Mafuta bado mta import tu[emoji23][emoji23]Kuna mjinga wa kikunya dk chache zilizopita alicoment humu eti tukifunga mpaka tutatoa wapi sabuni na mafuta ila naona amegundua ameandika ujinga akaona aifute tu [emoji23]
Haya ni kati ya mafuta yanayo ongoza kwa kutumiwa kwa sasa.
Subutu[emoji23][emoji23]Na Tanzanite yetu tutauza wenyewe nje ya nchi hatutaki pua ya mkenya Arusha
Huku ni mikoa michache amabko kunalimwa, kwhyo mkiona tunanua chakula hyo ni nyongeza tu..Aya safi sana nyie msio lima tuwaone
Kubadilisha mada na mpka leo katika sekta ya manufacturing ea kenya ndio baba lao..Wewe unachojua ni kupiga mushene tu na kubadilisha mada ukiona umekamatwa,
Unakumbuka hii kitu...angalia hizi tweets.
Jidanganye waulize wafanyabiashara wa Tanzanite huko kwenu wanavyosota kutafuta hiyo Tanzanite sikuhiz tokea magufuli apige marufuku uuzaji wa madini njeSubutu[emoji23][emoji23]
Soko la tanzanite tumelishika sisi, yani hta mtanzania akinunua lazima apate connections kutoka kenya katika masoko ya kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona boss wewe hujawai kufanya bisahara, kuna watu hawana mashamba lkn wanauza mazao kibao..Jidanganye waulize wafanyabiashara wa Tanzanite huko kwenu wanavyosota kutafuta hiyo Tanzanite sikuhiz tokea magufuli apige marufuku uuzaji wa madini nje
Sent using Jamii Forums mobile app
MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
Jamaa wanathani zile export zao za chewing gum zitatukosesha usingizi!
Lakini na sisi tujitafakari maana bidhaa nyingi za vyakula na viungo wanavipata kwetu hivyo kwa upande wa wafanya biashara hiyo kutayumbaHawa Wakenya ndio njia pekee ya kuwatia akili. Na bado huu ni mwanzo tu, tutaheshimiana.
Hivi ukiweka huo utaharira chini halafu usome vitu unavyo niquote na unavyo viandika..nani anabadilisha mada?Kubadilisha mada na mpka leo katika sekta ya manufacturing ea kenya ndio baba lao..
Ingia google utajionea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo unakataa km kenya EA haina mpinzani katika sekta za manufacturingHivi ukiweka huo utaharira chini halafu usome vitu unavyo niquote na unavyo viandika..nani anabadilisha mada?
Vitu vyote ulivyo vimention na kuandika kuwa havipo Tanzania nimekuletea vyote ukabaki kuweweseka hapa,
Levo yako ni jukwaa na udaku idiot.
It's not a must for Kenya to depends on us when it comes to matters pertaining to your Nation.However in doing business we are dependant of each other, specifically on inflow of industrial goods from Kenya to Tanzania and outflow of grains and perishable goods from Tanzania to Kenya alike.I have been living in Kenya and I know what am saying.Nairobi inategemea bàadi ya vitu kutoka Tanzania gharama za kuleta mzigo Kenya na hasa nafaka ni rahisi ukilinganisha na kuchukua mzigo Uganda au Ethiopia especially those perishable goods.I think you guys have a crazy notion that Kenyans must depend on your food to survive. Nahisi huwa hamtembei
Sikuwa na habari kingereza hukifahamu. Nimeuliza Wakenya wangapi huishi Turkana? Kifo cha mwisho kutokana na baa la njaa kilikuwa mwaka gani? Ni wangapi waliponea mauti baada ya kupata afueni ya chakula chenu cha msaada?Wewe bhana acha haya maviingereza yako. Kwanza hata sikuelewi.
Maviingereza ya kijaluo haya hayana hata ladha.
Sent using Jamii Forums mobile app
That I agree with. But nobody has closed the border to the movement of Cargo.It's not a must for Kenya to depends on us when it comes to matters pertaining to your Nation.However in doing business we are dependant of each other, specifically on inflow of industrial goods from Kenya to Tanzania and outflow of grains and perishable goods from Tanzania to Kenya alike.I have been living in Kenya and I know what am saying.Nairobi inategemea bàadi ya vitu kutoka Tanzania gharama za kuleta mzigo Kenya na hasa nafaka ni rahisi ukilinganisha na kuchukua mzigo Uganda au Ethiopia especially those perishable goods.
Cha nini hicho Kiingereza chako butu cha ugoko!?Sikuwa na habari kingereza hukifahamu
Mbio za mende kuangukia mgongo na kufa kwa njaa.Sababu vitu ni cheap na haviwatoshelezi huko!!! Si tupo,ngoja tuone!!
Who own (s) those industries ?Kubadilisha mada na mpka leo katika sekta ya manufacturing ea kenya ndio baba lao..
Ingia google utajionea
Sent using Jamii Forums mobile app