FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tunakokwenda kubaya kodi zitakua hazilipwi tutaanza kukomoana mimi kama mfanyabiashara wa kkoo kesho nitakua front
Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii
========================== UPDATE: 27/06/2024 https://www.instagram.com/reel/C8tOKmmqjWh/?igsh=MWJhZWFjNTNhajNtcg ======================= TRA Tanzania Tanzania tuna mfumo wa kodi ambao naweza kuuita ni 'Tax chain system'. Yaani ni kwamba bidhaa moja inaweza ikapigwa kodi hata mara kumi...
Anyway, ngoja na mimi kesho nisifungue, tuone itakuwaje