DOKEZO Wafanyabiashara Kariakoo kugoma Mei 15, 2023

DOKEZO Wafanyabiashara Kariakoo kugoma Mei 15, 2023

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Dawa ni serikali iache siasa kila mtu apewe efd haijalishi ni machinga au sio imradi uko kkoo
 
Hakuna haja ya porojo , jisomee mwenyewe .

FB_IMG_1684061756058.jpg


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Endeleeni kupima uwezo wa wanawake kwenye uongozi. Huwa wanatafsiri kuwa mnawadharau kwakuwa wanawake, reactions zao mtajuta. Endeleeni, kugoma muone matokeo yake.
 
Mm nimembiwa na mmoja wa wafanyabiashara kariakoo kuwa wanagomea tozo zinazolazimishwa mizigo ya stoo
Wasijaribu... Dola haiwezi kutikiswa na hawa wafanya biashara wapumbafu wenye mitaji ya milioni hamsini hamsini ambao wameanza kuota pembe na kudhani kuwa wana korodani kubwa kuliko dola... wataumia!
 
Daah! Hapa kazi kweli kweli! Kamata kamata ya bidhaa kivipi? Tunaomba ufafanuzi!!! Ili tuwapigie wenye mamlaka
 
Kuna namna tunakosea,hili Tangazo wametoa lini?
Kuna watu wako dar leo wanasubiri kesho waingie kariakoo wakusanye mzigo,wengine wametoka mikoani na hata nje ya nchi...huu mgomo utawaathiri sana.
 
1.URASIMU, UTAJUAJE KAMA MIMI BOSI BANA. {HAKIKISHA UJIPENDEKEZA PEDEKEZA NA TOA KITU KIDOGO}
2.LIPENI KODI JAMANI, MATUMIZI MSIULIZE NI UKOSEFU WA UZALENDO. KWANI CAG SI YUPO?
 
Hakuna haja ya porojo , jisomee mwenyewe .

View attachment 2622142

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
hawa ni wa kukamata. wapande tu ndege waende hata marekani wakaone kama kuna uhuru wa biashara wanaousema hapo. uhuru wa biashara utakuja kama unaingiza mizigo kihalali na unatoa kodi. hapo watakulinda na kukulinda, ila pale unapokwepa kodi ukaona unafuatiliwa unaanza kugoma, ni ujinga. though najua hapa anayetafutwa ni watu wa bandarini, lazima watafukuzwa.
 
Kuna namna tunakosea,hili Tangazo wametoa lini?
Kuna watu wako dar leo wanasubiri kesho waingie kariakoo wakusanye mzigo,wengine wametoka mikoani na hata nje ya nchi...huu mgomo utawaathiri sana.
sio mikoani tu, wengine wametoka zambia, congo, burundi na rwanda. wamekuja kufunga mzigo kariakoo. ila wakinga najua ni wajanja sana wanagoma hapo kumbe nasikia wameweka maduka ya jumla Tunduma, wazambia na wakongo wanafungia mzigo pale, wachaga sana wa kariakoo wanaungana nao kumbe wenzao biashara inaendelea tunduma. sijafika hivi karibuni tunduma ila nasikia wakinga wameweka store zao za kariakoo tunduma.
 
Kuna namna tunakosea,hili Tangazo wametoa lini?
Kuna watu wako dar leo wanasubiri kesho waingie kariakoo wakusanye mzigo,wengine wametoka mikoani na hata nje ya nchi...huu mgomo utawaathiri sana.
Watafungua watakuhudumia watafunga hawawezi kufunga Kwa mtu wa mbali
 
Wamezoea kukwepa kodi hao. Kama taifa tuna safari ndefu sana kwenye kupiga vita rushwa, kama wewe ni myoofu ukiwa sehemu kama bandarini basi unaonekana ni kikwazo na mrasimu.

Wafanyabiashara wetu wameshazoea kufanya kazi na mitandao ya wapigaji, wanapenyeza rupia kisha mambo yao yanaenda.

Kama sekeseke hili ni la kweli basi i can guarantee you kuwa watakao tuhumiwa huko bandarini ni wale watakatifu.
 
Kina wafanya kigoma ni Nini
Kifachofanyika ni.sheria kutekelezeka
Tu maduka mengi yakioko kariakoo yamegeuka kuwa store.
Hata hivyo kutoa lisit kwa muzaji ni takwa la kisheria na wala si hiar.

Wauzaji wa maduka watoe lisit na sivinginevyo na tangazo likwishatoka kwa kwa ugaguzi kwa wafanyabiara nnchi nzima kuona muzaji na manunuzi amapewa lisit na muzaji anatoa lisit

Watoe lisit tu kwa maendeleo ya taifa letu

Wasilete janja janja kariakoo
 
Mlioko huko mjini mtatupa mrejesho wa kitakachotokea hiyo kesho.
Wabongo walivyo wanafiki usistaajabu huyo alietoa maagizo ya kuchapa hilo tangazo akawa wa kwanza kwenda kufungua duka lake asubuhi.

Watanzania tuna itikadi ya 'Ya Rabbi Nafsi'. Tumbo lako kwanza mengine baadae.
 
Back
Top Bottom