Malighafi ni shida, mfano hebu jaribu kutengeneza sabuni au sukari mwenyewe uone gharama utakayoingia halafu uone mche mmoja au kilo ya sukari utaiuza sh? Lazima bei itakuwa juu.Sio sukari pekee. Bidhaa nyingi zinazozqlishwa nchini zina bei ya juu mno halafu hata sio kwamba zina ubora kivile.
Wanatamaa sana hawa wafanyabiashara wa bongo. Wakipata competition wanaanza kulalamika.Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Source
EATV
My Take
Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Si kweli kuwa malighafi ndo tatizo,...Malighafi ni shida, mfano hebu jaribu kutengeneza sabuni au sukari mwenyewe uone gharama utakayoingia halafu uone mche mmoja au kilo ya sukari utaiuza sh? Lazima bei itakuwa juu.
Kwa jinsi china, inavyotupa mikopo, nafuu, na kutujengea miundombinu, hao wa china huwezi kuwagusa,tukiwasumbua, tutaingia kwemye mtanziko wa kidiplomasia na china, na kwa ccm hii, Bora mwananchi afe,lakini sio kumsumbua mwekezaji,Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa
Source
EATV
My Take
Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Subiri dawa ikuingie, upate wajomba wa kichina.Afukuzwe mama yao kwanza. Anawakumbatia mno
Kwani ulilazimishwa kununuwa bidhaa zao?Nchi nyingi za kiafrika zimejaa wachina na bidhaa zao fake! , hapo tena tusahau viwanda vyetu vya ndani kukua...
Upo sahihi, wachina huwa wana bei nzuri kuliko wabongo na vitu vyao vina nafuu kwa quality kuliko madabwada watakayokuuzia wabongo.Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa
Source
EATV
My Take
Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Ina maana hujui majukumu ya TBS?.mfuko wako ndo unaongea na maamuzi yako pia kwenye hoja ya fake itoe kabisa
TBS kwenye Serikali ya wala rushwa?.Kwani ulilazimishwa kununuwa bidhaa zao?
Hapo wakuilaumu ni TBS siyo wachina, kama TBS imeshindwa kusimamia ubora kwa kuhongwa au kwa uzembe wao, wachina wana kosa lipi?
Hoja ni bidhaa fake, kama wanaleta bidhaa zenye ubora sioni tatizo.Mna viwanda gani vya ndani nyie vya kushindana na China ?
Marekani tu ana haha sembuse nyie takataka
TBS ipo au haipo?TBS kwenye Serikali ya wala rushwa?.
Unajuq sheria zq uwekezaji nchini zina ruhusu kufanya kazi gani? Mgeni anapoingia nchini halafu anafanya biashara ambazo amekatazwa kisheria na zimeachwa kwa ajili ya wazawa ni uliukwaji wa sheria. serikali iko wapi?Kwani wachina sio binadamu, waache ubaguzi.
Products zinatoka hatukatai ila what if kama wewe unauza Product hio 30000 na mwenzio anaiuza elfu 10000 unafikiri nani atanunua kwako.wa fanya viashara wa Tz endaneni na mfumo product zotee Zina toka kwa short ongeeni maarifa hata kiduchu
Wapanue tu wigo mpana hamna namna.Kwani hawajui mzazi ameifungua nchi
Wazawa ni wezi, bidhaa ya kawaida wanataka faida kubwa humohumo kuna mawinga, better waendelee wachina, miafrika ni mijiziUnajuq sheria zq uwekezaji nchini zina ruhusu kufanya kazi gani? Mgeni anapoingia nchini halafu anafanya biashara ambazo amekatazwa kisheria na zimeachwa kwa ajili ya wazawa ni uliukwaji wa sheria. serikali iko wapi?
Njoo huku tutawadhe myqoundou ya vibibi vya kizungu weweeAfrika ishakubali kuwa jalala, hatuna uwezo wa kuwagomea Wachina na vitu vyao.
Mbona wachina wanaleta unafuu wa maisha Kwa sisi wananchi wahali ya chini,au wewe ni Moja ya walanguzi wa kariakoo.Kwa jinsi china, inavyotupa mikopo, nafuu, na kutujengea miundombinu, hao wa china huwezi kuwagusa,tukiwasumbua, tutaingia kwemye mtanziko wa kidiplomasia na china, na kwa ccm hii, Bora mwananchi afe,lakini sio kumsumbua mwekezaji,
Wachina,wahindi,Arabs, wanavunja sheria kibao, lakini nchi haiwezi kuwagusa,
Nakumbuka PM Majaliwa alienda kiwanda cha nguo urafiki, akakuta Hari mbaya ya kazi kwa wazawa, Mgeni analipwa 20M mzawa analipwa kama kibarua laki tatu! Akatoka povu weeee! Wapi hakuna kilichofanyika, miaka kumi imepita sasa!
Hapo sijakuelewa point yako nini.Unajuq sheria zq uwekezaji nchini zina ruhusu kufanya kazi gani? Mgeni anapoingia nchini halafu anafanya biashara ambazo amekatazwa kisheria na zimeachwa kwa ajili ya wazawa ni uliukwaji wa sheria. serikali iko wapi?