Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Nchi hii wote wezi tu hakuna cha waislam wala wakristo

Ova

HAKUNA KITU KAMA HIKO,ANGALIA NI ASILIMIA NGAPI YA WAISLAM NA WAKRISTO WAMEHODHI OFISI ZA UMMA NDANI YA NCHI HII,MBAYA ZAIDI WANAJINASIBU KUWA ET WAO NI WASOMII,SASA HUO USOMI WENU UKO WAPI??

KILA SIKU NI WATU WA MADEAL NA WIZI TUH,RUSHWA,UBADHIRIFU NA KUJIFANYA KILA JUMA PILI KUKIMBILIA KUTOA SADAKA MAKANISANI,UNAJISKIAJE PROUD KWA KUTOA SADAKA KWA FEDHA ULIYOWAIBIA WALALAHOI??
 
Teh teh duniani gani hiyo

Msikiti kanisani kote ovyo tu

Ova
 
Mwanzo nimekwambia Kuna Uzi upo humu unaongelea CV za hao wajumbe ukaniambia nikupe huo Uzi, nimekupa Uzi na nikakuambia soma post #22 bado unaniambia nikuwekee CV.
 
MAJITU YA HOVYO KWELI KWELI,WATU WANA SHIDA YA MAJI,UMEME,BARA BARA MIAKA NENDA RUDI,

NYINYI MNAIBA FEDHA MNATOROSHA NJE YA NCHI,WENGINE VERY PROUD KILA JUMA PILI KUKIMBIZA HIZO FEDHA ETI KUTOLEA SADAKA YA FUNGU LA KUMI,,REALLY??

MFANO ILE ISHU YA ESCROW,MAJITU HAYANA HATA AIBU YANACHUKUA FEDHA ZA WIZI KWENDA KUGAWA MAKANISANI,HOVYO KABISA
 
Msafi nani nchi

Ova
 
MIMI SEHEMU YYTE AKIWA KAFIR NI KIONGOZI LAZIMA NINA KUWA NA MASHAKA TUH,WACHACHE SANA WANA HOFU NA MUNGU,WENGI NI VIBAKA NA WAPIGA MADEAL TUH
 
Kwa hiyo unaamini akiteuliwa mkatoliki ni uwakilishi mzuri wa ukristo kwa msabato, kwamba msabato ataridhika amewakilishwa?
Au akiteuliwa muislam wa Shia, itamridhisha msunni kama Ponda?

Kwa ujumla utaratibu wa kusema serikali haina dini ni utaratibu mzuri kuuzingatia. Dini isiangaliwe kwa vyovyote katika uteuzi au nafasi zozote za utendaji. Waangalie tu sifa zingine za elimu, ujuzi na uzoefu n.k. Ukisha angalia tu mgawanyo wa kidini mwishowe itafika huko ambako madhehebu yatataka yawakilishwe proportionally.
 
HOW DO YOU FEEEL??
Ha ha ha haaa !

THE BIG SHOW oyeeee! Nadhani, yale magoli matano aliyofungwa Simba timu na mpinzani wake bado yamemchanganya. Ukizingatia, anaweza kuwa alifanya ubashiri (betting). Mimi namuombea msamaha kwenu.

Ha ha haaaaa!
 
Sawa sawa. Sasa makaveli10 siku ukisikia idara/taasisi fulani wapo Wagalatia watupu muache kuja na vile vijarida vyenu vyenye list ya wasomi wa Kiislam. Nitakukumbusha siku mkianza kulalamika
Mara nyingi mie si mlalamikaji wa upuuzi upuuzi..

Mie siwezi mpigania muislam akae sehemu sababu weengi wao hawana hata manufaa kwa huo uislam wenyewe, kwakuwa nchi si ya kidini basi hakuna haja ya kupigania mtu achaguliwe kwa udini wake.

Ishu ya wagalatia wa nchi hii ni ishu paana sana.. Niliyoyasoma na kuyaona huenda mie nawe tukatofautiana kimtazamo pakubwa tu.
 
Msafi nani nchi

Ova

SWALI LAKO JIBU NI SIMPLE TUH,TOKEA NCH HII IPATE UHURU SI MLIONA MFUMO KRISTO NDIYO SLOGAN YA KUENDESHA NCHI HII??

SI MLIJIONA KUWA NYINYI NI WASOMI NA SISI WATU WA MADRASA HATUNA KITU TUNAJUA??SI MLIONA NYINYI NDIE WENYE WELEDI WA KUONGOZA KILA TAASISI HIZI ZA UMMA NA SERIKALI KWA UJUMLA??

HAYA SASA TUELEZENI,NYINYI MNAOJIITA WASOMI MMELIFIKISHA WAPI TAIFA HILI??

KWANI KIPIMO CHA USOMI WENU HASA NI KIPI?KUIBA NA UFISADI??
 
Nyie waabudu sanamu na jiwe mna nini cha maana mnafanya mkipewa nafasi? Ndiyo maana Mama Samia kaona awale kichwa kabla hamjaharibu zaidi hapo TCRA

WAABUDU SANAMU NI NANI BAINA YANGU NA YAKO??

NYINYI SI NDIO AMBAO MMECHONGA SANAMU LA YESU NA MAMA YAKE MARIA KISHA MKAWATUNDIKA UCHI HUKO MAKANISANI NA KILA SIKU MNAOMBA KWA KUTAZAMA HAYO MASANAMU NA KUTAKA MSAADA KWAO??

KAMA HIYO HAITOSHI MENGINE MNAYAVAA HADI SHINGONI MWENU.SASA NANI MUABUDU SANAMU KATI YANGU MIMI NA WEWE KAFIRI??
 
Vipi kuhusu hizi kenge zilizowekwa na yule mfu alikwisha oza saa hizi utadhani ni baraza la kanisa ili wapige na kudhulumu korosho za wakulima

ADMINISTRATION BODI YA KOROSHO​


RETIRED.BRIG. GENERAL ALOYCE DAMIAN MWANJILE
Board Chairman


FRANCIS ALFRED
Director General


REUBEN PUTAPUTA
Acting Director of Finance and Administration


REVELIAN .S. NGAIZA
Acting Director of Marketing and Quality Control


LUSESHELO SILOMBA
Director of Agriculture and Processing
 
Nia sio kuwaridhisha waumini wa dini hizi. Nia ni kuwa na wigo mpana wa uzoefu. Unapokuwa na bodi inayosimamia mawasiliano ni vizuri kuwa na watu watakaoweza kueleza kwa nini upande mmoja unachukizwa na mambo ambayo wanaona yanagusa jamii yao. Msunni ataelewa zaidi kwa nini muislamu mwenzake amechukizwa na vitendo fulani kuliko mgalatia. Na mgalatia nae atamfahamisha kwa nini hilo halimsumbui. Sijazungumzia proportionality. Usemi ni kuwa serikali haina dini lakini raia wake wana dini. Kujifanya haioni hilo ni kujidanganya. Siku hizi karibu kila kikao kinafunguliwa kwa sala na dua. Huo ndio ukweli wenyewe.

Amandla...
 
Mbona hukuwataja Chief Internal Auditor, Chief Accountant na Agricultural Planning Manage?

Amandla...
 
Hii nchi kuna watu hufikiri wakiamka asubuhi na kwenda kwenye mihangaiko yao wanafikiri ndiyo hivyo.
Mipangilio mizuri na ufanyaji kazi mzuri wa serikali ndiyo unakufanya uishi maisha ambayo unawaza.
Hamia Sudan au Somalia ndiyo utajua umuhimu wa kuwepo serikali.
Akitumbuliwa au TCRA isipokuwepo wewe inakusaidia nini. Ni mtu mzima lakini usiwaze km mtoto
 
Cv zao ilikuaje. Huenda hamna kitu hapo. Yaani mamlaka muhimu inaenda kupewa bodi kichaa. Unakuta management ndio inaendesha bodi badala ya bodi kudhibiti na kuendesha management. Haya mambo ya ujinga yanatumaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…