Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Kila siku watu wanakufa njaa huko Kunya-Land. Kwashakoo na utapiamlo vimetamalaki kwa watoto wa Turkana.

We shupaza shingo hapa wakati nduguzo wanajifia kibudu kwa maradhi ya lishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
And what percentage of Kenyans live in Turkana? When was the last death recorded? Were the survivors saved by Tanzanian food. Cyclic arguments
 
Mwelezee huyo jamaa naona anatetea ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think you guys have a crazy notion that Kenyans must depend on your food to survive. Nahisi huwa hamtembei
Wakenya mashindano ya riadha yamesitishwa ulimwenguni sijui mtaenda wapi kukimbia, ha ha ha. Mtachanganyikiwa muda si mrefu.
 
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??
 
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??


ivi unajua unawaskia wewe, they can make any decision hata kama ni stupid! the point ni kwamba kuna watu watapoteza sana ajira zao haswa wa mipakani na mda huo hautakua unawasaidia chochote
 
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??
If we need Mexican maize today we getit from international waters. The consignment would land this very week
 
Mda c mrefu hawa kenge wa humu watakua wanapiga debe humu wakitoka hapo wanapenda kula mchuzi usio na kitunguu wala nyanya, matunda yataliwa na waheshimiwa tu wao wataishia kuona maganda maana hiyo bei yake hawataweza kumudu
Wambie supu na chapati ni mlo wa watanzania maskini kabisa hapa Tanzania.
 
And what percentage of Kenyans live in Turkana? When was the last death recorded? Were the survivors saved by Tanzanian food. Cyclic arguments
Kenya kifurushi chenu cha wiki tu tunajua na wale nzige pamoja na mafuriko lazima mje mnatembelea magoti kuomba chakula Tanzania
 
Stupid ndo maana skonga nilikuwa nawapga sana hawa kunyaland pipo yani upstairs ujinga tu. You are not Tz level despite umaskini wetu. Level ya kunyaland ni Ug na Kigali ndo mbishane kisange
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…