Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Lakini pia ni nzuri wao kuuza pipi, vituo kama hivyo vilistahili kuwa fursa kwa vijana na mama zetu kujipatia kipato. Kama una kazi maalum usione wanaolalamikia hili kama wakosefu, iliwasaidia mkono kwenda kinywani
Waambie hao mama zako na wajomba zako wanaotegemea pesa za wasafiri warudi kijijini wakalime, Nyie wamachinga mkidekezwa mtawapanda watu vichwani kabisa kwa hoja za kipuuzi eti mikono yenu iende kinywani , kuna wakati mlikuwa mnalazimisha kufanya biashara zenu hadi barabarani kwa hoja hizo hizo za kipuuzi bila kujali wengine nao wana haki ya kuzitumia hizo barabara.
 
Stendi ni kituo cha mabus na si check point. Sasa kuhitaji kwako unafuu wa kupata abiria kusiharibu utaratibu, boda apite nyumba hd nyumba kusaka abiria. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mtu

Ninyi ndio hampaswi kupewa nchi

Serikali kazi yake ni kuleta unafuu kwa WANANCHI.

Utaratibu unawekwa na sisi sisi Watu.
Ndio tumeamua kuweka utaratibu kuwa magari lazima yaingie Mbezi lakini yanayokea chalinze
 
Huyo mzee anayeitwa Andondile Mwambela mwenye bichwa kama bumunda anayezungumza pumba kwa majidai na kilevi atakuwa ametokea wapi zaidi ya Tukuyu mkuu?!
🤣 🤣 🤣
 
Wanakera aisee. Hasa wakishakua kwenye mashangingi yao Yani.
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mmiliki wa bus. Fuateni utaratibu uliopo mpaka pale ombi lenu litakapokubaliwa kwa kuona labda lina tija na si vinginevyo eti mnatishia kugoma. Au kisa tren mnahisi litawaibia abiria hivyo mmeamua kuwafuata hadi kwao.
 
Wanakera aisee. Hasa wakishakua kwenye mashangingi yao Yani.
Hawaelewi Kabisa
Tatizo Sasa unakuta Hivyo viofisa vimezaliwa porini huko Jiji la Dar havilijui vikifika vinajifanya vijuaji kuliko born horne here here Dar kuwa ohh sisi tunajua tunajua

Unajua Nini kiafisa serikali mtu wa kuja Dar mezaliwa porini huko ?

Kiongozi wa serikali akifika Dar awe makini tena mno

Kuhakiki kama Yuko sahihi
 
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mmiliki wa bus. Fuateni utaratibu uliopo mpaka pale ombi lenu litakapokubaliwa kwa kuona labda lina tija na si vinginevyo eti mnatishia kugoma. Au kisa tren mnahisi litawaibia abiria hivyo mmeamua kuwafuata hadi kwao.
Sipo na hao wafanya biashara aisee. Najua mateso ya daladala za dar aisee.
 
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mmiliki wa bus. Fuateni utaratibu uliopo mpaka pale ombi lenu litakapokubaliwa kwa kuona labda lina tija na si vinginevyo eti mnatishia kugoma. Au kisa tren mnahisi litawaibia abiria hivyo mmeamua kuwafuata hadi kwao.

Abiria halalamiki
Wamiliki hawalalamiki
Serikali haioni shida

Ninyi mnaoona shida ni kina nani kwenye hiyo sekta ya usafiri?
 
Ninyi ndio hampaswi kupewa nchi

Serikali kazi yake ni kuleta unafuu kwa WANANCHI.

Utaratibu unawekwa na sisi sisi Watu.
Ndio tumeamua kuweka utaratibu kuwa magari lazima yaingie Mbezi lakini yanayokea chalinze
Unafuu ndo kama huo kuwekewa stendi, hii ya kushusha kila mahali ni kugeuza tz kuwa na utitiri wa vituo visivyo rasmi.
 
Abiria wafuate mabasi,sio mbasi yafuate abiria,mji unachafuka kwasababu ya kila mtu kujiamulia anavyotaka...
 
Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mmiliki wa bus.
Abiria mamilioni ndio tunataka hivyo sio wamiliki wa mabasi wamiliki wa mabasi wanatusikiliza sisi abiria

Pambana na sisi abiria sisi tunataka kupanda maeneo jirani na tunakoishi

Achana na wamiliki pambana na sisi abiria
 
Sipo na hao wafanya biashara aisee. Najua mateso ya daladala za dar aisee.
Kwa hyo ukiwa haupo kwenye bus huwa unafanyaje? Tupaze sauti magari ya mwenfokasi yawe mengi na si kuharibu taratibu za vituo vya bus
 
Abiria mamilioni ndio tunataka hivyo sio wamiliki wa mabasi wamiliki wa mabasi wanatusikiliza sisi abiria

Pambana na sisi abiria sisi tunataka kupanda maeneo jirani na tunakoishi

Achana na wamiliki pambana na sisi abiria
Hakuna abiria aliyeibua hayo ni nyie wamiliki. Abiria akishajua utaratibu ni huu yeye atafuata ndo maana sijaskia abiria akisema nitagoma kutumia bus ila wamiliki ndo wanasema watagoma.
 
Vinalipa ushuru wa ofisi na si wa kushusha na kupakia abiria

Unauhakika?
Kwani Daladala wanapokushusha kwenye vituo wanalipa kodi ya kushusha na kupakia?

Kwa mfano unatoka Mwanza unashukia Mikese Morogoro, gari litatakiwa kulipa kodi ya kushusha na kupakia abiria wa hapo Mikese?
 
Back
Top Bottom