Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 456
- 867
Wajinga hao wafanyabiashara akina Mama sinyaaaNi kipengele cha Mkataba, sijui shida iko wapi
Wana hela ila hawana utashi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga hao wafanyabiashara akina Mama sinyaaaNi kipengele cha Mkataba, sijui shida iko wapi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaka umechafukwa kweli kweli."..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.
Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Nyinyi ndio kama wale wapuuzi wa Magomeni kota waliokuwa wanalialia eti "nimezaliwa hapa, nimekulia hapa sasa naondolewa nitaenda wapi".
Nyumba za NHC sio mali ya urithi wala mkataba wa kudumu, someni hayo makaratasi mliyosaini, hamkuuziwa nyumba mlipangishwa. Nyinyi ni wafanyabishara tena capitalists, kwenye capitalism world hamna huo uwendawazimu wa 'hawa watakula wapi'. Nyumba ziko prime area ila hali yake ni kama mabanda, muundo wa kizamani hata total area ya kufanyia biashara inabanwa. NHC wanataka wajenge zinazoendana na wakati na kuboresha nyinyi mnaleta njaa zenu za siku moja kama ndege. Miji haijengwi kwa mawazo ya kulalia na kula usiku mmoja, inajengwa kwa kuwaza miaka kadhaa mbele. Paris ya sasa ilijengwa miaka ya 1800s kama wangeleta njaa za kula usiku mmoja wangekuwa kwenye magofu hadi leo.
Tatizo ni wanasiasa kutaka ruka na kila beatComment zako nyingi ni negative hata sehemu ya kutumia akili ndogo tu wewe huwezi bali unaendeshwa na mihemko ya kipumbavu,bila shaka utakua unapitia kwenye maisha magumu sana,hivyo unatumia hizi negative comment zako kama njia mojawapo ya kujifariji.
Na hapo wamepewa baada ya wote kumaliza mkataba ndo maana hujasikia hata mmoja akidai kulipwa fidia ya kodi.Ila hii nchi kuongoza ngumu Sana.
Sasa mkataba unasema ,mwenye jengo anakupa notisi ya siku 90 ,wewe unaandamana hutaki.
Acha siasa ambazo hazikusaidiiHii ndiyo faida ya kuichagua ccm na kuipa nchi
Fire mbona washaambiwa zamani sana kabla ya hawa?NHC wakitoka hapo K/koo wahamie pale Fire wavunje yale majengo yote ya kikoloni, wajenge malls.
Kanjibhai wakahamie kando ya mji kama chanika n.k sio kukaa K/koo,posta na upanga tu.
Pia hii barabara ya kutoka fire kuelekea muhimbili kuna majengo mengi ya kizamani yanatakiwa kuvunjwa na kujengwa malls na maeneo mapya ya makazi.
Kwa utawala wa Mama Samia, Dar-es-salaam inaenda kuwa kama Dubai.
Tatizo ni wanasiasa.Kuongoza watanganyika Bora upewe kuchunga Mbuzi kidogo wanaweza kuelewa
Watahamia hapo hapo Kariakoo na watasubiria wamalize kujenga warudiKanjibhai wa Tahfif watapata demage sana maana hiyo stationary yao hapo ipo zaidi ya miaka 30. Wakahamie Sinza /makumbusho ili mji uendelee
Fidia inatoka wapi wakati hawalipi kodi na hakuna anayedai kodi?Raisi asipozuia wajiandae kulipa mabillioni ya fidia hao wafanyabiashara wakitafuta mwanasheria mzuri.
[emoji112]
Acha siasaWangewapa notice ya muda mrefu Angalau !!
Lengo la NHC ni maduka yapatikane mengi, hapo kwa sasa maduka ni machache maana mwanzo kabisa zilikuwa nyumba za watuWengi hapo wanawaza kukosa nafasi za maduka mradi utakapokamilika ,maana wataaanza kuomba kupangishwa kama wapangaji wapya. Hivyo Kuna uwezekano Wengi wakakosa Kwa sababu mkatabata baina Yao utakuwa umeisha,hivyo Kila atakayetaka kuwa mpangaji sharti afuate taratibu za Shirika ambapo utalipia miezi mitatu mbele halafu ndio uanze kulipia Kodi Yako ya Kila mwezi.
Acha siasa na kuendekeza upumbavu na ujinga.Katika hili nadhani serikali itumie tu busara na huruma kwa kuwapa hata notisi ya mwaka mmoja wahame. Wafanyabiashara wengi wana mikopo ambayo hadi wauze ndo wapate rejesho. Katika huo mwaka wanaweza kujiandaa na kuwapanga wateja wao waende kwenye ofisi zao zingine. Kwa upande mwingine ni funzo kwa wafanyabiashara vilaza wanaodharau elimu na kudhani ukiwa na hela ndo kila kitu. Serikali hapo ikiamua isisikilize mtu tayari hao jamaa ni kilio kwasababu NHC kisheria wako sawa.
Hata Paris na London yapo majengo mengi ya zamani sana !"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.
Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Nyinyi ndio kama wale wapuuzi wa Magomeni kota waliokuwa wanalialia eti "nimezaliwa hapa, nimekulia hapa sasa naondolewa nitaenda wapi".
Nyumba za NHC sio mali ya urithi wala mkataba wa kudumu, someni hayo makaratasi mliyosaini, hamkuuziwa nyumba mlipangishwa. Nyinyi ni wafanyabishara tena capitalists, kwenye capitalism world hamna huo uwendawazimu wa 'hawa watakula wapi'. Nyumba ziko prime area ila hali yake ni kama mabanda, muundo wa kizamani hata total area ya kufanyia biashara inabanwa. NHC wanataka wajenge zinazoendana na wakati na kuboresha nyinyi mnaleta njaa zenu za siku moja kama ndege. Miji haijengwi kwa mawazo ya kulalia na kula usiku mmoja, inajengwa kwa kuwaza miaka kadhaa mbele. Paris ya sasa ilijengwa miaka ya 1800s kama wangeleta njaa za kula usiku mmoja wangekuwa kwenye magofu hadi leo.
Kariakoo pia Kuna wapemba kibaoWatanganyika kweli mnashangaza! Eti sasa mnalia mnataka mama Samia aingilie kati suali hili, hvi si mama huyu huyu ndie mnaesema anaiuza Tanganyika? Leo tena mnataka awasaidie nini hasa?
Acha siasa ambazo hazikusaidii
Kama wanaoingia ubia wa kujenga hayo majengo na NHC ni wenyewe je. ??!! 😅🙏Kariakoo pia Kuna wapemba kibao
Ttz la watz wengi ni kupuuzia vitu"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.
Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Wewe ndio umesema hivyo, lakini hakuna justification.
Unajuwa kwanini China supermarket za kigeni nyingi sana tena zenye majina makubwa zilifeli.
Kwasababu wachina wenye maisha ya kawaida washazoea kufanya manunuzi yao yote kwenye masoko ya mlundikano kama Kariakoo na yapo prime areas; serikali yao aitoi hayo maeneo kwa mtu yeyote.
Sasa wewe unajuaje hao watafanikiwa, wakati atujui hata hiyo PPP model itakayotumika hapo; si ajabu NHC ndio wakapoteza income.