zanzibar mkieneza chuki dhidi ya Waarabu, lakini walivokuja na meli yao kina Balozi wakafunga bandari hamna kazi kuwapisha waarabu waingie, mnajifanya watumwa kabla ya kutumwa 😀
Leta ushahidi kwamba machifu waliwauza watu weusi kwa kubadilishana na kioo,usituletee upuuzi uliodangnywa na sheikh madrassa,hapa sio facebook
 
Kanye West hajakosea. Tatizo watu hawautaki ukweli.

Chief anauza watu wake kwa wageni wakafanywe watumwa kwa sababu kapewa kioo 😀 😀 halafu kuna mashuhuda wa hilo na bado wanaendelea kumwita jamaa chief wao!
Una ushahidi??? Maana hata waarabu kuuawa na Marekani n Israel Ni choice yao,wamejitakia wenyewe
 
Back
Top Bottom