Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Watanzania tungekuwa na roho na wepesi kama wewe tungekuwa mbali sana. Hongera mkuu
 
Kweli we ni rice cooker
 
Wakuu, wazo langu ni kwamba wanaoenda nje kununua bidhaa mbalimbali wangekuwa wanapeleka na kuuza bidhaa za Tanzania zenye uhitaji mkubwa huko ili Ku make super profit na kupunguza gharama za usafiri na accommodation mfano mzuri wa bidhaa hiyo ni madini (hasa dhahabu) wahindi wengi wanachukua kwa wingi na kwenda kuuza nje..je sisi hatuwezi?
Najua wazo langu sio jipya sana ila tatizo ni network na network yenyewe ipo humu
 
Kwa aliyepo Mbeya tafadhari naomba msaada wa kujua bei za mebaro ya viatu.
 
Jamani mabaro ya viatu vya mtumba naweza kupata wapi mazuri na kwa bei nafuu kwa DSM?
 
Mimi sio mzoefu wa biashara hii , unaposema wanauza 4000 pc unamaanisha nini?
 
Anayejua kilipo kiwanda cha plastic kinachouza bidhaa bei nzuri anijuze
 
Kadi za Harusi na sherehe mbalimbali dizaini tofauti tofauti wapi naweza pata Kwa bei iliyopoa
 
Naombeni kujua wapi naweza pata mobile phone accessories kwa bei ya jumla yani, chargers, usb cables, head phones, chaji za simu za gari, memory cards, flash disks na computer accessories kwa bei nzuri na viwe durable
 
Reactions: Fdt
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…