Tusigeuze stendi kama check point, shusha abiria wakatafute makwao. Hivi wewe ukiangalia ni kweli wamiliki wa bus wamekuwa wazalendo kwa abiria kiasi cha kutaka kuwasaidia kuwafikisha karibu na kwao kama siyo kuna jambo linawaidisha wao.Ninyi ndio mkiwa viongozi mnatesa wananchi.
Kiongozi bora ni yule anayetoa huduma akirahisisha maisha ya Watu.
Ishu hapo ni kodi na huduma rahisi kura raia full stop.
Kama kuna chochote kimeguswa hapo ndio ipo haja ya kutazama jambo hilo
🤣 🤣 🤣Hassan Bomboko, Dc wa wilaya ya Ubungo aache kuhangaika na machangudoa wa Riverside na Sinza badala yake ajikite hili suala linalotokea katika kata yake ya Mbezi na ubungo.
Aamke alfajiri akafunge ofisi za haya Mabadi pale urafiki na shekilango ayaamuru yakapakie mbezi, magufuli bus terminal
Hapo una maanisha nani/nini hasa.Tatizo la Dar es salaam kwenye uongozi ni mawili wengi wa viongozi WA Dar kuwepo huwekwa sababu wanapendelewa Wana connection lakini vichwani hamna kitu wenye akili hupelekwa mikoani ndio maana mikoani kunafanya vizuri
Pili viongozi wengine huhamishiwa Dar Kwa sababu za kiafya ili wakae karibu na hospital ya rufaa ya Mloganzila na Muhimbili wanakotakiwa kuwa wanahudhuria matibabu mara Kwa mara Kwa hiyo mkoa unakuta unaongozwa na wagonjwa wazima wako mikoani
Hii combination ya akili finyu na wagonjwa ndio inasababisha hizo chaos tunazoona
Jiji la Dar linahitaji watu wazima na wenye akili hasa
Ndege zinafuata abiria walipo kwa kutumia mabasi yanayoitwa shuttle,sema we bado mshamba.Kwa hiyo na ndege zifuate abiria walipo? Kuna haja gani ya kutumia pesa nyingi kujenga stendi??
NB: Arusha mbaki na stendi yenu maana tumeona hazina umhimu.
Sahihi aje na basi Toka mikoani ashuke magufuli aende mbagala au chanika au bunju ndani ya nusu saa Kwa daladala tuone muda wowoteHuyo ni mshamba ambaye hajawahi kufika Dar, hajui ndani ya Dar kuna sehemu na wakati watu wanatumia watu wanatumia hadi masaa matatu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
🤣 🤣 🤣Hakuna haja ya wadau kuingia Stendi wao washushie popote na kupandishia abiria popote ikibidi wawe wanashushia abiria majumbani kabisaa😂.Mimi naona wamechelewa sana yaan muda wote huo walikuwa wanashushia Magufuli Stendi kweli mbali hivyo alaa jaman!Hao wafanyabiashara wanaomsifia na hapohapo kumlilia mama na kumpigia kampeni wahame waende huko mabasi yanaposhushia kwani wamekatazwa.Wafanyabiashara uchwara hao wanaolialia huku wanamsifia mkuu wa mkoa wajue hata huko mabasi yanakoshushia na kupandishia abiria kuna wafanyabiashara na wao wanataka kufanya biashara.Tusipangiane watu wazima kulialia kupiga magoti inatia hasira,hameni au ondokeni hapo au vaeni magwanda ya kijani muanze kampeni kabisaa maana tunaona mnafanya kampeni mixer kulialia.
(Fasihi)
Mbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.bora iwe kupandia stand aseeee,,ila hii ya kushuka wanatuonea,, imagine umetoka zako hukoooo,umefika mahali husika unaona kabisa kituo chako kinapitilizwa eti hadi stand,,na hapo ni usiku pia gharama za nauli tena.
🤣 🤣 🤣Waambieni sisi Tunahitaji kusafiri hivyo wanavyoviuza hata mtaani tunakoishi vipo. Wakati wa kusafiri Sio Wakati wa shopping
aliyekupa kibali cha kuwasemea Watu wa mbagala kuwa ni masikini ni nani? Takwimu kuwa mbahala kuna masikini ziko wapi
Tusigeuze stendi kama check point, shusha abiria wakatafute makwao. Hivi wewe ukiangalia ni kweli wamiliki wa bus wamekuwa wazalendo kwa abiria kiasi cha kutaka kuwasaidia kuwafikisha karibu na kwao kama siyo kuna jambo linawaidisha wao.
ndege hawez panda mtu anayelalamika nauli ya boda 5000,, usilazimishe tufanane.Mbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.
Tunataka kile mlichokuwa mnahitaji mkitumie siyo kuleta danadana. Arusha hd leo wanalilia stendi nzuri, mkijengewa ndo muanze kupta vichochoroni huko. Pakia na shusha stendi hatutaki kuchezea rasilimali za nchi hii. Kwa kuwa daladala imelipia ushuru na ruti yake ni manzese to ukonga basi iende tu popote kisa kuna abiria hawajafika wanakotakiwa kufikia eti kwa kuwa ishatoa ushuru. Fuata vituo ulivyopangiwaWenye mabasi wanalipa in advance na abiria Kodi inakatwa Kodi kwenye tiketi mnataka Nini nyie ? Kama sio ugomvi wenye mabasi chenu wamewapa kama ushuru abiria chenu wamewapa kama Kodi inayokatwa kwenye tiketi
🤣 🤣 🤣Swali Kuna wapanda ndege wanakimbizana na daladala? Ukimuona huyo ni kapewa hiyo tiketi. Kuna standard ya wapanda gari ambayo haijafika mnakotaka. Pia usafiri wenu wa umma ni mbovu kiasi kwamba unaweza hata achwa na hilo gari.
Au unataka tupande bodaboda tugongwe tufe mbaki wenyewe huku duniani?. Kama abood ananichukua Mbagala ananipeleka Moshi nyie inawauma Nini?
Stendi ni kituo cha mabus na si check point. Sasa kuhitaji kwako unafuu wa kupata abiria kusiharibu utaratibu, boda apite nyumba hd nyumba kusaka abiria. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa matakwa ya mtuWale ni wafañyabiashara wanaangalia namna bora ya kupata wateja ambao ni abiria
Stendi hata hivyo ni cheki pointi ya abiria.
Mbona kwenye ndege watu hawashuki njiani kuchimba dawa na kula mishikakiMbona ndege inatoka marekani mpaka dar na unashukia hapo wakati kwenu mwanza au hapo pwani.
Wajinga na wagonjwa ambao akili zao huwaza zaidi Hali zao za Afya kuliko kutatua changamoto za Jiji ndio ViongoziHapo una maanisha nani/nini hasa.
Nioneshe shuttle inayofuata abiria wa mabwepande. Kukaa dar ushajiona unajua kila kitu. Hahaaaaa!!Ndege zinafuata abiria walipo kwa kutumia mabasi yanayoitwa shuttle,sema we bado mshamba.
Kwa sababu huduma hizo zipo humo ndani. Kungekuwa hakuna hizo huduma, niamini mimi watu wangeshushwa kuchimba dawa EthiopiaMbona kwenye ndege watu hawashuki njiani kuchimba dawa na kula mishikaki
Mbona kwenye ndege watu hawauzi pipi, juice, mahindi ya kuchoma, chipsi n.k
Mbona kwenye ndege hawasimamishi abiria kama daladala zenu mnazolazimishia watu
🤔🤔Wahujumu uchumi mmeshikwa pabaya safari hii...mtarudi tu Magufuli bus terminal
Wanakera aisee. Hasa wakishakua kwenye mashangingi yao Yani.🤣 🤣 🤣