Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Kwa sasa Kariakoo majengo mengi yanavunjwa na kuongezewa uwezo wa kuchukua watu wengi zaidi, pamoja na stoo na makazi. Hii inasaidia mambo mengi sana.

Hapo alipo Tahfif uhakika halipi kodi ya milioni kwa mwezi
 
Public housing ni different rules nchi nyingi uwezi mtoa mpangaji kabisa labda awe halipi kodi.

Halafu schemes nyingi sio zote huwa buy to let, lakini swala la kutoana kama NHC huwa halipo.

Kwa hivyo if you are gonna do it, hakikisha zoezi ni responsible.

Siku tisini sio nyingi kwa upande for residential properties walau miezi sita ya rent free.

Kwa wafanyabiashara ni definitely ndogo kwa sababu wana financial obligation kadhaa kwenye hizo biashara, bila ya compensation ni mpaka mkataba rasmi una expire au unalipa fidia.

Niko barabarani for my walks na sina miwani ata ku type shida.

Usiku mwema

👋
 
Kuna jamaa mmoja aliwahi kuja humu kuomba ushauri, kwamba baba yake anataka amtafutie kazi ya jeshi, lakini mtoto anataka kufanya biashara. Baba mtu alimuambia biashara za Tanzania hazitabiriki.

Chukulia mfano umekopa benk umewekeza kwenye biashara ya duka halafu unaambiwa uhame.

Ndio maana viongozi wanapambana watoto wao waajiriwe kwenye vitengo vyenye mishahara mikubwa na marupurupu mana kuna uhakika kuliko biasharani kwa hapa TZ.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Umesikia Dar Kuna shida ya frame za biashara!? Hao Watu ni ving'ang'anizi na siku zote hukwamisha maendeleo, unakuta mtu analipwa fidia halafu kuhama hataki!! Ndio watu WA Dar, hakuna kudekezwa!!
 
Anatakiwa ahamishe biashara yake na pindi jengo likikamilika akubaliane na masharti mapya
 
Mkopo si unawekeza kwenye Mtaji? NHC hawachukui mtaji wa mtu.

Na pia hakuna mfanyabiashara mpya anayeanza awe na frame NHC, kule kuna mapapa ambao wameanza biashara miaka 30 ama 40 iliopita ama mtu mwenye Mtaji mkubwa na anaweza lipa kilemba milioni 10-70.

Wengi wanalia hapo ni vilemba ama wameingizwa mjini. Watu walishajua haya majengo yanakuja Kubomolewa wakauza frame, mtu katoa milioni 70 yake hapo hata mwaka haujaisha kapewa Notice unategemea awe na hali gani?
 
Nhc walisema wanataka kujenga skyscraper 19 eneo la kariako Naona ndio wameanza mikakati .
Miezi 3 ni mingi wajipange kuondoka maeneo ya kuishi ni mengi !
 
Nhc walisema wanataka kujenga skyscraper 19 eneo la kariako Naona ndio wameanza mikakati .
Miezi 3 ni mingi wajipange kuondoka maeneo ya kuishi ni mengi !
Kwanza Kwa Sasa huko kariakoo huwezi kwenda na Gari, hakupitiki, mtu ukisikia maboresho unasema Mungu kawaona Hawa Watu, Hawa wanaoandamana ni WA kupuuzwa Kwani ni wapinga maendeleo,
 
Ukiangalia miaka 60 maana yake tangu Dar ikiwa inaishia magomeni na viwanja vilikuwa bei ya Chini Sana, sasa mji unakua yeye anaangalia tu hajengi nyumba ya kwake Leo analalamika kuondolewa kwenye nyumba ya kupanga.
 
Walipewa taarifa toka Mwezi wa Kwamza kuwa kodi haitapokelewa, hivyo wengi wamekuwa wakiishi bure.
 
Niliwahi sikia kuwa hizi nyumba zilikuwa za wakoloni na serikali ilizitaifisha na kuwa zao na wengine wanaoishi katika nyumba hizo kama wapangaji zilikuwa ni nyumba za baba au Babu zao.

Hoja ni kwamba tayari nyumba ziko katika mikono ya serikali na hili linafahamika hivyo. Sasa serikali kupitia Shirika la nyumba wametoa notisi ilii waondoke ilii nyumba zikarabatiwe au zijengwe upya kisasa zaidi ka dhana ya kuendelea mji wao hawataki kutoka, hii sioni kama ni sawaa inabd wapishe ujenzi ufanyike na pengine zitajengwa ndefuu zaidi ili kuongeza idadi ya wapangaji wa makazi na maduka kitu ambacho ni kizuri.

Ninachoshauri hawa watu wapishe ujenzi ila wawekwe kwenye orodha ya wapangaji. Ambapo pindi ujenzi ukikamilka watapata kipaumbele cha kupangishwa

Ahsanteni sanaa, sio kila kitu ni siasa.
 
Hakuna ulijuwalo, kuna majengo wamiliki wa zamani walipewa floor kadhaa.

Ikitokea kuna uwekezaji lazima kuwe na MoU ujenzi ukikamilika watapewa floor ngapi.
 
Hakuna ulijuwalo, kuna majengo wamiliki wa zamani walipewa floor kadhaa.

Ikitokea kuna uwekezaji lazima kuwe na MoU ujenzi ukikamilika watapewa floor ngapi.
Je ni wote walipewa hizo floor? Unataka katikati ya mji yabaki majengo ya miaka ya 1930? Je unafikilia uwekezaji ukifanyika watakosa hiyo haki ?zile nyumba inabd zivunjwe yapande magorofa yenye hadhi ya kariakoo kama kitovu Cha jiji
Hii Tabia ya kumvimbia mwenye nyumba na ww ni mpangaji huo ujasiri wanautoa wapi ? Na wamepewa notsi Kwa kufuata utaratibu wa mkataba wa upangaji shida iko wapi
 
Hakuna ulijuwalo, kuna majengo wamiliki wa zamani walipewa floor kadhaa.

Ikitokea kuna uwekezaji lazima kuwe na MoU ujenzi ukikamilika watapewa floor ngapi.
We jamaa unapenda ligi na siasa sana.
 
Hatari sana! Pole yao.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…