Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

Wafanyabiashara wa Kariakoo wagoma kuhama kupisha Wawekezaji

"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.

Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Nyinyi ndio kama wale wapuuzi wa Magomeni kota waliokuwa wanalialia eti "nimezaliwa hapa, nimekulia hapa sasa naondolewa nitaenda wapi".

Nyumba za NHC sio mali ya urithi wala mkataba wa kudumu, someni hayo makaratasi mliyosaini, hamkuuziwa nyumba mlipangishwa. Nyinyi ni wafanyabishara tena capitalists, kwenye capitalism world hamna huo uwendawazimu wa 'hawa watakula wapi'. Nyumba ziko prime area ila hali yake ni kama mabanda, muundo wa kizamani hata total area ya kufanyia biashara inabanwa. NHC wanataka wajenge zinazoendana na wakati na kuboresha nyinyi mnaleta njaa zenu za siku moja kama ndege. Miji haijengwi kwa mawazo ya kulalia na kula usiku mmoja, inajengwa kwa kuwaza miaka kadhaa mbele. Paris ya sasa ilijengwa miaka ya 1800s kama wangeleta njaa za kula usiku mmoja wangekuwa kwenye magofu hadi leo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaka umechafukwa kweli kweli.
 
Ila hii nchi kuongoza ngumu Sana.
Sasa mkataba unasema ,mwenye jengo anakupa notisi ya siku 90 ,wewe unaandamana hutaki.
Na hapo wamepewa baada ya wote kumaliza mkataba ndo maana hujasikia hata mmoja akidai kulipwa fidia ya kodi.
Kwa ufupi hao ni wavamizi
 
NHC wakitoka hapo K/koo wahamie pale Fire wavunje yale majengo yote ya kikoloni, wajenge malls.

Kanjibhai wakahamie kando ya mji kama chanika n.k sio kukaa K/koo,posta na upanga tu.

Pia hii barabara ya kutoka fire kuelekea muhimbili kuna majengo mengi ya kizamani yanatakiwa kuvunjwa na kujengwa malls na maeneo mapya ya makazi.

Kwa utawala wa Mama Samia, Dar-es-salaam inaenda kuwa kama Dubai.
Fire mbona washaambiwa zamani sana kabla ya hawa?

Fire hawajaongea sababu pale hakuna maduka mengi
 
Kuongoza watanganyika Bora upewe kuchunga Mbuzi kidogo wanaweza kuelewa
Tatizo ni wanasiasa.
Mfano mzuri ni mtu atalalamika Kariakoo kuna fujo,
Boda boda wana fujo
Mafuriko Dar
Barabara finyi

Ila hao hao wanaolalamika, ikitokea sheria ikaanza kazi, wao ndo wa kwanza kwenda vyombo vya habari kulalamika.

Mafuriko sehemu kubwa Dar yanatokana na watu kujenga njia za maji

Boda hawapaswi ingia Kariakoo ila wanasiasa wameruhusu kwa faida zao
 
Wengi hapo wanawaza kukosa nafasi za maduka mradi utakapokamilika ,maana wataaanza kuomba kupangishwa kama wapangaji wapya. Hivyo Kuna uwezekano Wengi wakakosa Kwa sababu mkatabata baina Yao utakuwa umeisha,hivyo Kila atakayetaka kuwa mpangaji sharti afuate taratibu za Shirika ambapo utalipia miezi mitatu mbele halafu ndio uanze kulipia Kodi Yako ya Kila mwezi.
Lengo la NHC ni maduka yapatikane mengi, hapo kwa sasa maduka ni machache maana mwanzo kabisa zilikuwa nyumba za watu
 
Katika hili nadhani serikali itumie tu busara na huruma kwa kuwapa hata notisi ya mwaka mmoja wahame. Wafanyabiashara wengi wana mikopo ambayo hadi wauze ndo wapate rejesho. Katika huo mwaka wanaweza kujiandaa na kuwapanga wateja wao waende kwenye ofisi zao zingine. Kwa upande mwingine ni funzo kwa wafanyabiashara vilaza wanaodharau elimu na kudhani ukiwa na hela ndo kila kitu. Serikali hapo ikiamua isisikilize mtu tayari hao jamaa ni kilio kwasababu NHC kisheria wako sawa.
Acha siasa na kuendekeza upumbavu na ujinga.
Ujue hata hiyo miezi 3 hakuna anayelipa kodi.

Hapo wote wanaishi bure kwa sasa, ni wao kuamua kusuka au kunyoa
 
"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.

Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Nyinyi ndio kama wale wapuuzi wa Magomeni kota waliokuwa wanalialia eti "nimezaliwa hapa, nimekulia hapa sasa naondolewa nitaenda wapi".

Nyumba za NHC sio mali ya urithi wala mkataba wa kudumu, someni hayo makaratasi mliyosaini, hamkuuziwa nyumba mlipangishwa. Nyinyi ni wafanyabishara tena capitalists, kwenye capitalism world hamna huo uwendawazimu wa 'hawa watakula wapi'. Nyumba ziko prime area ila hali yake ni kama mabanda, muundo wa kizamani hata total area ya kufanyia biashara inabanwa. NHC wanataka wajenge zinazoendana na wakati na kuboresha nyinyi mnaleta njaa zenu za siku moja kama ndege. Miji haijengwi kwa mawazo ya kulalia na kula usiku mmoja, inajengwa kwa kuwaza miaka kadhaa mbele. Paris ya sasa ilijengwa miaka ya 1800s kama wangeleta njaa za kula usiku mmoja wangekuwa kwenye magofu hadi leo.
Hata Paris na London yapo majengo mengi ya zamani sana !
 
Nawaonea huruma wafanyabiashara ila upande mwingine zile ghorofa zimechoka sana ndio wawape muda halafu zifumuliwe ziwe kama za Victoria zile kakifupi ziwe modern sio kama zile za miaka ya 47 huko.
 

Attachments

  • 5B3DA7A4-3D38-4446-A192-AED507BF74FB.jpeg
    5B3DA7A4-3D38-4446-A192-AED507BF74FB.jpeg
    45.3 KB · Views: 1
"..... hao watu wanaenda kula wapi?...." A typical Tanzanian dumbass question.

Ukipanga nyumba mkataba wako ukaisha na mwenye nyumba ajakupa notisi ya kuhama miezi mitatu unajiliza ukidai utakula wapi?
Ttz la watz wengi ni kupuuzia vitu
Utakuta hapo kabla mtu anasema aaah hapa kuvunjwa tena hamna wameandika tuu sasa likitokea kama hili makelele ni kila kona
 
Wewe ndio umesema hivyo, lakini hakuna justification.

Unajuwa kwanini China supermarket za kigeni nyingi sana tena zenye majina makubwa zilifeli.

Kwasababu wachina wenye maisha ya kawaida washazoea kufanya manunuzi yao yote kwenye masoko ya mlundikano kama Kariakoo na yapo prime areas; serikali yao aitoi hayo maeneo kwa mtu yeyote.

Sasa wewe unajuaje hao watafanikiwa, wakati atujui hata hiyo PPP model itakayotumika hapo; si ajabu NHC ndio wakapoteza income.

Nawe umejuaje kama tutafeli mkuu.Kwann hutaki paboreshwe?Kwann wataka pawe ivo ivo?
 
Back
Top Bottom