Tatizo la wabongo hawataki kuelekeza buana anyway NtajaribuUkifiki pale msimbazi kituo cha mwendokasi,ukiwa kama unaelekea fire mwisho wa kile kituo cha mwendokasi kuna barabara inaelekea kushoto kwenye maduka ya jumla ya rasta,maeneo hayohayo we ulizia duka la vipodozi kwa bei ya jumla,watu watakuelekeza maana ni chimbo haswaaa huwezi kupajua kirahisi
Yaani ukishafika kwenye hayo maduka ya rasta ni maeneo hayohayo,mi ningekuelekeza hadi mlangoni ila chimbo lenyewe limejificha balaa na huwa hawaandiki majinaTatizo la wabongo hawataki kuelekeza buana anyway Ntajaribu
Naomba namba yako mkuu Kesho nikucheki niko njiani to DarYaani ukishafika kwenye hayo maduka ya rasta ni maeneo hayohayo,mi ningekuelekeza hadi mlangoni ila chimbo lenyewe limejificha balaa na huwa hawaandiki majina
Mkali ignatus peter una kadet za Daokes/Demin,Chase Fashion Style( Vicobss),zile zenye nembo ya cherehani,nembo ya mwewe, n.k?(Bila shaka umefahamu aina nnazoulizia)
Mkuuu ignatus peterMkali ignatus peter una kadet za Daokes/Demin,Chase Fashion Style(Vicobss), zile zenye nembo ya cherehani, nembo ya mwewe, n.k?(Bila shaka umefahamu aina nnazoulizia)
Zinasimama bei gani?
Sample unazo utuwekee?
Au mwingine yeyote anayefahamu chimbo la hizi mambo[emoji847][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Pamoja sana mkuuMkuu Cadets za Daokes sio maduka Mengi Kariakoo huweka. Mimi nilikua nachukua kwa Special Order pale Sandaland the Only one waliopo Opposite na Soko kuuu Kariakoo. Bei zake hua zimechangamka kidogo. Mfano pale wanauza moja kwa elfu 35...
Hapa ndo umekosea mkuu π³Mtaa umenitoka kidogo
Hauna namba za mmoja wao mkuu?Kituo cha msimbazi pale yanapopaki magari ya mabibo ndio chimbo la sabuni,mafuta ya aina zote,pafyumu na makolokolo kibao ya urembo yanapatikana mitaa ile
Mkuu naomba connection na MimiYeees nimeshalipata mkuu dah utajiri si huu jamani!!!πππ
Hili neno maana kuituma milioni mbili abroad mh halafu anaanza na mtaji mkubwa sana kwa sisi machingaLetter of credit LC is acceptable? Au hayo nalipo kabla assurance yake ikoje kama hakutakuwa na janjajanja yoyote? Maana wenzetu wa online hawana matatizo huko Alibaba ila kuna wakati Wabongo ni pasuwa kichwa.
Ningekushauri utafute mtaji ili kwa wateja commited malipo wafanyie ware house mzigo unapofika.
Tuelekezane kiongozi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mkuu 60,000????Hujaongea nao vizuri tuu hao waduanzi wa karume hapo.Ukienda siku nyingine hakikisha hawakupigi zaidi ya 35,000,mtumba grade 1.
Pia,kuna chimbo moja K/Koo la viatu vipya,wallet,mikanda,n.k,unapata kiatu kipyaaaaaaaa kwa 65000-80000.Mtaa umenitoka kidogo
Mfano wa viatu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1228174View attachment 1228175View attachment 1228176View attachment 1228177
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za jumla? Maana wenyeji wengi hawapendi kutupeleka kwenye machimbo.
Mkuu na mimi nitaelekea maeneo hayo kufuatilia masoko ya mafuta.Kituo cha msimbazi pale yanapopaki magari ya mabibo ndio chimbo la sabuni,mafuta ya aina zote,pafyumu na makolokolo kibao ya urembo yanapatikana mitaa ile
Wanakuja kukupa mwongozo mkuu.Wakuu habari za saa hizi. Nafikiri ni mzima nilikuwa naomba kujuwa au kuelekezwa maduka ambayo wanauza vifaa vya simu kwa bei ya jumla au kama mtu anahusika na mswala hayo anijuze nataka vifaa kama:- chaja za kawaida , fast chaja, Kobe, protector, makava ya simu, bluethoot, USB cable, betri, housing na n.k
Nb: naitaji kwa bei za jumla na sio rejareja natanguliza shukurani View attachment 1229470