Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Umeishiwa hoja

Subiri waende mahakamani uone kama watatolewa.

Uwezi kuwa na mkataba wa kukodisha mtu shamba ata kama umesema unaweza vunja muda wowote. Ukifanya hivyo huyo mkulima ata shinda kesi hizo terms zako utaambiwa ni batili, uwezi kukodisha shamba bila mkulima kuvuna; hizo ndio customary implied terms za mkataba.

Kila industry ina customary norms zake ndio maana nakueleza unaropoka tu; subiri waende mahakamani uone kama serikali aitotozwa billions za fidia; huo muda ni mdogo sana.
Nendeni mahakamani mpigwe pesa tena! Huo mkataba haukuandaliwa na mambumbumbu na wapangaji wanafahamu. Uwekezaji wako unapaswa kuzingatia mkataba wa upangaji wako, siyo unawekeza kama kwako kwenye nyumba ya kupanga!
 
Mnang'ang'ania hayo majengo mtafikiri mlisaidia kupeleka tofali za ujenzi saiti.

Wavunje zote kuanzia upanga, posta hadi kariakoo maana haziendani na usasa wa mji na wala huwezi kuyaweka kama majengo ya kale.

Ila naelewa hofu yao kwa kuwa wamekulia humo, wamezaliana humu na kujiona wana hati miliki ya jengo.

Mkataba walio sign unatala taarifa ya miezi 3, NHC wametimiza mkataba wao, waondoke tu haraka.
 
Umeishiwa hoja

Subiri waende mahakamani uone kama watatolewa.

Uwezi kuwa na mkataba wa kukodisha mtu shamba ata kama umesema unaweza vunja muda wowote. Ukifanya hivyo huyo mkulima ata shinda kesi hizo terms zako utaambiwa ni batili, uwezi kukodisha shamba bila mkulima kuvuna; hizo ndio customary implied terms za mkataba.

Kila industry ina customary norms zake ndio maana nakueleza unaropoka tu; subiri waende mahakamani uone kama serikali aitotozwa billions za fidia; huo muda ni mdogo sana.
Kabisa kabisa ! Waende Mahakamani tu!! Sheria zitatafsiriwa huko !! Halafu hao jamaa wanaoutetea mkataba wana makasiriko ya haraka sana 😅 sijui ni kwanini 😅 !
 
Wewe unaweza kwenda kukodi duka, ukawekeza kwenye furnitures, ulinzi, kwenda kukopa bank na kununua inventory; kama unajua baada ya miezi mitatu mwenye jengo baada ya miezi atakuja kukutoa.

Ndio maana kwenye mkataba wa biashara kuna kitu kinaitwa ‘customary term’ hiyo ni implied term ambayo mahakama itaizingatia ata isipokuwa expressed kwenye mkataba.

Logical inatumika kuangalia uhalisia wa scenario, uwezi kuvunja mkataba hasa wa kibiashara kiholela bila ya fidia.
kwani huwezi kuhamia sehemu nyingine ukapanga?
 
Nendeni mahakamani mpigwe pesa tena! Huo mkataba haukuandaliwa na mambumbumbu na wapangaji wanafahamu. Uwekezaji wako unapaswa kuzingatia mkataba wa upangaji wako, siyo unawekeza kama kwako kwenye nyumba ya kupanga!
Ukute hapo zaidi ya nusu ya wafanyabiashara hawana mikataba yenye majina yao.
Yaani Mpangaji OG aliingia mkataba toka 1970s na hajulikani aliko
 
Naona kama wameadhibiwa wale kwasababu ya ule mgomo, sitegemei hao jamaa waje kupangishwa tena kwenye hayo majengo mbele ya safari, ndio wameshaondolewa kijanja hivyo.

Ngoja tuone kama kweli huo mradi mpya utaanza hivi karibuni, au ndio kwasababu wameshapata sababu ya kuwaondoa hao jamaa, basi na mambo mengine yatalala.
Hii ndio Tanzania na huu ndio uchambuzi wa uhakika
 
Ukute hapo zaidi ya nusu ya wafanyabiashara hawana mikataba yenye majina yao.
Yaani Mpangaji OG aliingia mkataba toka 1970s na hajulikani aliko
Wapangaji OG walikwisha acha biashara wametulia tuli wanakusanya cha juu kutoka kwa hao wapiga zumari!
 
Biashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?

Haya tupe jibu wewe mwelewa?
"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.

Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba akakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Nyinyi ndio kama wale wapuuzi wa Magomeni kota waliokuwa wanalialia eti "nimezaliwa hapa, nimekulia hapa sasa naondolewa nitaenda wapi".

Nyumba za NHC sio mali ya urithi wala mkataba wa kudumu, someni hayo makaratasi mliyosaini, hamkuuziwa nyumba mlipangishwa. Nyinyi ni wafanyabishara tena capitalists, kwenye capitalism world hamna huo uwendawazimu wa 'hawa watakula wapi'. Nyumba ziko prime area ila hali yake ni kama mabanda, muundo wa kizamani hata total area ya kufanyia biashara inabanwa. NHC wanataka wajenge zinazoendana na wakati na kuboresha nyinyi mnaleta njaa zenu za siku moja kama ndege. Miji haijengwi kwa mawazo ya kulalia na kula usiku mmoja, inajengwa kwa kuwaza miaka kadhaa mbele. Paris ya sasa ilijengwa miaka ya 1800s kama wangeleta njaa za kula usiku mmoja wangekuwa kwenye magofu hadi leo.
 
Katika hili nadhani serikali itumie tu busara na huruma kwa kuwapa hata notisi ya mwaka mmoja wahame. Wafanyabiashara wengi wana mikopo ambayo hadi wauze ndo wapate rejesho. Katika huo mwaka wanaweza kujiandaa na kuwapanga wateja wao waende kwenye ofisi zao zingine. Kwa upande mwingine ni funzo kwa wafanyabiashara vilaza wanaodharau elimu na kudhani ukiwa na hela ndo kila kitu. Serikali hapo ikiamua isisikilize mtu tayari hao jamaa ni kilio kwasababu NHC kisheria wako sawa.
 
Back
Top Bottom