Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Mnang'ang'ania hayo majengo mtafikiri mlisaidia kupeleka tofali za ujenzi saiti.

Wavunje zote kuanzia upanga, posta hadi kariakoo maana haziendani na usasa wa mji na wala huwezi kuyaweka kama majengo ya kale.

Ila naelewa hofu yao kwa kuwa wamekulia humo, wamezaliana humu na kujiona wana hati miliki ya jengo.
 
Wakavunje Michenzani Zanzibar kuna majengo nayo yamechoka mbaya na yakizamani; na wapangaji ZHC wanamikataba kama hiyo.

Zanzibar inapokea watalii wengi sana wakijenga nyumba mpya za kisasa na gated community; awawezi kukosa wazungu wakuwapangisha kama holiday let mwaka mzima kwa hela nyingi sana za kigeni.

Point hapo ni kwamba hela ina mipaka uwezi ku disrupt maisha ya watu kisa eneo unadhani linathamani zaidi; na wala huna alternative ya kuwapeleka watu unaowatoa kwenda kwingine huo ni unyanyasaji.

We ni tahira na punguani mkubwa.tena kilazaaa ungetoa hoja bila kuleta ubaguzi wa kikuzi.na mtahama tuh
 
Kwanini uvunje investments ambazo ni cashcows za shirika kisa tu ni prime area. Badala ya kutafuta maeneo ya wazi utanue jiji kama una hiyo mitaji.

Hizo ndio akili za investment za watanzania kupenda mambo rahisi. Serikali imewapa hela ya kumaliza mradi wao wa Kinondoni na Kawe apartments; kwanini wasisubiri iishe wapime occupancy rates ya hiyo miradi kabla ya kuruhusu upuuzi mwingine.

Ni mipango ya ovyo mno; kwa sasa NHC inapata 100% revenue ya hayo majengo, si ajabu baada ya uwekezaji wa ubia kila kitu kikikiisha mapato yakawa chini baada ya kukagawana na mwekezaji.

Hakuna la maana hapo zaidi ya uwekezaji, halafu kuondoa biashara 1000 ambazo zinalipa kodi kiasi gani unapoteza serikali, kiasi gani cha hasara unaweza zipa Bank, familia ngapi unazipa umaskini.

Huyu mama anachezewa sana na mafisadi, 2025 nyumba yake ya uraisi anayostahili kujengewa na serikali huko Kizimkazi au popote alipochahua tuakikishe ishaisha; hiyo kazi sio ya size ata kidogo tunalazimisha tu.
Kwaa kwa kutulia, hizo nyumba nyingi hazina faida kwa NHC maana maduka ni machache sana na mfumo wa kizamani.
 
Unawekeza kwenye nyumba ya mtu kwa kutegemea kuishi milele hpo [emoji3]kua serious ebu
Personal nishaachana na hao sakapoko wamebaki wanafamilia wengine, kwenye hiko kibanda chao na sioni wakivunja block yetu wapangaji wake wengine wanalindwa na walinzi wa serikali 24/7.

Lakini aindoi haki za wapangaji wengine dhidi ya huu unyanyasaji.
 
Wawalipe fidia za loss of income kwa miaka kadhaa ndio watu wanavyofanya na gharama fixtures and fittings za maduka yao; sio kupenda mambo rahisi.

Yaani unachukulia poa tu kisa jengo mali yako utadhani watu awakutafuta hizo hela za kuwekeza hapo.
Kwamba walilazimishwa kupanga?
 
Kwa hili naunga mkono Nyumba za NHC nyingi za kizamani halafu zipo maeneo strategic .
Waziboreshe tu mradi wafuate mkataba wao hususani suala la notisi.
Ila nao NHC wawahakikishie hao wafanyabiashara wapangaji wao kwamba watawapa wao upendeleo kuwapangisha pale mradi utakapokamilika
Wengi wao hawatafikia vigezo
 
Eti jamani ile kamati iliyoundwa baada ya mgomo wa wafanya biashara wa kariakoo imefikia wapi? Si walipewa siku 14 kufikisha ripoti yao kwa mheshimiwa? Au ndio imekuwa kama ile kawaida ya watanzania? Piga kelele, unda kamati, tafuta jengine?!!!!
 
Kuna ndugu yangu hapo alipewa notisi inayoisha mwezi wa saba.

Ila yeye aliambiwa na mwenye nyumba kuwa kuna muhindi amekuja wameingua share anataka kujenga ghorofa, vyumba vya juu vitakuwa ni miliki ya mwenye nyumba halafu vya chini itakuwa ni mali ya muhindi kwasababu ataweka fremu za biashara.

Saizi kapata fremu nyingine

Lakini kwa ripoti hii ya watu zaidi ya 100 kuwa na situation inayofanana na ya ndugu yangu, naanza kuamini huwenda mwenye nyumba alimdanganya mpangaji wake.

Huwenda ishu yote ni hao hao NHC
NHC wana nyumba zaidi ya 400 Kariakoo na Posta

Wanavunja nyumba 19 tu Kariakoo
 
Personal nishaachana na hao sakapoko wamebaki wanafamilia wengine, kwenye hiko kibanda chao na sioni wakivunja block yetu wapangaji wake wengine wanalindwa na walinzi wa serikali 24/7.

Lakini aindoi haki za wapangaji wengine dhidi ya huu unyanyasaji.

Hakuna unyanyasaji wowote.hata ww ukimpangisha mtu kwako ukija itaka nyumba yako sheria inataka uwape wapangaji notisi ya siku 90 .na hao ni wapangaji
 
Biashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?

Haya tupe jibu wewe mwelewa?
Ndo mana kunq mjumbe alisema akili za kijamaa ni za kimaskini sana. Kwa iyo nikikupangisha kama nataka kufanya maendeleo yangu nisikupe notisi ya kutoka tena ya muda wa kutosha kwa sababu nahofia utakula wapi? Kwanza mpangoshaji ni mimi tu? Ndani ya miezi mitatu huwezi pata mwenye nyumba nyingine ukaendelea na biashara?

Kwa akili hizi nchi hii maendeleo tusahau tuna mijitu mijinga sana
 
Back
Top Bottom