Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Ninyi ndio mkiwa viongozi mnatesa wananchi.
Kiongozi bora ni yule anayetoa huduma akirahisisha maisha ya Watu.

Ishu hapo ni kodi na huduma rahisi kura raia full stop.
Kama kuna chochote kimeguswa hapo ndio ipo haja ya kutazama jambo hilo
Tusigeuze stendi kama check point, shusha abiria wakatafute makwao. Hivi wewe ukiangalia ni kweli wamiliki wa bus wamekuwa wazalendo kwa abiria kiasi cha kutaka kuwasaidia kuwafikisha karibu na kwao kama siyo kuna jambo linawaidisha wao.
 
Hassan Bomboko, Dc wa wilaya ya Ubungo aache kuhangaika na machangudoa wa Riverside na Sinza badala yake ajikite hili suala linalotokea katika kata yake ya Mbezi na ubungo.

Aamke alfajiri akafunge ofisi za haya Mabadi pale urafiki na shekilango ayaamuru yakapakie mbezi, magufuli bus terminal
🤣 🤣 🤣
 
Tatizo la Dar es salaam kwenye uongozi ni mawili wengi wa viongozi WA Dar kuwepo huwekwa sababu wanapendelewa Wana connection lakini vichwani hamna kitu wenye akili hupelekwa mikoani ndio maana mikoani kunafanya vizuri

Pili viongozi wengine huhamishiwa Dar Kwa sababu za kiafya ili wakae karibu na hospital ya rufaa ya Mloganzila na Muhimbili wanakotakiwa kuwa wanahudhuria matibabu mara Kwa mara Kwa hiyo mkoa unakuta unaongozwa na wagonjwa wazima wako mikoani

Hii combination ya akili finyu na wagonjwa ndio inasababisha hizo chaos tunazoona

Jiji la Dar linahitaji watu wazima na wenye akili hasa
Hapo una maanisha nani/nini hasa.
 
Huyo ni mshamba ambaye hajawahi kufika Dar, hajui ndani ya Dar kuna sehemu na wakati watu wanatumia watu wanatumia hadi masaa matatu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Sahihi aje na basi Toka mikoani ashuke magufuli aende mbagala au chanika au bunju ndani ya nusu saa Kwa daladala tuone muda wowote
 
Hakuna haja ya wadau kuingia Stendi wao washushie popote na kupandishia abiria popote ikibidi wawe wanashushia abiria majumbani kabisaa😂.Mimi naona wamechelewa sana yaan muda wote huo walikuwa wanashushia Magufuli Stendi kweli mbali hivyo alaa jaman!Hao wafanyabiashara wanaomsifia na hapohapo kumlilia mama na kumpigia kampeni wahame waende huko mabasi yanaposhushia kwani wamekatazwa.Wafanyabiashara uchwara hao wanaolialia huku wanamsifia mkuu wa mkoa wajue hata huko mabasi yanakoshushia na kupandishia abiria kuna wafanyabiashara na wao wanataka kufanya biashara.Tusipangiane watu wazima kulialia kupiga magoti inatia hasira,hameni au ondokeni hapo au vaeni magwanda ya kijani muanze kampeni kabisaa maana tunaona mnafanya kampeni mixer kulialia.
(Fasihi)
🤣 🤣 🤣
 
bora iwe kupandia stand aseeee,,ila hii ya kushuka wanatuonea,, imagine umetoka zako hukoooo,umefika mahali husika unaona kabisa kituo chako kinapitilizwa eti hadi stand,,na hapo ni usiku pia gharama za nauli tena.
Mbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.
 
Waambieni sisi Tunahitaji kusafiri hivyo wanavyoviuza hata mtaani tunakoishi vipo. Wakati wa kusafiri Sio Wakati wa shopping

aliyekupa kibali cha kuwasemea Watu wa mbagala kuwa ni masikini ni nani? Takwimu kuwa mbahala kuna masikini ziko wapi
🤣 🤣 🤣
 
Tusigeuze stendi kama check point, shusha abiria wakatafute makwao. Hivi wewe ukiangalia ni kweli wamiliki wa bus wamekuwa wazalendo kwa abiria kiasi cha kutaka kuwasaidia kuwafikisha karibu na kwao kama siyo kuna jambo linawaidisha wao.

Wale ni wafañyabiashara wanaangalia namna bora ya kupata wateja ambao ni abiria

Stendi hata hivyo ni cheki pointi ya abiria.
 
Mbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.
ndege hawez panda mtu anayelalamika nauli ya boda 5000,, usilazimishe tufanane.
 
Wenye mabasi wanalipa in advance na abiria Kodi inakatwa Kodi kwenye tiketi mnataka Nini nyie ? Kama sio ugomvi wenye mabasi chenu wamewapa kama ushuru abiria chenu wamewapa kama Kodi inayokatwa kwenye tiketi
Tunataka kile mlichokuwa mnahitaji mkitumie siyo kuleta danadana. Arusha hd leo wanalilia stendi nzuri, mkijengewa ndo muanze kupta vichochoroni huko. Pakia na shusha stendi hatutaki kuchezea rasilimali za nchi hii. Kwa kuwa daladala imelipia ushuru na ruti yake ni manzese to ukonga basi iende tu popote kisa kuna abiria hawajafika wanakotakiwa kufikia eti kwa kuwa ishatoa ushuru. Fuata vituo ulivyopangiwa
 
Swali Kuna wapanda ndege wanakimbizana na daladala? Ukimuona huyo ni kapewa hiyo tiketi. Kuna standard ya wapanda gari ambayo haijafika mnakotaka. Pia usafiri wenu wa umma ni mbovu kiasi kwamba unaweza hata achwa na hilo gari.
Au unataka tupande bodaboda tugongwe tufe mbaki wenyewe huku duniani?. Kama abood ananichukua Mbagala ananipeleka Moshi nyie inawauma Nini?
🤣 🤣 🤣
 
Wale ni wafañyabiashara wanaangalia namna bora ya kupata wateja ambao ni abiria

Stendi hata hivyo ni cheki pointi ya abiria.
Stendi ni kituo cha mabus na si check point. Sasa kuhitaji kwako unafuu wa kupata abiria kusiharibu utaratibu, boda apite nyumba hd nyumba kusaka abiria. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mtu
 
Mbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.
Mbona kwenye ndege watu hawashuki njiani kuchimba dawa na kula mishikaki
Mbona kwenye ndege watu hawauzi pipi, juice, mahindi ya kuchoma, chipsi n.k
Mbona kwenye ndege hawasimamishi abiria kama daladala zenu mnazolazimishia watu
 
Hapo una maanisha nani/nini hasa.
Wajinga na wagonjwa ambao akili zao huwaza zaidi Hali zao za Afya kuliko kutatua changamoto za Jiji ndio Viongozi

Mgonjwa Yuko mahututi foleni mloganzila au Muhimbili au wodini au siku ya clinic yake au kumuona daktari atakuwa na akili iliyotulia ya kutatua changamoto za abiria au wenye mabasi dar? Wengi unakuta kaletwa tu sababu ana mtu wanajuana Anamwambia njoo huku dar ndugu yangu au mpenzi wangu au rafiki yangu au tunayejuana wakati kichwani hamba kitu lazima utendaji na maamuzi yawe mabovu

Dar wamejaa viongozi wengi hamnazo kichwani kero kama hizi wafanyabiashara na abiria walitakiwa kuwa kipaumbele
 
Ndege zinafuata abiria walipo kwa kutumia mabasi yanayoitwa shuttle,sema we bado mshamba.
Nioneshe shuttle inayofuata abiria wa mabwepande. Kukaa dar ushajiona unajua kila kitu. Hahaaaaa!!
 
Mbona kwenye ndege watu hawashuki njiani kuchimba dawa na kula mishikaki
Mbona kwenye ndege watu hawauzi pipi, juice, mahindi ya kuchoma, chipsi n.k
Mbona kwenye ndege hawasimamishi abiria kama daladala zenu mnazolazimishia watu
Kwa sababu huduma hizo zipo humo ndani. Kungekuwa hakuna hizo huduma, niamini mimi watu wangeshushwa kuchimba dawa Ethiopia
 
Back
Top Bottom