MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #21
Lakini mkuu huwa unaziponda bidhaa za washindani wako hadharani na kuziita feki?Haya maneno nilishaambiwa kipindi ninaanza biashara.
Na nimeendelea kuambiwa zaidi ya mara elfu,
Biashara ni sayansi, yaani zama hizi watu wenye maduka makubwa wanatengeneza Apps za ku locate bidhaa zilipo na zimebaki kiasi gani ndani ya duka wewe unaendelea kusema mambo ya kiroho.
wacha mapambano yaendelee.
Hapana.Lakini mkuu huwa unaziponda bidhaa za washindani wako hadharani na kuziita feki?
Swali zuri sana, nasubiri majibu pia ngoja nivute sitiKwani nyie wote mliochangia mada mnajishughulisha na nini?
Binti anakosea ila huenda akajirekebisha. Asichojua ni kuwa katika wanaomlaumu kuna ambao hadi kwenye upunda walishafanya kwahiyo suala la roho ngumu liko damuni.Hapana.
Hilo sio sahihi, ndio maana kwenye matangazo ya makampuni makubwa huwezi kusikia kwamba tumia bidhaa ya pepsi usitumie cocacola.
hupaswi kuponda bidhaa za wenzako, unapaswa kutoa sababu kwann bidhaa yako ni bora bila ya kutaja majina ya bidhaa za wenzako.
Hapa Dada Niffer anafeli, na kwenye biashara kuna figisu nyingi sana, halafu yeye ni mtoto wakike.
Watu wakiona wamekushindwa kwenye biashara kwa mbinu watamtafuta hata waharibu reputation yake. Na hapo ndio kifo kinapotokea
Hapa JF wote tulipiga division one f4 na f6, tukaenda UDSM, Mzumbe na SUA. Baada ya kuhitimu kila mtu akapata ajira nzuri na wengine kujiajiri. Kimsingi kila mwanaJF anamiliki gari na nyumba. Yaani mambo safiSwali zuri sana, nasubiri majibu pia ngoja nivute siti
Kc globalingWe are proooud
Yule jomba nae anakimbiza kwenye kuuza magariKc globaling
We kiazi SanaKwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia kila biashara huku akivunja miiko mingi ya biashara hizo. Wanadai Niffer amekuwa akiharibu bei za soko kwa makusudi huku akiponda bidhaa za wafanyabiashara wengine.
Hili suala limekuwa na mitazamo mingi. Watu wengi wamesema Niffer yuko sahihi kwa sababu ni mbunifu na hakuna sheria anayovunja. Upande mwingine unadai sio vema Niffer kuanika bei zake ndogo hadharani kwa sababu zinawaharibia wenye maduka ambao wanalipa kodi nyingi sana. Binafsi baada ya kufuatilia hili sakata nimeona ni sahihi 100% Niffer kuendelea kuwapelekea moto hao wakongwe wasiotaka kubadilika. Pia yeye kuuza vitu kwa bei ya chini ni msaada kwa wananchi wengi. Niffer ni mjasiriamali kamili anayetatua changamoto za raia huku raia wakiweka pesa kwenye wallet ya Niffer.
Ukitoa wauza nguo kwa bei ya jumla hao wafanyabiashara wengine ni wapigaji kwa kuweka bei za juu kupitiliza. Nina ushahidi usiotia shaka. Kwa mfano raba za AirForce zinazouzwa 35 - 50k... ila kuziagiza hadi kukufikia haizidi 15k kila kitu. Sasa kuna sababu zipi za kuuza kwa bei mara 2 au 3? Wanyabiashara wakongwe jueni kabisa kutatokea kina "Niffer" wengi sana na sokoni kutachafuka mno. Mjiandae kisaikolojia.
Ninamshauri Niffer naye asifanye kosa la kuponda bidhaa za wenzake. Apromoti tu bidhaa zake bila kutamka shombo kuhusu wengine. Wafanyabiashara wakongwe wana mbinu nyingi safi na chafu kwahiyo awe makini asije akazimishwa. Ni HATARI. Pia yule boyfriend wa Niffer awekeze zaidi kwenye kukata viuno kitandani maana kwa hali ilivyo Niffer anaenda kuwa mkubwa zaidi na kuna mabaradhuli wenye hela hawawezi kuona mtoto mkali kama yule wakaacha apite hivihivi.
Kwanini mkuu? Fanya niwe muhogoWe kiazi Sana
Hizo rubber za airforce tunanunua huku euros 130 kwa pair laki nne za bongo. Kweli thed weld dwellers, the 99% na hand to mouth mna raha sana.Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia kila biashara huku akivunja miiko mingi ya biashara hizo. Wanadai Niffer amekuwa akiharibu bei za soko kwa makusudi huku akiponda bidhaa za wafanyabiashara wengine.
Hili suala limekuwa na mitazamo mingi. Watu wengi wamesema Niffer yuko sahihi kwa sababu ni mbunifu na hakuna sheria anayovunja. Upande mwingine unadai sio vema Niffer kuanika bei zake ndogo hadharani kwa sababu zinawaharibia wenye maduka ambao wanalipa kodi nyingi sana. Binafsi baada ya kufuatilia hili sakata nimeona ni sahihi 100% Niffer kuendelea kuwapelekea moto hao wakongwe wasiotaka kubadilika. Pia yeye kuuza vitu kwa bei ya chini ni msaada kwa wananchi wengi. Niffer ni mjasiriamali kamili anayetatua changamoto za raia huku raia wakiweka pesa kwenye wallet ya Niffer.
Ukitoa wauza nguo kwa bei ya jumla hao wafanyabiashara wengine ni wapigaji kwa kuweka bei za juu kupitiliza. Nina ushahidi usiotia shaka. Kwa mfano raba za AirForce zinazouzwa 35 - 50k... ila kuziagiza hadi kukufikia haizidi 15k kila kitu. Sasa kuna sababu zipi za kuuza kwa bei mara 2 au 3? Wanyabiashara wakongwe jueni kabisa kutatokea kina "Niffer" wengi sana na sokoni kutachafuka mno. Mjiandae kisaikolojia.
Ninamshauri Niffer naye asifanye kosa la kuponda bidhaa za wenzake. Apromoti tu bidhaa zake bila kutamka shombo kuhusu wengine. Wafanyabiashara wakongwe wana mbinu nyingi safi na chafu kwahiyo awe makini asije akazimishwa. Ni HATARI. Pia yule boyfriend wa Niffer awekeze zaidi kwenye kukata viuno kitandani maana kwa hali ilivyo Niffer anaenda kuwa mkubwa zaidi na kuna mabaradhuli wenye hela hawawezi kuona mtoto mkali kama yule wakaacha apite hivihivi.
Humu ndani watu mna vituko sana 🤣🤣🤣🤣Kwanini mkuu? Fanya niwe muhogo
Kila mtu ashinde mechi zakeHizo rubber za airforce kuyanunua huku euros 130 laki nne za bongo. Kweli thed weld dwellers, the 99% na hand to mouth mna raha.
Ndo maana mshamba_hachekwi kajekudya na nguvu wanazo nyingi wamezipanga kwenye shelves.
Atakubali show muda utaongeaWakati akipambana na vita ya kimwili awe makini pia na vita ya kiroho vinginevyo soon atalamba mchanga.
We mzee sisi wazee wanzako tunavaa moka. Hizo ni za vijanaHizo rubber za airforce tunanunua huku euros 130 laki nne za bongo. Kweli thed weld dwellers, the 99% na hand to mouth mna raha.
Ndo maana adriz mshamba_hachekwi kajekudya na nguvu wanazo nyingi wamezipanga kwenye shelves.