Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Kkoo agrey (kwenye kanisa, upande wa kushoto Sasa kama unatokea jengo la simba
Maduka ya ndani wanauza jumla jumla ila hawatoi risiti, na simu zenyewe ni tecno Itel huawei kampuni zile za kichina

Umenielewa??
Thanks ngoja nijaribu ntakupa feedback
 
Asante kwa ushauri,je unajua wapi wanapofungua mzigo mzuri

Ni unazunguka sio sehemu moja sababu sio kila siku sehem hiyo hiyo itakua na mzigo mzuri, unazunguka sehem tofauti kikubwa usiwe mvivu tu na hela weka mbali na sehem tofauti[emoji12] labda laki moja basi tenganisha hata 30/40/30 sehem tofauti
 
Asante sana mkuu samahani niulize tena.

Ilala boma ni mida hiyo hiyo alfajiri ?

Na karume ni pale chini sehemu za kawaida ambazo mchana hupangwa viatu au kuna sehemu special ?

Nahisi unasemea boma ambapo mchana wanapanga hadi barabarani

Yes tembelea huko asubuhi alfajir

Ilala sokoni kwa mbele kule ndani ndani wanafunguaga pia alfajir kunakuwa kama minada flani hivi saa10/11 hadi saa4 asubuhi Ila muda mzuri ni alfajiri saa10/11 maana Ndio wanakua wanafungua kabisa kabisa uwe fasta kulenga [emoji102]
 
Mkuu kitumbini nasikia ipo mnazi mmoja ila hebu nielekeze ni kwa wapi ukiwa kwenye ile stend ya mnazi mmoja.

Stand mbele si Kuna round about na mataa utaona wamepanga vitenge kanga Nguo za kudarizi, sasa kushoto kwako
 
Asante sana mkuu samahani niulize tena.

Ilala boma ni mida hiyo hiyo alfajiri ?

Na karume ni pale chini sehemu za kawaida ambazo mchana hupangwa viatu au kuna sehemu special ?

Karume ni Alfajiri kuanzia Saa 11
 
Tatizo mitaa majina sijui, ilipo s-h amony unapafahamu? Juu kuna madera na Nguo za uturuki

Sasa chini ingia chochoro ya kwanza ingia ndani ndani kabisa huko unapata form6 za kila aina
Pamepakana na maeneo gani mkuu
 
Form 6

0713131366
IMG-20210628-WA0033.jpg
 
Mkuu, unaweza kunielekeza wapi wanauza vyombo vile vya ndani vya udongo kutoka China kwa bei ya jumla?
Kuna mdau alinielekeza ila sikufuatilia wanasema ni maeneo ya Bunju ila wanaanza na mtu mwenye 1million
 
Back
Top Bottom