Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Miwani za wapi wanauza Jumla, tuelekeze kamanda
 
Mfano kuna chimbo moja wanauza viatu vya kiume mfano Sebago pale wanauza Tsh 40,000 wakati huo ukipiga hatua mbili upande mwingine same sebago inauzwa 60 na maeneo ya pembezoni ni hadi 100K.
Litaje ilo Chimbo basi
 
Jamani machimbo ya vifaa vya pikipiki na being nafuu, kwa kariakoo sehemu gani yanapatikana wapi?
Kuna bingwa mmoja, maarufu Saidi, anauza spea zote za pikipiki, karibu na shule ya Uhuru na msimbazi,

Ukiingia duka lolote la spea za pikipiki, muulize duka la Saidi liko wapi, Saidi mapikipiki
 
Nani ANALIJUA DUKA (CHIMBO) LA VITAMBAA VYA SUTI. Naomba atuambie
 
Msaada tafadhali mwenye ako anajua wapi kuko na chimbo la suruali kali za kadeti, vitambaa na suti kwa kariakoo!!
 
Naomba niunge mkuu
Jamani eeh mwenye group kagoma anasema wanajf wengi hawaaaminiki kakataa katu katu so msije hata pm kutaka kuungwa. This chapter is closed poleni sana ila pia mnaweza kutafuta fursa kwingine.
 
Angalia wanaokupa namba wasipokudalalia watasepa na mtaji vyuma vimekaza
 
Yaaah hasa utaratibu wao unaweza waachia list ya bidhaa unazotakaa ukaendelea na mishe zako ukirudi unakuta wameshapack na hawapunguzi hata bolt, njoo ss huko nanjilinji bila kusimamia utajuta. Kwa uaminifu tu kwenye mizigo ya wateja kkoo wapo juu.
 
Visandles vya 2500 pic vinakua vingap mkuu xamahn lakn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…