Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miwani za wapi wanauza Jumla, tuelekeze kamandaTanzania nchi ya ajabu sana,miwani za Tiba wanauza waha kwa jumla ambapo hata shule hawakwenda.Wakati wenye profession wamelala kwenye ajira,unakuta jamaa anakupa mzigo hata kuandika jina kwenye risiti anambwela.Bongo wasomi wakishtuka biashara itanoga
Litaje ilo Chimbo basiMfano kuna chimbo moja wanauza viatu vya kiume mfano Sebago pale wanauza Tsh 40,000 wakati huo ukipiga hatua mbili upande mwingine same sebago inauzwa 60 na maeneo ya pembezoni ni hadi 100K.
Kuna bingwa mmoja, maarufu Saidi, anauza spea zote za pikipiki, karibu na shule ya Uhuru na msimbazi,Jamani machimbo ya vifaa vya pikipiki na being nafuu, kwa kariakoo sehemu gani yanapatikana wapi?
Morogoro road kama unaenda jmall ya zamani kabla ujafika kuna duka la wahindi kulia wanaitwa hatimiKadi za Harusi na sherehe mbalimbali dizaini tofauti tofauti wapi naweza pata Kwa bei iliyopoa
Asante mkuuMorogoro road kama unaenda jmall ya zamani kabla ujafika kuna duka la wahindi kulia wanaitwa hatimi
Nairobi
Vya bei ipi?Viatu vya kike nnvyo
Jamani eeh mwenye group kagoma anasema wanajf wengi hawaaaminiki kakataa katu katu so msije hata pm kutaka kuungwa. This chapter is closed poleni sana ila pia mnaweza kutafuta fursa kwingine.Naomba niunge mkuu
Sasa kwani ilibidi awe nani wenzako wako kazini we unaleta udaku hapa.Hata wewe..!?
Okayjamani eeh mwenye group kagoma anasema wanajf wengi hawaaaminiki kakataa katu katu so msije hata pm kutaka kuungwa .................. this chapter is closed poleni sana ila pia mnaweza kutafuta fursa kwingine
Nenda MbagalaAnayejua kilipo kiwanda cha plastic kinachouza bidhaa bei nzuri anijuze
Yaaah hasa utaratibu wao unaweza waachia list ya bidhaa unazotakaa ukaendelea na mishe zako ukirudi unakuta wameshapack na hawapunguzi hata bolt, njoo ss huko nanjilinji bila kusimamia utajuta. Kwa uaminifu tu kwenye mizigo ya wateja kkoo wapo juu.Kwa ujumla wafanya biashara wa Dar ni waaminifu sana na niwakalimu kuliko sisi wa mikoani maana ukituma pesa ikatokea mzigo uloagiza pesa imebaki utashangaa unapigiwa sm nakuambiwa pesa imebaki kias flani uamuz unabaki kwako uludishiwe au uongeze mzigo ,mm hii imetokea Mara kibao laki wauzaji wa jumla uku mikoan usishangae anakuibia ukiwa dukani kwake,Ongela zenu wauzaji wa jumla was Dar.
Visandles vya 2500 pic vinakua vingap mkuu xamahn laknNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!