Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Yaninhvyo vitu kw akili hakuna kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe na kwambia umerogwa, kitu kinachowafanya wafanybiashara wakenya kununua bidhaa tanzania ni bei tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko na ushahidi wowote kuhusu huo msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mjinga wa kikunya dk chache zilizopita alicoment humu eti tukifunga mpaka tutatoa wapi sabuni na mafuta ila naona amegundua ameandika ujinga akaona aifute tu [emoji23]

Haya ni kati ya mafuta yanayo ongoza kwa kutumiwa kwa sasa.
Nakwambia mtanuka meno, dawa za mswaki kw wanyoge mtazionea viusasa[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa mbinu iliyotumika Tz imeweka makubaliano na nchi zingine kdiplomasia alafu anadili na Kenya kibandidu.

Sent using Jamii Forums mobile app
MI kanimaliza leo mkku mkoa wa Tanga Martin Shigela wakenya wabakie kwao,ila mcongo,zambia rwanda,uganda we vuka tambaaa zako.Hii initwa ukimwaga ugali mi mboga namwaga kabisa
 
Mwaka huu watu chato watanuka meno[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao WFP wako wapi, si jiwe aagize mipaka ifungwe hzo trucks zipeleke hko wfp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi na Kenya tunategemeana sana.Lakini Kenya ndio watakoumia sana watakosa Chakula kuanzia matunda,mchele,ng'ano,mahindi na hasa pumba za ya vyakula vya mifugo ni mengi sana na mazao mengi ya biashara mfano ngwara Kenya inapendwa sana,ulezi n.k.Hii kitu italeta maumivu.
 




angalia upande wa kulia kule mwisho, or to zoom for you here it is



angalia usijisahau sana kisa umeshiba, kesho might be worse! hata hio kazi unayofanya huezi jua mnyororo wake unaanzia wap chunga mdomo huo
 
I think you guys have a crazy notion that Kenyans must depend on your food to survive. Nahisi huwa hamtembei
 
Kila siku watu wanakufa njaa huko Kunya-Land. Kwashakoo na utapiamlo vimetamalaki kwa watoto wa Turkana.

We shupaza shingo hapa wakati nduguzo wanajifia kwa maradhi ya lishe huko kwenyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wamekufa wangapi, halafu kwa utapiamlo tanzania hamna mpinzani[emoji23][emoji23][emoji23]yani mihogo inavyowatesa watoto..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutetea ujinga wee Kwan hizo fujo tumeanzisha sisi au wao ndiyo vihelehele wa huu mgogoro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…