Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Ni kipengele cha Mkataba, sijui shida iko wapi
Shida ni moja tu, watanzania tunaposaini mkataba wala hatujali yaliyomo ndani ya mkataba. Tunachoangalia ni pesa ngapi tutapata kwa mwezi/mwaka n.k.

Hayo ndio yanayotukuta katika mkataba wa DP world. Mtu anakwambia eti tutapata trilioni 31 badala ya trilioni 7 tunazopata leo. Wenye akili huangalia mkataba unasemaje? Kwenye hili NHC Kariakoo litatupa akili nzuri ya kujadili mkataba wa DP WORLD. Watanzania amkeni!!!!!!!!
 
Msipende kuishi kwa mazoea
Acha watu waje waboreshe maeneo

Ova
Unaweza kuelezea makusanyo ya sasa ya NHC kwenye hayo majengo kupitia kodi ya pango. Na watakachopata baada ya hapo.

Si ajabu mradi wenyewe wakishavunja hayo maeneo mwekezaji ana miaka 20 ya kurudisha hela zake kabla ya NHC kupata chochote sasa hapo kuna faida gani ya serikali.

Hizi ndio baadhi ya PPP zenyewe ni ufisadi mtupu wa kuchukua prime areas kirahisi kwa uongo wa uwekezaji.

Halafu taasisi ambayo inadaiwa karibu tsh 2 trillion inaweza afford kupoteza mapato yake kishamba; baadae huo mzigo wamrushie mlipa kodi.
 
Shida ni moja tu, watanzania tunaposaini mkataba wala hatujali yaliyomo ndani ya mkataba. Tunachoangalia ni pesa ngapi tutapata kwa mwezi/mwaka n.k.

Hayo ndio yanayotukuta katika mkataba wa DP world. Mtu anakwambia eti tutapata trilioni 31 badala ya trilioni 7 tunazopata leo. Wenye akili huangalia mkataba unasemaje? Kwenye hili NHC Kariakoo litatupa akili nzuri ya kujadili mkataba wa DP WORLD. Watanzania amkeni!!!!!!!!

Kabisa
 
Naona kama wameadhibiwa wale kwasababu ya ule mgomo, sitegemei hao jamaa waje kupangishwa tena kwenye hayo majengo mbele ya safari, ndio wameshaondolewa kijanja hivyo.

Ngoja tuone kama kweli huo mradi mpya utaanza hivi karibuni, au ndio kwasababu wameshapata sababu ya kuwaondoa hao jamaa, basi na mambo mengine yatalala.
Kwamba mgomo ulihusisha na wakazi wa hayo majengo?
Acha siasa
 
Kwanini uvunje investments ambazo ni cashcows za shirika kisa tu ni prime area. Badala ya kutafuta maeneo ya wazi utanue jiji kama una hiyo mitaji.

Hizo ndio akili za investment za watanzania kupenda mambo rahisi. Serikali imewapa hela ya kumaliza mradi wao wa Kinondoni na Kawe apartments; kwanini wasisubiri iishe wapime occupancy rates ya hiyo miradi kabla ya kuruhusu upuuzi mwingine.

Ni mipango ya ovyo mno; kwa sasa NHC inapata 100% revenue ya hayo majengo, si ajabu baada ya uwekezaji wa ubia kila kitu kikikiisha mapato yakawa chini baada ya kukagawana na mwekezaji.

Hakuna la maana hapo zaidi ya uwekezaji, halafu kuondoa biashara 1000 ambazo zinalipa kodi kiasi gani unapoteza serikali, kiasi gani cha hasara unaweza zipa Bank, familia ngapi unazipa umaskini.

Huyu mama anachezewa sana na mafisadi, 2025 nyumba yake ya uraisi anayostahili kujengewa na serikali huko Kizimkazi au popote alipochahua tuakikishe ishaisha; hiyo kazi sio ya size ata kidogo tunalazimisha tu.

Acha ujinga fikiria kesho sio leo tuh
 
Wawalipe fidia za loss of income kwa miaka kadhaa ndio watu wanavyofanya na gharama fixtures and fittings za maduka yao; sio kupenda mambo rahisi.

Yaani unachukulia poa tu kisa jengo mali yako utadhani watu awakutafuta hizo hela za kuwekeza hapo.

Unawekeza kwenye nyumba ya mtu kwa kutegemea kuishi milele hpo [emoji3]kua serious ebu
 
Back
Top Bottom