DOKEZO Wafanyabiashara Kariakoo kugoma Mei 15, 2023

DOKEZO Wafanyabiashara Kariakoo kugoma Mei 15, 2023

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tanzania tunaagiza mno kuliko tunachozalisha. Hiyo inasababisha biashara kuwa nyingi kuliko wateja. Hapo kitakachotokea biashara kuwa ngumu, utokaji mgumu, fitina na hujuma Zitakuwa nyingi. Vita za kibiashara pia zinasababisha watu kufanyiana hujuma kwa kupandishiana kodi na tozo na fitina bandarini.

Hata kodi zikipunguzwa itapunguza makali kwa muda tu, baadae yatarudi yaleyale


Bandari inatakiwa iexport vitu toka tz kwenda nchi zingine duniani. Sio kuagiza tu.
Point kubwa sana hii

Ova
 
Waachane Ni migomo ni njia ya kizamani Sana yakutatua migogoro...wakae meza moja nawahusika wayamalize.
"Ila list za kielectronic watoe waache janja janja "
Wakae meza moja na nani
Alafu awasikilize

Ova
 
Tuliambiwa sasa hivi wafanyabiashara wanafanya kwa Uhuru.

Kuna rafiki yangu yupo dodoma alikua na duka la hardware, walimkadiria kodi, juzi Kati wamerudi na kusema walikosea.wamemuongezea kodi mara 4 ya aliyokua analipa awali alafu wamemuambia alipe na siku za nyuma[emoji30][emoji30][emoji30]

Yeye kosa lake lipi? Kama walikosea si ni wao TRA sio yeye. Alfu walikosea vipi ikiwa Kodi alikua analipa miaka yote, kwa nini kukosewa na kumuongezea Kodi maradufu iwe sasa?
 
Swali zuri sana.
Hili suala inatakiwa kuwa na mipango ya muda mrefu na uongozi bora. Pia upatikanaji wa mitaji kiurahisi ili kuanzisha viwanda mfano china wana mabenki maalumu kwa kila sector, Kuna benki ya viwanda, benki ya kilimo, benki ya wakandarasi e.t.c. Pia kuweka mifumo ya kulinda viwanda vya ndani.

Nahisi kuna uzi humu alielezea kwa kina mtaalam wa uchumi Naanto Mushi alielezea
Ngoja niifatilie hii habari kwa kina
 
1684073401959.jpeg

1684085723064.png

1684073427153.jpeg

1684085741613.png
 

Attachments

  • 1684073415978.jpeg
    1684073415978.jpeg
    72.3 KB · Views: 2
  • 1684073439367.jpeg
    1684073439367.jpeg
    71.9 KB · Views: 1
Lipeni tu kodi. Kodi ipo kisheria. Sote tuhakikshe tunalipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Daah, sasa kweli mimi nisifungie ofisi J3 wakati kuna wateja nimeshawapanga wakapangika, na J3 nimekubaliana nao tukutane ofisini? Aagh, sio kweli

 
Lipeni tu kodi. Kodi ipo kisheria. Sote tuhakikshe tunalipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Walimsema sana JPM ila hatukuona haya madudu. JPM alikua anadili na wafanyabiashara wakubwa importers wakamsema sana ila sasa naona wanakandamiza low income earners tutaelewana tu.
 
Tunakokwenda kubaya kodi zitakua hazilipwi tutaanza kukomoana mimi kama mfanyabiashara wa kkoo kesho nitakua front
 
Back
Top Bottom