Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakishaathirika ndio tutaungana nao kupinga dhulumaKuna namna tunakosea,hili Tangazo wametoa lini?
Kuna watu wako dar leo wanasubiri kesho waingie kariakoo wakusanye mzigo,wengine wametoka mikoani na hata nje ya nchi...huu mgomo utawaathiri sana.
Stoo za kariakoo ziwe Tunduma !sio mikoani tu, wengine wametoka zambia, congo, burundi na rwanda. wamekuja kufunga mzigo kariakoo. ila wakinga najua ni wajanja sana wanagoma hapo kumbe nasikia wameweka maduka ya jumla Tunduma, wazambia na wakongo wanafungia mzigo pale, wachaga sana wa kariakoo wanaungana nao kumbe wenzao biashara inaendelea tunduma. sijafika hivi karibuni tunduma ila nasikia wakinga wameweka store zao za kariakoo tunduma.
wanasema ni branch, na kule tunduma wanachukua kwa bei ile ile ya kariakoo. mkinga ana duka kariakoo na tawi la bei ile ile ya juma kaweka tunduma. kwa hiyo mkigoma yeye biashara inaendelea na wateja wengi wanaotoa pesa ndefu ni wazambia na wacongo wanafunga mzigo. sasa ndugu zangu wachagga wa kariakoo msiingie mkenge, ninyi ndio mtafilisika kwasababu biashara zenu zitasimama.
Lisit??Kina wafanya kigoma ni Nini
Kifachofanyika ni.sheria kutekelezeka
Tu maduka mengi yakioko kariakoo yamegeuka kuwa store.
Hata hivyo kutoa lisit kwa muzaji ni takwa la kisheria na wala si hiar.
Wauzaji wa maduka watoe lisit na sivinginevyo na tangazo likwishatoka kwa kwa ugaguzi kwa wafanyabiara nnchi nzima kuona muzaji na manunuzi amapewa lisit na muzaji anatoa lisit
Watoe lisit tu kwa maendeleo ya taifa letu
Wasilete janja janja kariakoo
Hii ya pili na ya tatu naunga mkono yaendelee kufanywa cause wafanyabiashara wetu si waaminifu. Under rate imekuwa kubwa na hizo store zinatumika kama vichochoro vya kukwepa kodi. Mtu anaweka mzigo kwenye store tofauti Ili kuwadanganya TRA. Hiyo ya bandarini tu ndio kuna hoja upande wa wafanyabiashara.Kuna tetesi ya mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo.
Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuguzi wa risiti
Wao wapo tayari kufanya biashara kwa uhuru na kulipa kodi bila mambo ya rushwa rushwa na maonezi.
Rai kwa mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za haraka hili jambo lisitokee. Pale ni kitovu cha biashara ukanda huu. Makosa kidogo tunaweza hamisha hii biashara kwa jirani zetu.
sasa bro, wewe na we si mtanzania? hebu tuonyeshe shamba la ngano au la mahindi unalolima? sisi wananchi tunatakiwa kuchukua hatua kufanya kilimo biashara, sidhani kama serikali haijaweka mazingira rafiki ya kilimo. ukisafiri kwa basi unakutana na mapori kila sehemu yapo tu, hakuna watu wa kulima ila tunalaumu serikali kwamba inafanya watu waagize chakula nje? hizo akili au matope? wewe umefanya nini walau ili kutuhakikishia kuwa ukishika nchi utakuwa na pa kuanzia.Serikali ya ccm tangu imekaa madarakani ni miaka ya mtumishi wa serikali kustafu, lakini hadi Leo hii bado Tanzania inaagiza mahindi, ngano, Michele na sukari kutoka nje ya nchi pamoja na ardhi yenye rutba nyingi tena ni kubwa kuliko hata mahitaji yetu, lakini walishindwa kuendeleza pale alipo ishia mkoloni kwenye swala la maendeleo hasa upande wa kilimo, walicho chukua wao ni wizi tuu hamna kingine,
Natamani siku moja wakiwa kwenye mkutano wao pale dodoma atokee alshababu ajilipue, awaue wote washenzi wale
Hawataki kulipa kodiKwanini hawataki stoo zisajiliwe?
Mgomo usio na athari sio mgomo huo.Kuna namna tunakosea,hili Tangazo wametoa lini?
Kuna watu wako dar leo wanasubiri kesho waingie kariakoo wakusanye mzigo,wengine wametoka mikoani na hata nje ya nchi...huu mgomo utawaathiri sana.
Yaaani...Serikali ya ccm tangu imekaa madarakani ni miaka ya mtumishi wa serikali kustafu, lakini hadi Leo hii bado Tanzania inaagiza mahindi, ngano, Michele na sukari kutoka nje ya nchi pamoja na ardhi yenye rutba nyingi tena ni kubwa kuliko hata mahitaji yetu, lakini walishindwa kuendeleza pale alipo ishia mkoloni kwenye swala la maendeleo hasa upande wa kilimo, walicho chukua wao ni wizi tuu hamna kingine,
Natamani siku moja wakiwa kwenye mkutano wao pale dodoma atokee alshababu ajilipue, awaue wote washenzi wale
Nothing to saywatu kufanyiana hujuma kwa kupandishiana kodi na tozo na fitina bandarini.
Solutions ipo! Tatizo wanaoweza kurekebisha hilo awapiti JF. Ningeweka hapa hiyo SolutionMkuu heshima kwako.
Unadhan nin kifanyike?, Kumbuka serikali haina uwezo wa kufanya biashara wala kuendesha viwanda.
Sababu Machinga hawalipiHawataki kulipa kodi
Hali vipi huko leo?Ni kweli, Na Hatufungui KWELI...
Kama maisha yanaenda bila k.koo kaeni sasa tuone mwisho wake.
Ubunifu zero,kodi kila eneo usifanye hiki hawa hapa,usiweke hiki Hawa hapa
Yani unashindwa hata waelewa wanachotaka ni nini na miaka yote marais wengine walikua wanaendeshaje Nchi!
Hatufungui madukaHali vipi huko leo?
Poa, hata mimi siji kufungua langu kama ndio hivyoHatufungui maduka
TRA wanapigwa mapema na Kariakoo Dabi!! Utakuja niambia!!Wacha tuone hii ligi
Na mimi leo sifungui, na hatufungui tena hadi kieleweke, maana ni mgomo usio na kikomo 😂, wacha tuendelee kufanya biashara mtandaoni tu.TRA wanapigwa mapema na Kariakoo Dabi!! Utakuja niambia!!