Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

Mkuu upo vizuri..much respect to you
 
Sultan said mwaka 1840


Ila walianza kitambo kabla ya hapa. Historia inasema waarab walianza kuua na kutesa waafrika wa Zanzibar toka karne ya 5 (500AD). Waliwachuku utumwani na kuwahasi wanaume ili wasizaane na kubaka wanawake as sex slaves. Wanaume wengi walitoswa majini baada ya kucoka kazi kutokana na uzee ama magonjwa maana walikuwa hawafai tena kwa mabosi wao.
 
Mzee kwa waarabu hii tabia ya kuoa mke zaidi ya mmoj ipo? Au waafrica tu ndo hukazania iko kipengele?
 
Kuna nchi nyingi za kiarabu umeziruka hapo MF.Libya na Sudan
 
Nataka kujua zaidi kuhusu wanawake wa kiarabu na taabia zao
 
Mkuu hujasoma shule au hata kujuwa history ya waafrika na Afrika as a whole? Somalians are Africans na si waarab hata wao wenyewe watakuambia hivyo.
basi nahisi utakuwa upo sekondari....tena form two...kwani morocco,algeria,tunisia na misri sio waafrika?..kama hujafika hata degree tuliza mpira
 
Sultan said mwaka 1840
Maskini ulivokosea, kama hamuijui Historia ya watu ni kheri kukaa kimya tu, ya huko kwenu wenyewe hamuijui akisha mnajifanya wajuaji ya wasiokuhusu.

haya nakufundisha historia kuwa, Mtawala wa Mwanzo Zanzibar ni Mreno... (Portugal). Naomba uende ukamsute mwalimu wako wa historia.
 
Umechangia Hoja Vizuri ila umeshangaza tu pale ulipoitaja chama chako CCM tu hivi huwezi changia hoja bila kutaja CCM.........??????!!!!!!
Mkuu CCM ya Zanzibar, inahusika moja kwa moja na kuichafua historia ya Zanzibar ili kulinda maslahi yao. Ndio maana nkaitaja CCM ya ZANZIBAR sio ya BARA. CCM ya Zanzibar siku za kampeni walikuwa wakimtukana Maalim Seif, wakidai kuwa anataka kurudisha Usultani. Ni wao ndio waliopindua Utawala wa barghash, ni wao ndio wanaohalalisha kitendo icho kupitia historia yao. Ni wajibu wao kuwaaminisha watu kuwa mapinduzi yalikuwa lazima yafanyike.

Ukiongea Historia ya Zanzibar akisha ukawa hujazungumzia vyama vya siasa, utakuwa umetoa mukhtasari tu lakini habari kamili hujaitoa.
 
Tatizo watu mnapenda kukosoa bila kuweka hadharani vyanzo vya taarifa zenu. Mna base zaidi kwenye oral tradition. Jambo ambalo ni risk kwa walaji wa taarifa.
Tuna wazee wetu ambao walikuwepo wakati huo Karume yupo Hai. Hata written tradition can be distorted. Historia ya Zanzibar iko very controversial.
 
Mkuu una hoja nzito za kuwatoa tongo Watanganyika wanaojiita maprofesa.
Mkuu, ukitaka wawe mabubu waambie wakuletee picha za mwarabu akiwa na mtumwa, utakuta za kuchora tu. Hata picha za watu wapo kwenye mashamba ya karafuu humkuti warabu akiwa na bakora.
 
Wazungu kufanya biashara ya utumwa haifuti fact kwamba waarabu walifanya ushetani wote ni kapu moja
Babu Yako alomuuza kakake hakuwa Shetani nae? Si alipewa kioo tu ajitizame akaona ana pacha mwenzake sasa akawa hana shida ya kakake akamuuza kwa wazungu? Nani shetani zaidi sasa hapo?
 
Babu Yako alomuuza kakake hakuwa Shetani nae? Si alipewa kioo tu ajitizame akaona ana pacha mwenzake sasa akawa hana shida ya kakake akamuuza kwa wazungu? Nani shetani zaidi sasa hapo?
Hakuna kitu Kama hicho waarabu walitumia mtutu,kuchukua watumwa na wewe kwa akili yako ya kushikiwa unaamini hizo habari za vioo,ukishikiwa akili yako umeshikiwa maisha yako

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu Kama hicho waarabu walitumia mtutu,kuchukua watumwa na wewe kwa akili yako ya kushikiwa unaamini hizo habari za vioo,ukishikiwa akili yako umeshikiwa maisha yako

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Lete ushahidi waarabu waliwashikia mtutu πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Nitajie nchi zilizotawaliwa na waarabu Afrika na zile zilizotawaliwa na wazungu Afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…