kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,760
Tatizo la wabongo hawataki kuelekeza buana anyway NtajaribuUkifiki pale msimbazi kituo cha mwendokasi,ukiwa kama unaelekea fire mwisho wa kile kituo cha mwendokasi kuna barabara inaelekea kushoto kwenye maduka ya jumla ya rasta,maeneo hayohayo we ulizia duka la vipodozi kwa bei ya jumla,watu watakuelekeza maana ni chimbo haswaaa huwezi kupajua kirahisi