Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kafunga sababu gani uenda ni ishu za TRAHuyu ndio kayakanyaga huko dukani kwake hadi kafunga
Niffer ndio.nani?!Uyo niffer sio wa kwanza kufanya biashara ya hivyo hata wakina faiza walianza hivyo siku nyingi tu na sasa hawasikiki na wapo wengine wengi tu wanaagizia watu bidhaa nje tena kwa bei nafuu mfano Haika yule dada wa businesseagle, chidd mapenz, kim china na wengineo wengi.
Shida ya niffer ni kutangaza bidhaa za wengine ni FAKE ilihali yeye mwenyewe anaenda nunua bidhaa hizo hizo anazoziita fake na kuziuza kwa bei yake.
Ulishamla??????crush wangu huyu, Niffer mtamu sana, kazuriii
hapana aisee, ila kwa muonekano tu, anaonekana katam sana, peppermint scent swafi kwenye coochieUlishamla??????
Itakuwa😁🤣😂Sijui kafunga sababu gani uenda ni ishu za TRA
Umeshawahi kumla kwa macho mara ngapi?crush wangu huyu, Niffer mtamu sana, kazuriii
Ulipiga🤣😂😁crush wangu huyu, Niffer mtamu sana, kazuriii
🤣 🤣 🤣 🤣 countless timesUmeshawahi kumla kwa macho mara ngapi?
ah thubutu, namla kwa pichaUlipiga🤣😂😁
Yaani ndugu hili tatizo la watu kuingia tamaa na kuanza kutumia pesa za wateja kwenye mambo mengine imeshakuwa Sugu. Niffer pia ana hizo kesi za wateja kutopata vitu vyao. Ishu yake kwa sasa ni nzito.... tumuombee binti hili sakata liishe.Kuna m'moja jina nimelisahau. Alikuwa anafanya hizi hizi biashara za kuagizia watu bidhaa nje kwa bei nafuu. Yeye alikuwa anawachukulia vyombo vya ndani.
Alikuwa amekusanya kiasi kama bilion moja hivi kwa Total, ila alikuwa amefanyia kitu kingine zile hela sasa kibao kikageuka naona kuna mtu wake wa karibu alienda kumchoma kwa wateja kuwa pesa zao ametumia kwenye kitu kingine ndio maana anawacheleweshea mizigo yao sio maswala ya bandari wala nini na waliwapa ushahidi kabisa.
Raia wakajiunga wakaanza kumtafuta kwa RB kabisa kama tapeli na kutaka arudishe pesa zao. Hapa ninavyoongea sijui yupo huko Dubai kama sio china ameamua kujificha huko maana huku Dar hadi makazi alipokuwa anaishi amehama.
Mtoto ana kipaji maalum cha biashara ila kuna makosa kidogo ya kiufundi kayafanya. Ila kwa umri wake anaweza akajipanga akarudi upya kwenye game. Ishu yake kubwa ni yeye na TRA. Ingekuwa ni kati ya yeye na wateja ndo ingekuwa ngumu kuwa na matumaini ya kurudi kivingine.Naona raia mnataka kupita na mtoto wa watu hamtaki mazoea kabisa. View attachment 2993070
Hongera sana. Yule binti ni mzuri sana.. shepu yake inaweza kumfanya hata shetani akakiri Yesu ni bwana na mwokozi wa maisha yake.🤣 🤣 🤣 🤣 countless times
kuna moja ilikuwa hot, alipost tangazo la dawa ya UTI uku kavaa taulo, mapaja yapo nje
Nilichapa nayo sana ile clip
Astaghafirullah 😁ah thubutu, namla kwa picha