Wafahamu wasanii sita(6) bongo wanaomiliki magari ya gharama zaidi kwa sasa

Binamu umeshindaje? Nilikuwa kwenye majukumu ya kujenga taifa si unajua kazi na dawa?, nimerud aiseeh..[/QUOTE

Poa lete mambo au leo utakuwa busy na my wiii si unajua leo ni siku ganii
 
 
 
Ingekua imetoka gazetini ivi ningesema muandishi kanjanja maana habari full mahaba uyu Wema huu mpira wenye nao wameuchukua,Diamond kaka Chief kasema kampa atoe gundu,Uwoya hajui hata kadi ilipo hapo nguli ni Jide 2 maana kuna wasanii hizo mark X zinasubiri ila hawana mbwe2.
 
inaonekana hujui thaman ya magari, mark x pale yard kinondoni bei ya kuanzia ni mil 25 kabla hujaongea, iyo benz ya uwoya si yake ni ya mshkaj flan alikua anamla ila kwa sasa huyo mshkaj kashamwaga mzigo so huwez kumuona akipiga picha nayo tena!!! v8 kwa sasa bongo haivuki mil 100 kwa sababu ni gari ya 2010 get real my friend!!!

kuna mtu anayejua wema sepetu chanzo chake cha pesa???
 
Akili hauna yaani evoque mil 65!Hujui magari sio bure!Range ya kibwege tu zaidi ya million mia afu evoque ndo 65!Wema na uwoya wote washapokonywa hayo magari
 

Sio kweli, mark x imezidi sana ml20. Tu
 
wakiwa nayo sishangai ila kama hawana ndo nitashangaa kwa jinsi wanavyoyapamba magaziti pendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…