Wafahamu Wachezaji hatari wa Al Ahli Tripoli, Simba hawatoboi

Awana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.
Ila mmeamua kuwapa sifa sizo.

Misimu miwili hi mta struggle mechi za kitaifa.
Tunawaambia hawaelewi
 
Ukitumia mahaba ya ushabiki ...hautelewa....$ but Kama utafanya uchambuzi.... utaelewa
Mimi Yanga kweli ila mpira si upo wazi wale waarabu hawana Timu ya kuitoa Simba ila wangecheza na Azam hapo ningekuelewa maana Azam wao wanacheza CAF kama mashindano ya ligi za ndani.
 
unaogopa kila ukiona "al "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…