Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Habari wadau,
Pamoja na machimbo hayo nawahabarisha chimbo la pekee kwa wale wanaotaka kusajiri, Kampuni ya aina yeyote kwa haraka na kwa bei pouwa.

Nipigie 0778437201
 
Wakuu poleni kwa majukumu,naomba kujua mahali naweza kupata vifaa vya saloon za kike kwa bei nafuu ya jumla mf; dryer, blow dryer, pasi, tom, sinck, try nk..
 
Mlifanikiwa kufungua?
 
Mkuu unanunuaga wap hizo nguo, na mfno kwa jeanz kal za kiume huanzia shs ngap
 
 
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Kama wewe ni mfanyabiashara dar au mkoani xoxa wear ni kijana mwanachuo ambae anakurahisishia kazi wewe mfanyabiashara kwani anapokea oda za nguo na viatu vyakiume na kike kwa wanaohitaji nguo za jumla jumla kariakoo.
Tupe oda tukufungie mzigo
Tuamini tukuamini
Quality na uaminifu 100%
Karibuni sana
Instagram:xoxa_wear
Phone no: 0742 96 85 47
Location: NIT MABIBO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…