Bechede
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 872
- 2,422
Mnang'ang'ania hayo majengo mtafikiri mlisaidia kupeleka tofali za ujenzi saiti.
Wavunje zote kuanzia upanga, posta hadi kariakoo maana haziendani na usasa wa mji na wala huwezi kuyaweka kama majengo ya kale.
Ila naelewa hofu yao kwa kuwa wamekulia humo, wamezaliana humu na kujiona wana hati miliki ya jengo.
Wavunje zote kuanzia upanga, posta hadi kariakoo maana haziendani na usasa wa mji na wala huwezi kuyaweka kama majengo ya kale.
Ila naelewa hofu yao kwa kuwa wamekulia humo, wamezaliana humu na kujiona wana hati miliki ya jengo.