Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Wewe unaweza kwenda kukodi duka, ukawekeza kwenye furnitures, ulinzi, kwenda kukopa bank na kununua inventory; kama unajua baada ya miezi mitatu mwenye jengo baada ya miezi atakuja kukutoa.Unyanyasaji wa vipi, terms za mkataba si wanazijua lakini..?
Ndio maana kwenye mkataba wa biashara kuna kitu kinaitwa ‘customary term’ hiyo ni implied term ambayo mahakama itaizingatia ata isipokuwa expressed kwenye mkataba.
Logical inatumika kuangalia uhalisia wa scenario, uwezi kuvunja mkataba hasa wa kibiashara kiholela bila ya fidia.