Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Hivi kumbe watu kama hawa bado wapo, ubarikiwe sana mkuu.
 
Du! Kwa jinsi unavyoelekeza ata MTU awemgeni awezi pote, balikikiwa sana.
 
Ngojanisubili wataalamu wa rasta na wigi.
 
Hata mtaji sina nakula kwa mama nalala kwa bibi
Ndugu usiongee kinyongo hivyo una mkufuru Mungu pambana..mtaji wa kwanza ni wazo sio pesa kuwa na mawazo ya kibiashara pesa itakuja kuwa kama nyenzo.. Nakupa akili moja huna mtaji wa hela..fanya hivi nenda kariakoo nenda kwa wale wamiliki wa maduka kama ya nguo au ya simu waombe uwe una piga picha bidhaa zao na kuzirusha kwenye mitandao wakupe bei za bidhaa zao na wewe jazia hela kidogo hata kama ukijazia 2000/= kwa kila nguo sio mbaya baada ya hapo anza kurusha kwenye social media ulizomo... Note uaminifu ni jambo la msingi na iwe silaha kwako daima.. Kama ni njema fanya kama sio njema washirikishe unao wajua hili wazo yote kwa yote woga wako ndio umaskini wako..kila rakheli
 
Wakuu nauliza kwakariakoo niwap naweza pata baloo la lady's koti zalezer
 
Asante umenisaidia mnoo ila cna cha kukulipa
 
Habari. Napenda kujua sehemu ambayo nawezakupata vitu kama flash disc, memory card, earphone, head phones, betri za smu, redio ndogo za kuchaji, na taa na tochi za solar pamoja body spray hasa kwa kariakoo
Wakikujibu nitag mkuu
 
Mkuu wapi naweza pata machimbo ya jeans na t shirt nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…