Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Huo ndio ujanja na dawa ya mjanja kama dalali anataka mkubaliane kabisa na usiende kumuona mwenye kwianja utamuona mkishakubaliana naye ahaha.Mi kuna machinga nilikuwa nachukua mzigo kwake, hivyo nampa pesa ye anazunguka kwenda kuchukua mzigo. Ukimuuliza asemi,siku nilienda na vijana wangu watatu ambapo yeye hakuwaona.Hivyo nilivyomkabidhi pesa akaondoka, vijana wangu wakamfuatilia mpaka wakajua maduka yote aliyoingia. Tangia siku hiyo hajaniona na majamaa wa madukani washanizoea hats bila pesa wananipa mzigo au wanatuma mkoani.
Yaan wanawake tungekuwa na roho nzuri hivi presha na mambo ya ajabu yasingetupata
Usisahau kutupatia mrejesho mkuuNimefanikiwa kwa asilimia zote, nmesoma between lines. Naingia chimbo namimi nifanye kwa manufaa yangu.
Wachangiaji wote Mungu awabariki sana. Haya maarifa huwa tunayatafuta lakini tunakosa pa kuyapatia. Ubarikiwe pia wewe uliyeanzisha thread hii!!
Mkuuu samahani, unaweza nisaidia wanakojumua viatu vya mtumba vya akina dada kwa pande za kariakoo..Ngoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Nairobi wapi? Na mzigo upi unapatikana huko kirahisi.Kariakoo ilishanishinda nairobi ndo mpango mzima
Vyote unavyoviona K/koo vinapatikana Nairobi kwa bei chee, nakushauri fanya utafiti unapofanya biashara.Nairobi wapi? Na mzigo upi unapatikana huko kirahisi
Sent from my Fire2 3G using JamiiForums mobile app
Naishi Nairobi vitu vinafanana saingine, ila pochi huku hamna wala vitenge best hadi DarVyote unavyoviona K/koo vinapatikana nairobi kwa bei chee nakushauri fanya utafiti unapofanya biashara.
Binafsi nilishaacha kwenda dar na mzigo naagiza hapo hapo mix narudia fanya utafiti.Naishi Nairob vitu vinafanana saingine ila pochi huku hamna wala vitenge best hadi Dar.
Sent from my Fire2 3G using JamiiForums mobile app
Saiv huku kinachoshinda ni hapo mpakan watu wanakomolewa hatar kwa vitu vizur ukijua machimbo vipo vya kutosha ila sasa kuvuka ndo ishuBinafsi nilishaacha kwenda dar na mzigo naagiza hapo hapo mix narudia fanya utafiti
Uzi madini sana huu.
Jamani nami naombeni mawazo yenu wandugu...
Nimepata mkopo wa Tsh Milioni MOJA kamili. Ni mkopo usio na riba. Nimepewa MIEZI MITATU niwe nimerejesha yote.
Nipeni ushauri ndugu zangu. Nifanye biz gani ya kukimbiza chap chap? any ideas please. Kwa sasa nipo Dar, ila ni kijana ambaye nipo tayari kuingia kokote penye fursa ya biashara kwa mtaji huo. Nipeni mawazo wapendwa, maisha yamenichapa mno ndugu zangu, sasa naukataa umasikini kwa nguvu zote!
CC: charty , Danhappy , na wachangiaji wengine wote. Natanguliza shukrani
Naishi nairob vitu vinafanana saingine ila pochi huku hamna wala vitenge best hadi dar
Sent from my Fire2 3G using JamiiForums mobile app
Binafsi nilishaacha kwenda dar na mzigo naagiza hapo hapo mix narudia fanya utafiti
Hazina ubora mkuu ukitaka kula hela leta vitenge huku vinaenda...Nakubaliana na Danhappy. Nadhani kweli Nai wana uhaba wa vitege/Khanga, and the like.
I have a lady friend in Nai. Mara kwa Mara huwa ananiagiza kumnunulia Vitenge na kumtumia kwa Bus... na ni aina moja tu: 'Makenzie' ya kitenge.
So it seems kweli Kenya either wana uhaba wa vitenge/khanga or zilizopo hazina quality kama za Tz.
-Kaveli-
Goid information at a right time ndio inahitajika kabla ya kufanya maamuzi yoyote..wengi wamekosa hii kitu ndio mana wanaangukia pua.Binafsi nilishaacha kwenda dar na mzigo naagiza hapo hapo mix narudia fanya utafiti
Hazina ubora mkuu ukitaka kula hela leta vitenge huku vinaenda...