Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kenya produces all these things you listed ...we only import to subsidize shortfall.
Bia zenyewe tusker? Nan anakunywa Tusker siku hiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I have asked, which goods does Kenya export to Tanzania?, list them please ( Essential goods, not like Cigarettes, Chocolates, Panadol, Beer)
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π ππBia zenyewe tusker? Nan anakunywa Tusker siku hiz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ni bidhaa gani muhimu tukiikosa kutoka kwenu maisha yatasimama[emoji28][emoji28].
yaani hapa ndio mtajua tanzania sio tu ni kubwa kwa eneo bali hata wananchi na viongozi wana akili kubwa,siku zote tumewaweka katika zone ambayo haina umuhimu.
mnajisifu mna viwanda vya blueband na kiwi za viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π mkuuππni bidhaa gani muhimu tukiikosa kutoka kwenu maisha yatasimama[emoji28][emoji28].
yaani hapa ndio mtajua tanzania sio tu ni kubwa kwa eneo bali hata wananchi na viongozi wana akili kubwa,siku zote tumewaweka katika zone ambayo haina umuhimu.
mnajisifu mna viwanda vya blueband na kiwi za viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kiwi duh Hawa watu bhn sionag hata umuhimu wake woiiiiii kiwiiπ π[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]eti kiwi wakati kutembea hovyo hamna kiwi ina umuhimu gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ulist mzee unajiogopa nn..,huna bando?We export many essential products to Tanzania ( make Google your friend )not unless you want to mean you will start importing from Zambia,Uganda or DRC.which I doubt will happen since they are less industrialised thus don't produce some products.
hizo many ndo atuambie Sasa Kama Ni kiwi na blueband asemeSi ulist mzee unajiogopa nn..,huna bando?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajifanya jeuri wakati ni tegemezNimependa mbinu iliyotumika Tz imeweka makubaliano na nchi zingine kdiplomasia alafu anadili na Kenya kibandidu.
Sent using Jamii Forums mobile app
You sell us maize, we process it, package it and then sell it at much higher price. Our markets include locals and international organizations, now tell me yupi yuko mjanja? . Danganyikan??.Kenya hawana chakula wala matunda, eti wanafunga mpaka wa Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
πππNiliwahi kuandika humu kwamba Kenya bila Tanzania haiwezi; rais wao alitangaza kwa mbwembwe zote kuufunga mpaka wetu na wao, Tanzania rais wetu wala hakuzungumzia chochote kuhusu hilo badala yake ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ndio alipewa kusimamia show, look now who is suffering. The truth is, without BONGO, there is NO EAC. Bongo can leave without Kenya and Uganda inclusive but you guys you can't sustain without Tanzania, is a bitter truth.
Tutakosa Kimbo, Cowboy na nini vile....? Beteri ya paka power premium..ππKenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat
Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tutakosa biashara ya vitu ulivyovitaja. Yaani mm nina duka langu halafu mteja kaninunia eti nifunge duka ili nimkomoe? Binadamu hakosagi alternative ya maisha. Ukimnyima mchele atatafuta namna ya kupata miogo. By the way, hakuna ugomvi wa kibiashara kati ya TZ na Kenya maana sijamsikia Kenyata akisema tumefunga mipaka na biashara hatutaki. Ishu hapa ni tunatofautiana namna ya kupigana na korona. Naamini tutafikia hitimisho tu mambo yatakuwa shwari.Kenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat
Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsi mnavyofanya kwa watanzania tunajua ni chuki hizoTanzania tutakosa biashara ya vitu ulivyovitaja. Yaani mm nina duka langu halafu mteja kaninunia eti nifunge duka ili nimkomoe? Binadamu hakosagi alternative ya maisha. Ukimnyima mchele atatafuta namna ya kupata miogo. By the way, hakuna ugomvi wa kibiashara kati ya TZ na Kenya maana sijamsikia Kenyata akisema tumefunga mipaka na biashara hatutaki. Ishu hapa ni tunatofautiana namna ya kupigana na korona. Naamini tutafikia hitimisho tu mambo yatakuwa shwari.