inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mwenye nyumba kataka chake,nyinyi mtajua mtaenda kula wapiBiashara 1000 zinaweza kuwa zimeajiri watu wangapi kila duka. Ukishawatoa hao wenye maduka na wafanyakazi wao hao watu wanaenda kula wapi?
Haya tupe jibu wewe mwelewa?
Shida ni moja tu, watanzania tunaposaini mkataba wala hatujali yaliyomo ndani ya mkataba. Tunachoangalia ni pesa ngapi tutapata kwa mwezi/mwaka n.k.Ni kipengele cha Mkataba, sijui shida iko wapi
Haihusu zenji na maghorofa yao ya michenzaniKwani mkurugenzi aliyewekwa pale siyo mla urojo?
Yaani unachangia jukwaa la siasa halafu uelewi social responsibility kwenye siasa ni jambo la msingi.Mwenye nyumba kataka chake,nyinyi mtajua mtaenda kula wapi
Wanaositishiwa ajira nani hujali watakula nini?Yaani unachangia jukwaa la siasa halafu uelewi social responsibility kwenye siasa ni jambo la msingi.
Siku Samia au waziri wake akitoa majibu hayo kwenye hilo sakata, moto wake ndani ya jamii auwezi kuwa mdogo.
Unaweza kuelezea makusanyo ya sasa ya NHC kwenye hayo majengo kupitia kodi ya pango. Na watakachopata baada ya hapo.Msipende kuishi kwa mazoea
Acha watu waje waboreshe maeneo
Ova
Umeishiwa hojaWanaositishiwa ajira nani hujali watakula nini?
Shida ni moja tu, watanzania tunaposaini mkataba wala hatujali yaliyomo ndani ya mkataba. Tunachoangalia ni pesa ngapi tutapata kwa mwezi/mwaka n.k.
Hayo ndio yanayotukuta katika mkataba wa DP world. Mtu anakwambia eti tutapata trilioni 31 badala ya trilioni 7 tunazopata leo. Wenye akili huangalia mkataba unasemaje? Kwenye hili NHC Kariakoo litatupa akili nzuri ya kujadili mkataba wa DP WORLD. Watanzania amkeni!!!!!!!!
Wataondoka tu, kwani soko la Kariakoo wamehamishwaje?Hizi nyumba za nhc zishakua za watu binafsi, unalipa Kodi milioni Moja kwa mtu ye anapeleka 250k serikalini, wazivunje zote tu
Kwamba mgomo ulihusisha na wakazi wa hayo majengo?Naona kama wameadhibiwa wale kwasababu ya ule mgomo, sitegemei hao jamaa waje kupangishwa tena kwenye hayo majengo mbele ya safari, ndio wameshaondolewa kijanja hivyo.
Ngoja tuone kama kweli huo mradi mpya utaanza hivi karibuni, au ndio kwasababu wameshapata sababu ya kuwaondoa hao jamaa, basi na mambo mengine yatalala.
Hapo hakuna siasa NHC wanataka waendeleze hayo majengo ndani ya mwaka mmoja tu wanakuwa wamemalizaTanzania buana, ujinga wa kuweka siasa kwenye Kila kitu, Sasa utakuta NHC Wana hoja ya msingi but kutokana na kuiingiza siasa Kila mahali inaleta shida
Nan amkumbuke shetani?Nilipoona mzanzibar anakuwa.DG wa NHC.Halafu mtu anatoka kuongoza NGO ndogo tu eti anakuja kuongoza NHC.Mwarabu atapewa.hivyo viwanja. YAANI MAGUFULI MTANGANYIKA TUTAKUKUMBUKA.TUNAKUKUMBUKA.
Na wamewekewa hadi vifungu vya sheriaSi warejee mkataba wao.. Kama mkataba uko Hivyo waondoke tuu
Kwanini uvunje investments ambazo ni cashcows za shirika kisa tu ni prime area. Badala ya kutafuta maeneo ya wazi utanue jiji kama una hiyo mitaji.
Hizo ndio akili za investment za watanzania kupenda mambo rahisi. Serikali imewapa hela ya kumaliza mradi wao wa Kinondoni na Kawe apartments; kwanini wasisubiri iishe wapime occupancy rates ya hiyo miradi kabla ya kuruhusu upuuzi mwingine.
Ni mipango ya ovyo mno; kwa sasa NHC inapata 100% revenue ya hayo majengo, si ajabu baada ya uwekezaji wa ubia kila kitu kikikiisha mapato yakawa chini baada ya kukagawana na mwekezaji.
Hakuna la maana hapo zaidi ya uwekezaji, halafu kuondoa biashara 1000 ambazo zinalipa kodi kiasi gani unapoteza serikali, kiasi gani cha hasara unaweza zipa Bank, familia ngapi unazipa umaskini.
Huyu mama anachezewa sana na mafisadi, 2025 nyumba yake ya uraisi anayostahili kujengewa na serikali huko Kizimkazi au popote alipochahua tuakikishe ishaisha; hiyo kazi sio ya size ata kidogo tunalazimisha tu.
UnaotaMajengo mengi ya k'koo yamepitwa na wakati,bomoa yote zijengwe mall za maana,dunia imebadilika sana angalia kenya hapo wana mall wameizindua mwezi ndio ya kwanza kwa ukubwa africa
Wawalipe fidia za loss of income kwa miaka kadhaa ndio watu wanavyofanya na gharama fixtures and fittings za maduka yao; sio kupenda mambo rahisi.
Yaani unachukulia poa tu kisa jengo mali yako utadhani watu awakutafuta hizo hela za kuwekeza hapo.
Huyu anaweka siasa